excellence
Member
- Apr 22, 2014
- 15
- 5
Sawa mkuuNakutafutia..nitakujib mda si mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuNakutafutia..nitakujib mda si mrefu.
Inapungua mkuu maana nahitaji kipando lkn nna pesa kama m 4 mpaka 5
Hahiitaji service wakati tairi zote zimekaaView attachment 629395View attachment 629396View attachment 629397View attachment 629398View attachment 629399inauzwa mil 7.7
Punguf tunaongea.
Evelyn 'Chumvi' endelea tu kumpamba mshkaji haonagi shida kukugawia gari huyu jamaa!We subiri tu utapokea muujiza wako soon!Nmekupenda bure hauna jazba kwenye biashara zako unajua kuongea vizuri na wateja na sisi tusio wateja, hongera.
IST inakufaa sana...... Na pale nimeona bei ipo 8.5 ambayo ipo ndani ya uwezo wako....Nmekupenda bure hauna jazba kwenye biashara zako unajua kuongea vizuri na wateja na sisi tusio wateja, hongera.
Tena akipata ya 900 itapendeza sana[emoji3] [emoji23]Hahah akipata lexus itapendeza sana[emoji41] [emoji41]
Niongezee basi hela kwakweli nimechoka kupigwa juaIST inakufaa sana...... Na pale nimeona bei ipo 8.5 ambayo ipo ndani ya uwezo wako....