Gas reserve found in ruvuma basin

Gas reserve found in ruvuma basin

Zomba drop your discouraging words look at the ASIAN tigers they made it why not us!
Am sure with the right leaders on track we can make it!
If people have the will to move from point A to point B but not supported by their leaders changes will rarely take place and the vice versa is inevitable concomitant!

ASIAN, Walijiandaa sisi tunaingia kichwakichwa unaweza kuniambia ni watalamu wangapi tunasomesha kwa mwaka kujiandaa na huu mlipuko wa biashara na kazi za gesi, mafuta, na madini?
au tutategemea MA -TX?
 
Hii biashara ya madini na mafuta inaendeshwa na watu waliosoma...guys this is very serious...we should start sending our boys/girls to learning about the sector sooner than later. vinginevyo tutaendelea kuchezeshwa mduara hapa
 
Hata ugunduliwe nini, kama akili zako bado zinakutuma kuwaa uwe na "leader" wakukufanyia mambo yako, basi utangoja sana. Kwanini wewe usiwe leader wa kujiongoza na kujiendeleza nafsi yako? tazama, hivi sasa, kuna wangapi ambao hali zao nzuri sana, na hali yenyewe kama mnavyosema ya nchi ya kamasikini, sasa fikiria ingekuwa nchi ya kitajiri hao walioweza kujienga kwenye umasikini wangekuwa wapi? nani anawaongoza?

Wacheni fikra mgando za kufikiria kushindwa kwako upate wa kumtupia lawama, hiyo ni namna ya kufikiri ya walioshindwa, kila akishindwa sababu ni fulani au fulani, hata siku moja hajitazami kwanini yeye mwenyewe kashindwa bila ya kumtegemea kiongozi? na wale walioweza wamewezaje na viongozi ndio haohao?
 
ooooh masikini watanzania sie.......

TANZANIA NA WATANZANIA SIO MASKINI,KUJIITA MASKINI NI MOJA YA MBINU ZINAZOTUMIWA NA WATAWALA WETU ILI WAENDELEE KUTUTAWALA NA KUJINEEMESHA WAO NA WANA WAO.

KWA AKILI ZANGU TATIZO LA TANZANIA KUWA KAMA ILIVYO LINALETWA NA MAKUNDI MAWILI TU :-

1.WAALIMU - kundi kubwa la wapiga kura kuliko kundi lolote -Lakini waoga, hawana msimamo = MAANA NDIO WENGI WAO WANAISHI NA KUFANYA KAZI KTK MAZINGIRA DUNI SANA, Na ukiwaangalia kwa products zao utaona wengi ni ZERO.Walimu kwa wingi wao wangeliongoza nchi hii milele kwa kura zao.
2.WAISLAM - wameacha dini -KUMCHA MUNGU wamegeukia SIASA, LAKINI SUKARI IKIPANDA HAICHAGIU DINI,MAISHA YAKITAITI HAYANA mkristo wala muislam wala mpagani, JE KIONGOZI MUISLAM AMEKUSAIDIA NINI KATIKA MAISHA YAKO BINAFSI - wanawe wanasoma vizuri,wanakula mpaka kuvimbiwa,na wanaajiriwa na kuwa na maisha mazuri , wewe je ????????!!! KUMBUKA HATUCHAGUI MTU WA KUTUONGOZA KWENDA PEPONI - watu wa aina hiyo tayari tunao ma SHEIK na Ma padre wachungaji n.k, hapa tunapigania maisha kutokana na RASLIMALI alizotupa MOLA kwa pamoja WATANZANIA.
NAWAHAKIKISHIA WATANZANIA MAKUNDI HAYA MAWILI YAKIBADILIKA TANZANIA ITABADILIKA:embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
We need to embark on a U TURN approach to save this country from not benefiting from its own resources!
 
Back
Top Bottom