Garry david(maraclara) vs andrew corona(second chance)

Garry david(maraclara) vs andrew corona(second chance)

wajojo

Senior Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
155
Reaction score
83
Wahusika hapo juu yaani gary(maraclara) na andrew(second chance) wote wameigiza role moja kwenye tamthilia hizo tofauti kila mmoja amejaribu kuvaa uhusika vilivyo huku visa vya vyao wote vinafanana mapenza na pesa.andrew wa second chance yupo na issabela arroyo kwa sababu ya pesa na mapenzi,vile vile garry wa maraclara anamfukuzia alvira sababu ya mapenzi ya dhati aliyonayo kwa binti huyo huku pesa na mali zikiwa ni sababu mojawapo.wote wanakufa kwa ajuli ya mapenzi na tamaa za mali.nataka kujua tu nani kati ya hawa wawili kamzidi mwenzie kubeba uhusika vilivyo????
 
Wahusika hapo juu yaani gary(maraclara) na andrew(second chance) wote wameigiza role moja kwenye tamthilia hizo tofauti kila mmoja amejaribu kuvaa uhusika vilivyo huku visa vya vyao wote vinafanana mapenza na pesa.andrew wa second chance yupo na issabela arroyo kwa sababu ya pesa na mapenzi,vile vile garry wa maraclara anamfukuzia alvira sababu ya mapenzi ya dhati aliyonayo kwa binti huyo huku pesa na mali zikiwa ni sababu mojawapo.wote wanakufa kwa ajuli ya mapenzi na tamaa za mali.nataka kujua tu nani kati ya hawa wawili kamzidi mwenzie kubeba uhusika vilivyo????

andres corrona (don andres) wa el cuerpo del deseo(second chance)
 
Andrew alitisha sana hadi nilimchukia kikwelikwelii, Gary naye kaiweza nafasi yake, both are good
 
Wote wameziweza nafasi zao ila corona ni zaidi.
 
Back
Top Bottom