redSilverDog
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 470
- 76
Kwavile tunagombana na wapika gongo, kwanini tusinufaike nao ili na sisi wote pia tunafaike.
Ni hivi, iwapo mabasi au daladala zote zitatumia gongo ama kiutaalam zaidi ETHANOL gharama za usafiri zitapungua au sio? Pia, tutahifadhi mazingira na akina mama wapika gongo watapata ajira!! Na ile miwa ya moro si itatumika kisawa sawa au?
Pia 2tapigiwa mfano katika nchi zinazohifadhi mazingira!!
Najua najua najua!!! matajiri wauza mafuta watakula wapi?? Sasa hapa si ndo 2fanye maamuzi magumu au?
Lakini ndo hivyo bwana!!
Ni hivi, iwapo mabasi au daladala zote zitatumia gongo ama kiutaalam zaidi ETHANOL gharama za usafiri zitapungua au sio? Pia, tutahifadhi mazingira na akina mama wapika gongo watapata ajira!! Na ile miwa ya moro si itatumika kisawa sawa au?
Pia 2tapigiwa mfano katika nchi zinazohifadhi mazingira!!
Najua najua najua!!! matajiri wauza mafuta watakula wapi?? Sasa hapa si ndo 2fanye maamuzi magumu au?
Lakini ndo hivyo bwana!!