Gari za watoa misaada Gaza zilipigwa kwa makusudi moja baada ya nyengine

Gari za watoa misaada Gaza zilipigwa kwa makusudi moja baada ya nyengine

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mwanzilishi wa shirika la kutoa misaada ya chakula la WCK, Jose Andres amesema kuuliwa kwa wafanyakazi wa shirika lake ilikuwa ni kitendo cha makusudi kilichofanywa na jeshi la Israel.

Katika mahojiano aliyofanya na redio moja ya Israel mwanzilishi huyo amesema magari matatu yalikuwa yakitoka kugawa misaada kwenye kambi ya Der El Balah jumla karibu tani 100 iliyoingia Gaza kwa njia ya bahari.

Ghafla gari hizo zilianza kushambuliwa kutoka angani japo zilikuw zikionesha nembo ya shirika hilo.Matokeo yake watoa misaada 7 waliokuwemo kwenye magari hayo wakauliwa. Waliouliwa ni kutoka mataifa ya Australia, Marekani, Canada, Poland na mfanyakazi mwenyeji wa kipalestina kutoka Rafah.

Kinyume na madai ya baadhi ya watu kuwa wapalestina wanaokufa kwa kupigwa kutoka angani huwa wamehifadhi wapiganaji wa Hamas, katika tukio hilo haioneshi kuwa kulikwa na Hamas aliyejificha kwenye magari hayo ya misaada.

Kuna habari kwamba kitendo cha mashirika ya kimataifa kugawa misaada kwa wenye njaa kimewaudhi viongozi wa Israel na katika siku za karibuni jeshi la Israel limekuwa likilalamika kuwa mashirika hayo yanagawa misaada bila kuwasilana nao kikamilifu.Hivyo kitendo cha kuyapiga magari hayo ni kama kitisho kwa mashirika hayo ili yaache kutoa misaada na ili wapalestina zaidi wafe kwa njaa.

1712211997663.png
 
Hao nao wanaendaje katikati ya vita kutoa msaada?

Magaidi yalikuwa yanajificha nyuma ya hizo gari
Kumbe ndivyo watu wanavyouliwa kwa visingizio kama hivyo.Mwanzoni tulikuwa wachache tuliojua vitmbi vya mayahudi.
 
Mwanzilishi wa shirika la kutoa misaada ya chakula la WCK, Jose Andres amesema kuuliwa kwa wafanyakazi wa shirika lake ilikuwa ni kitendo cha makusudi kilichofanywa na jeshi la Israel.

Katika mahojiano aliyofanya na redio moja ya Israel mwanzilishi huyo amesema magari matatu yalikuwa yakitoka kugawa misaada kwenye kambi ya Der El Balah jumla karibu tani 100 iliyoingia Gaza kwa njia ya bahari.

Ghafla gari hizo zilianza kushambuliwa kutoka angani japo zilikuw zikionesha nembo ya shirika hilo.Matokeo yake watoa misaada 7 waliokuwemo kwenye magari hayo wakauliwa. Waliouliwa ni kutoka mataifa ya Australia, Marekani, Canada, Poland na mfanyakazi mwenyeji wa kipalestina kutoka Rafah.

Kinyume na madai ya baadhi ya watu kuwa wapalestina wanaokufa kwa kupigwa kutoka angani huwa wamehifadhi wapiganaji wa Hamas, katika tukio hilo haioneshi kuwa kulikwa na Hamas aliyejificha kwenye magari hayo ya misaada.

Kuna habari kwamba kitendo cha mashirika ya kimataifa kugawa misaada kwa wenye njaa kimewaudhi viongozi wa Israel na katika siku za karibuni jeshi la Israel limekuwa likilalamika kuwa mashirika hayo yanagawa misaada bila kuwasilana nao kikamilifu.Hivyo kitendo cha kuyapiga magari hayo ni kama kitisho kwa mashirika hayo ili yaache kutoa misaada na ili wapalestina zaidi wafe kwa njaa.

View attachment 2953444
Vita havina macho bana unajuaje hamas walikuja hapo kuchukua na wao misaada mara nyingi israel imelalamika hii misaada inawanufaisha hamas pia
 
Vita aina macho kiongozi.



KAZI ni kipimo Cha utu
 
Ndo maana tunasema vita siyo mchezo, vita ni mbaya sana, baada ya Israel kushambuliwa Palestina walitegemea nini?
duuuh,utoto mwingi JF siku hizi!Hakuna kutumia akili ni kubwabwaja tu lolote unalosikia kutoa!Muisrael wa nanjilinji unabwabwa hivi!
Wakati huo huo viongozi wa Israel na Jeshi wameahidi kwa wakubwa zao kuwa watafanya uchunguzi na watasema nini kilitokea!
Ni vizuri kuwa msomaji,utajifunza zaidi kuliko kila mada kupayuka tu!
 
Vita havina macho bana unajuaje hamas walikuja hapo kuchukua na wao misaada mara nyingi israel imelalamika hii misaada inawanufaisha hamas pia
Unajua hata maana ya convoy?A convoy of WCK was attacked!Sasa wewe unasema Hamas walikuja hapo kuchukua msaada!Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya tu!
 
duuuh,utoto mwingi JF siku hizi!Hakuna kutumia akili ni kubwabwaja tu lolote unalosikia kutoa!Muisrael wa nanjilinji unabwabwa hivi!
Wakati huo huo viongozi wa Israel na Jeshi wameahidi kwa wakubwa zao kuwa watafanya uchunguzi na watasema nini kilitokea!
Ni vizuri kuwa msomaji,utajifunza zaidi kuliko kila mada kupayuka tu!
Hawa ni WAKRISTO wa chato,hawa hata uwaambie nini hawatakuelewa

Wenyewe wanajiita wasomi 😀😀😀
 
Vita havina macho bana unajuaje hamas walikuja hapo kuchukua na wao misaada mara nyingi israel imelalamika hii misaada inawanufaisha hamas pia
Hata hivyo taarifa umeshindwa kuisoma halafu unajaza maneno yako.
WCK walikwishagawa misaada na wanaondoka kwenye gari zao juu ya vipaa vya gari kuna nembo wazi wazi za kuwa gari hizo ni za misaada.Ndege ya kivita au droni huwa wanaona wazi hizo nembo.Na bado Israel wakapiga moja baada ya nyengine.Nia ilikuwa ni kuwatisha watoa misaada wasiendelee na kazi zao ili malengo ya kuwaua wapalestina kwa njaa yatimie.
Waandishi wa habari mara ngapi wamepigwa kama hivyo ili kuwanyamazisha
 
Vita havina macho bana unajuaje hamas walikuja hapo kuchukua na wao misaada mara nyingi israel imelalamika hii misaada inawanufaisha hamas pia
Hata hivyo taarifa umeshindwa kuisoma halafu unajaza maneno yako.
WCK walikwishagawa misaada na wanaondoka kwenye gari zao juu ya vipaa vya gari kuna nembo wazi wazi za kuwa gari hizo ni za misaada.Ndege ya kivita au droni huwa wanaona wazi hizo nembo.Na bado Israel wakapiga moja baada ya nyengine.Nia ilikuwa ni kuwatisha watoa misaada wasiendelee na kazi zao ili malengo ya kuwaua wapalestina kwa njaa yatimie.
Waandishi wa habari mara ngapi wamepigwa kama hivyo ili kuwanyamazisha
Eti juu ya magari kuna nembo ya Misaada. Kwa akili zako ndogo unadhani Magaidi ya Hamas hayawezi kuandika hayo maneno na kuzitumia hizo gari kusafirishia silaha? Israel ilishasema, Hatakiwi kubaki mtu hapo Gaza, wote hameni lasivyo mtakufa wote. Waambieni hao watoa misaada wakatoe misaada huko Sudan na DRC, huko Gaza Myahudi atawakimbiza kwa mabikra 72 kabla ya wakati.
 
Eti juu ya magari kuna nembo ya Misaada. Kwa akili zako ndogo unadhani Magaidi ya Hamas hayawezi kuandika hayo maneno na kuzitumia hizo gari kusafirishia silaha? Israel ilishasema, Hatakiwi kubaki mtu hapo Gaza, wote hameni lasivyo mtakufa wote. Waambieni hao watoa misaada wakatoe misaada huko Sudan na DRC, huko Gaza Myahudi atawakimbiza kwa mabikra 72 kabla ya wakati.
Yes! Uwanja wa mapambano chochote kinaweza kutokea.
Isitoshe haya mashirika ya misaada yana historia ya kuficha magaidi
 
Tatizo la Israel ni ma narcissists. Yaani wengi wao wanaamini kabisa kuwa wao ni binadamu zaidi kuliko wengine. Wanaamini kuwa wao ni taifa teule.

Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha narcissism.

Wanaua raia wa kawaida wa palestina wanawake kwa watoto alafu wanachukulia poa tu kana kwamba maisha ya hao watu hayana thamani yoyote.

Ndio maana Hitler alisema Ulaya haitakuja kutulia wasipowamaliza hao jamaa. Sasa wako mashariki ya kati nako hakuna utulivu.
 
Yes! Uwanja wa mapambano chochote kinaweza kutokea.
Isitoshe haya mashirika ya misaada yana historia ya kuficha magaidi
Chochote kikitokea Gaza ni sawa lakini kikitokea sehemu nyengine kama Israel inakuwa nongwa.
 
Eti juu ya magari kuna nembo ya Misaada. Kwa akili zako ndogo unadhani Magaidi ya Hamas hayawezi kuandika hayo maneno na kuzitumia hizo gari kusafirishia silaha? Israel ilishasema, Hatakiwi kubaki mtu hapo Gaza, wote hameni lasivyo mtakufa wote. Waambieni hao watoa misaada wakatoe misaada huko Sudan na DRC, huko Gaza Myahudi atawakimbiza kwa mabikra 72 kabla ya wakati.
Kama ww ndo mwenye akili basi unashida
 
Tatizo la Israel ni ma narcissists. Yaani wengi wao wanaamini kabisa kuwa wao ni binadamu zaidi kuliko wengine. Wanaamini kuwa wao ni taifa teule.

Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha narcissism.

Wanaua raia wa kawaida wa palestina wanawake kwa watoto alafu wanachukulia poa tu kana kwamba maisha ya hao watu hayana thamani yoyote.

Ndio maana Hitler alisema Ulaya haitakuja kutulia wasipowamaliza hao jamaa. Sasa wako mashariki ya kati nako hakuna utulivu.
msitunge stori nyiny ndo mlianza washambulia
 
Taarifa za kiinteligensia zilionyesha pasipo shaka walikuwa ni magaidi waliojifanya wanapeleka misaada.
Hayo mengine mtajua wenyewe, nchi iko vitani hakuna kudharau taarifa hata kama ina asilimia 1 ya ukweli.
 
Back
Top Bottom