Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Unampa adui yangu chakula ili iweje?Rafiki wa adui yangu ni adui yangu tunayesalimiana vizuri.Kumbe ndivyo watu wanavyouliwa kwa visingizio kama hivyo.Mwanzoni tulikuwa wachache tuliojua vitmbi vya mayahudi.
Kwa hiyo wao wakiwaza na kuwa hivyo ndiyo unapata ruhusa ya kuwaletea fujo?Hamas na wajinga wenzao wapambane kimyakimya.Hamna kujilizaliza.Tatizo la Israel ni ma narcissists. Yaani wengi wao wanaamini kabisa kuwa wao ni binadamu zaidi kuliko wengine. Wanaamini kuwa wao ni taifa teule.
Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha narcissism.
Wanaua raia wa kawaida wa palestina wanawake kwa watoto alafu wanachukulia poa tu kana kwamba maisha ya hao watu hayana thamani yoyote.
Ndio maana Hitler alisema Ulaya haitakuja kutulia wasipowamaliza hao jamaa. Sasa wako mashariki ya kati nako hakuna utulivu.
Wewe ni mshamba sana wa habari.Watu waliouliwa ndugu zao kwenye hizo gari wapo ni karibu wote ni kutoka Ulaya na Marekani.Wewe umeshikilia magaidi.Taarifa za kiinteligensia zilionyesha pasipo shaka walikuwa ni magaidi waliojifanya wanapeleka misaada.
Hayo mengine mtajua wenyewe, nchi iko vitani hakuna kudharau taarifa hata kama ina asilimia 1 ya ukweli.
Hospitals za misheni zilianzishwa kwa fedha za misheni.Hazikusubiri ruzuku.Tazama tofauti hiyo.Ndio maana masheikh hatutaki kuja kwenye hospitali za misheni.
Tunataka ruzuku tujenge hospitali za kwetu wenyewe.
Walikuwa wanawapelekea chakula wapiganaji wa Hamas badala ya kukipeleka kwenye kambi za wapalestina ndio maana wakawadunda.Kambi ipo halafu wanabeba chakula kuelekea kwenye majumba ambako Hamas wapo.Vita havina macho bana unajuaje hamas walikuja hapo kuchukua na wao misaada mara nyingi israel imelalamika hii misaada inawanufaisha hamas pia
Ruzuku ya serikali sio kujenga hospitali huwa wanaitoa kama gharama moja ya kupanga hospital za kanisa ili watoe huduma zao za bure kwenye majengo ya kanisaNdio maana masheikh hatutaki kuja kwenye hospitali za misheni.
Tunataka ruzuku tujenge hospitali za kwetu wenyewe.
Hamas wanapigana kiume bila kuwa na kambi za kijeshi na hakuna anayejua wako wapi.Kama ni kujua walipo angejua Israel mwenye zana za kisasa za kivita mpaka mitambo ya AI.Pamoja na hivyo na bado kashindwa kuwaona itakuwa wcjkWalikuwa wanawapelekea chakula wapiganaji wa Hamas badala ya kukipeleka kwenye kambi za wapalestina ndio maana wakawadunda.Kambi ipo halafu wanabeba chakula kuelekea kwenye majumba ambako Hamas wapo.
Swali ni kwa nini walibeba vyakula kwenda navyo kwenye majumba badala ya kwenye makambi? Kilichowakuta halali yao
Kama ni hivyo na ili kuwaridhisha raia wengine serikali kuanzia sasa ijenge hospitali zake na ijiondoe kwenye majengo ya kanisa.Ruzuku ya serikali sio kujenga hospitali huwa wanaitoa kama gharama moja ya kupanga hospital za kanisa ili watoe huduma zao za bure kwenye majengo ya kanisa
Mfano Bugando ni hositali kubwa ya rufaa kanda ya ziwa.Serikali ina vitengo vyake pale kwenye majengo ya Bugando na kuna madaktari wa serikali wapo pale hivyo ruzuku huwa kwa ajili hiyo kulipa madaktari wa serikali, umeme maji ma kutumia majengo yao na vifaa vyao
Serikali haitoi ruzuku kujenga majengo
Unajua hospitals za misheni zimeanza kupewa ruzuku na serikali lini?Kama ni hivyo na ili kuwaridhisha raia wengine serikali kuanzia sasa ijenge hospitali zake na ijiondoe kwenye majengo ya kanisa.
Sidhani kama kanisa litakuwa na mwendo hata wa miaka 5 mbele.
Serikali sasa hivi imejenga hospitali nyingi sana nafikiri umeshuhudia mwenyewe.ziko za uhakika sana zimejenga kila wilaya na kila mkoa.Tatizo lililopo ubora wa huduma hizo hospitali ni changamoto ndio maana hizo za kanisa utazikuta ziko safi zinaendelea bila shidaKama ni hivyo na ili kuwaridhisha raia wengine serikali kuanzia sasa ijenge hospitali zake na ijiondoe kwenye majengo ya kanisa.
Sidhani kama kanisa litakuwa na mwendo hata wa miaka 5 mbele.
Kumbe hazikujengwa kwa ruzuku ila serikali imeongeza nguvu ili isaidiwe kwa wananchi wake kupatiwa huduma!Halafu,ukifika hizo hospitals haupewi masikio ya kitimoto utafune.Unapatiwa huduma (the best)za afya.Uachane na maneno ya vibarazani.zamani sana hata kabla ya Lowasa 1992
WTatizo la Israel ni ma narcissists. Yaani wengi wao wanaamini kabisa kuwa wao ni binadamu zaidi kuliko wengine. Wanaamini kuwa wao ni taifa teule.
Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha narcissism.
Wanaua raia wa kawaida wa palestina wanawake kwa watoto alafu wanachukulia poa tu kana kwamba maisha ya hao watu hayana thamani yoyote.
Ndio maana Hitler alisema Ulaya haitakuja kutulia wasipowamaliza hao jamaa. Sasa wako mashariki ya kati nako hakuna utulivu.
ni sawa kwa mujibu wa nani?Chochote kikitokea Gaza ni sawa lakini kikitokea sehemu nyengine kama Israel inakuwa nongwa.
Wewe kweli ni kichaa. Yaani Mtu kwao ni Canada, Poland na Australia eti mpaka sasa yupo Gaza anatoa misaada. Kama sio gaidi ni nani? Kazi ya kutoa misaada waachiwe Wapalestina wenyewe na Hamas wao, make hao wanaojiita watoa misaada wa Kimataifa wamehongwa na Mataifa ya kiarabu ili kutumika kuwaficha Hamas. Tokeni Gaza lasivyo mtakufa nyote.Wewe ni mshamba sana wa habari.Watu waliouliwa ndugu zao kwenye hizo gari wapo ni karibu wote ni kutoka Ulaya na Marekani.Wewe umeshikilia magaidi.
Hao wananchi wa Palestina kuuliwa 100 na kuendelea kwa visingizio vya kigaaidi imeshazoeleka japo inauma sana.
Safari hii Israel imejifedhehesha kwa kupiga nchi marafiki zake.
Hao ni collateral death, nchi iko vitani na magaidi yanatakiwa kuangamizwa.Wewe ni mshamba sana wa habari.Watu waliouliwa ndugu zao kwenye hizo gari wapo ni karibu wote ni kutoka Ulaya na Marekani.Wewe umeshikilia magaidi.
Hao wananchi wa Palestina kuuliwa 100 na kuendelea kwa visingizio vya kigaaidi imeshazoeleka japo inauma sana.
Safari hii Israel imejifedhehesha kwa kupiga nchi marafiki zake.
Hamas kwa hivyo imekuwa ni vuguvugu la kimataifa.Inaungwa mkono na wapenda haki kote duniani.Wewe kweli ni kichaa. Yaani Mtu kwao ni Canada, Poland na Australia eti mpaka sasa yupo Gaza anatoa misaada. Kama sio gaidi ni nani? Kazi ya kutoa misaada waachiwe Wapalestina wenyewe na Hamas wao, make hao wanaojiita watoa misaada wa Kimataifa wamehongwa na Mataifa ya kiarabu ili kutumika kuwaficha Hamas. Tokeni Gaza lasivyo mtakufa nyote.
Sasa kama wanaelekea kwenye ushindi hao Hamas wanashindwa vipi kugawa misaada kwa Wapalestina ikiwezekana kabisa kuwatimua Wanajeshi wa IDF kutoka Gaza? Badala yake tunaona Hamas wakiwa wamejificha huku IDF ikifyeka raia wanaotumiwa kama ngao na Hamas.Hamas kwa hivyo imekuwa ni vuguvugu la kimataifa.Inaungwa mkono na wapenda haki kote duniani.
Ni dalili nzuri ya ushindi.