Gaspar Sakalani: Lissu atakomesha Uchawa kwenye chama na Serikali ya CCM

Gaspar Sakalani: Lissu atakomesha Uchawa kwenye chama na Serikali ya CCM

Rula ya Mafisadi

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2024
Posts
404
Reaction score
852
==
Binafsi Ninamuunga mkono Mhe TUNDU LISSU. na Nina sababu zangu za Msingi kutokana na Nini anakiwazia katika kuboresha mifumo ya Taasisi (Ndani ya CHADEMA). Leo nitajadili Kwa ufupi hoja yake ya kuondoa masharti ya ibara ya 6.3.2(c).

Hapo awali Kuondoa ukomo wa kuongoza Walikuwa sahihi Kwa wakati Ule Kwa sababu Chama kilikuwa Bado kichanga na hakikuwa na rasilimali Watu ya kutosha. Kwa sasa CHAMA kimepanuka mara dufu, sasa Kuna faida ya KUWEKA UKOMO WA KUONGOZA

1. Kwanza itamfanya kiongozi atimize majukumu yake Kwa Wakati na ufanisi (sababu Pana ukomo), na yeye kama kiongozi Mkuu wa chama ngazi husika (Msingi,Tawi,Kata,Jimbo,Wilaya, Mkoa,Kanda au Taifa) Akiwa na matarajio ya kujenga uimara na nguvu basi atatumia nguvu ya Ziada Ili kukimbizana na muda.

2. Pili, itapunguza ufuasi usio na msingi (UCHAWA Kwa Lugha isiyo rasmi) ambao hulenga kumpamba kiongozi Fulani. Hili limeanza kuonekana ndani ya Chama chetu. Kuna Haja ya kukomesha hili Kwa kubadili sehemu ya masharti ya katiba yetu

3. Itatuondolea uvivu wa kiutumishi Katika nafasi za uongozi ndani ya CHAMA. Kukiwa hakuna ukomo kiongozi anaweza bweteka na kuona Kwamba naweza ongoza Kwa awamu nyingi. Tukiweka ukomo Kila kiongozi Atakuwa anatazama muda uliobaki na hiyo Itakuwa kengeld muamsho tosha. Na ikumbukwe Kila kiongozi hupenda kuacha alama Kubwa kuwazidi Wengine kiuongozi

4. Itampa fursa kiongozi wa Wakati huo kufua na kuandaa vijana Wengi Ambao wanaweza tumika Kwa Siku za usoni baada ya muda wake kumalizika (sababu Pana ukomo)

5. Itaongeza Ari ya kuaminiana ndani ya taasisi. Kuondoa ukomo wa kuongoza Mara nyingi humfanya Kiongozi Kuwa Mfalme wa Taasisi. Na pengine hujenga makundi ambayo yatamlinda nyakati za chaguzi. Makundi haya hutumika vibaya na kupaka tope upande Ambao unashindana na mwenyekiti wa Wakati huo na kupelekea kutoaminiana ndani ya Chama. Hili kwetu limeanza kushamiri

Kwa vyovyote vile, kama tunaungana Katika kuboresha mifumo Yetu basi #TUNDU LISSU ni mgombea sahihi Kwa awamu hii.

Gaspar Sakalani
 
==
Binafsi Ninamuunga mkono Mhe TUNDU LISSU. na Nina sababu zangu za Msingi kutokana na Nini anakiwazia katika kuboresha mifumo ya Taasisi (Ndani ya CHADEMA). Leo nitajadili Kwa ufupi hoja yake ya kuondoa masharti ya ibara ya 6.3.2(c).

Hapo awali Kuondoa ukomo wa kuongoza Walikuwa sahihi Kwa wakati Ule Kwa sababu Chama kilikuwa Bado kichanga na hakikuwa na rasilimali Watu ya kutosha. Kwa sasa CHAMA kimepanuka mara dufu, sasa Kuna faida ya KUWEKA UKOMO WA KUONGOZA

1. Kwanza itamfanya kiongozi atimize majukumu yake Kwa Wakati na ufanisi (sababu Pana ukomo), na yeye kama kiongozi Mkuu wa chama ngazi husika (Msingi,Tawi,Kata,Jimbo,Wilaya, Mkoa,Kanda au Taifa) Akiwa na matarajio ya kujenga uimara na nguvu basi atatumia nguvu ya Ziada Ili kukimbizana na muda.

2. Pili, itapunguza ufuasi usio na msingi (UCHAWA Kwa Lugha isiyo rasmi) ambao hulenga kumpamba kiongozi Fulani. Hili limeanza kuonekana ndani ya Chama chetu. Kuna Haja ya kukomesha hili Kwa kubadili sehemu ya masharti ya katiba yetu

3. Itatuondolea uvivu wa kiutumishi Katika nafasi za uongozi ndani ya CHAMA. Kukiwa hakuna ukomo kiongozi anaweza bweteka na kuona Kwamba naweza ongoza Kwa awamu nyingi. Tukiweka ukomo Kila kiongozi Atakuwa anatazama muda uliobaki na hiyo Itakuwa kengeld muamsho tosha. Na ikumbukwe Kila kiongozi hupenda kuacha alama Kubwa kuwazidi Wengine kiuongozi

4. Itampa fursa kiongozi wa Wakati huo kufua na kuandaa vijana Wengi Ambao wanaweza tumika Kwa Siku za usoni baada ya muda wake kumalizika (sababu Pana ukomo)

5. Itaongeza Ari ya kuaminiana ndani ya taasisi. Kuondoa ukomo wa kuongoza Mara nyingi humfanya Kiongozi Kuwa Mfalme wa Taasisi. Na pengine hujenga makundi ambayo yatamlinda nyakati za chaguzi. Makundi haya hutumika vibaya na kupaka tope upande Ambao unashindana na mwenyekiti wa Wakati huo na kupelekea kutoaminiana ndani ya Chama. Hili kwetu limeanza kushamiri

Kwa vyovyote vile, kama tunaungana Katika kuboresha mifumo Yetu basi #TUNDU LISSU ni mgombea sahihi Kwa awamu hii.

Gaspar Sakalani
huo ni upotoshaji,
iko wazi kwamba huyo muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anae jaribu kwa nguvu zote kurejesha ukoloni mambo leo nchini Tanzania kwa maslahi yake binafsi, familia yake na hao mabwenyenye yanayombackup,

Hata hivyo,
Jan. 22,2025 kibaraka huyu wa mkoloni atawajibishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa haki, uhuru na uwazi sana kwenye sanduku la kura ili iwe fundisho kwa wenye tamaa kama za huyo muungwana 🐒
 
huo ni upotoshaji,
iko wazi kwamba huyo muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anae jaribu kwa nguvu zote kurejesha ukoloni mambo leo nchini Tanzania kwa maslahi yake binafsi, familia yake na hao mabwenyenye yanayombackup,

Hata hivyo,
Jan. 22,2025 kibaraka huyu wa mkoloni atawajibishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa haki, uhuru na uwazi sana kwenye sanduku la kura ili iwe fundisho kwa wenye tamaa kama za huyo muungwana 🐒
Kwanini wewe CCM mambo ya CHADEMA yanakuumiza?🤣🤣
 
huo ni upotoshaji,
iko wazi kwamba huyo muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anae jaribu kwa nguvu zote kurejesha ukoloni mambo leo nchini Tanzania kwa maslahi yake binafsi, familia yake na hao mabwenyenye yanayombackup,

Hata hivyo,
Jan. 22,2025 kibaraka huyu wa mkoloni atawajibishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa haki, uhuru na uwazi sana kwenye sanduku la kura ili iwe fundisho kwa wenye tamaa kama za huyo muungwana 🐒
Kwanini wewe CCM mambo ya CHADEMA yanakuumiza?
 
==
Binafsi Ninamuunga mkono Mhe TUNDU LISSU. na Nina sababu zangu za Msingi kutokana na Nini anakiwazia katika kuboresha mifumo ya Taasisi (Ndani ya CHADEMA). Leo nitajadili Kwa ufupi hoja yake ya kuondoa masharti ya ibara ya 6.3.2(c).

Hapo awali Kuondoa ukomo wa kuongoza Walikuwa sahihi Kwa wakati Ule Kwa sababu Chama kilikuwa Bado kichanga na hakikuwa na rasilimali Watu ya kutosha. Kwa sasa CHAMA kimepanuka mara dufu, sasa Kuna faida ya KUWEKA UKOMO WA KUONGOZA

1. Kwanza itamfanya kiongozi atimize majukumu yake Kwa Wakati na ufanisi (sababu Pana ukomo), na yeye kama kiongozi Mkuu wa chama ngazi husika (Msingi,Tawi,Kata,Jimbo,Wilaya, Mkoa,Kanda au Taifa) Akiwa na matarajio ya kujenga uimara na nguvu basi atatumia nguvu ya Ziada Ili kukimbizana na muda.

2. Pili, itapunguza ufuasi usio na msingi (UCHAWA Kwa Lugha isiyo rasmi) ambao hulenga kumpamba kiongozi Fulani. Hili limeanza kuonekana ndani ya Chama chetu. Kuna Haja ya kukomesha hili Kwa kubadili sehemu ya masharti ya katiba yetu

3. Itatuondolea uvivu wa kiutumishi Katika nafasi za uongozi ndani ya CHAMA. Kukiwa hakuna ukomo kiongozi anaweza bweteka na kuona Kwamba naweza ongoza Kwa awamu nyingi. Tukiweka ukomo Kila kiongozi Atakuwa anatazama muda uliobaki na hiyo Itakuwa kengeld muamsho tosha. Na ikumbukwe Kila kiongozi hupenda kuacha alama Kubwa kuwazidi Wengine kiuongozi

4. Itampa fursa kiongozi wa Wakati huo kufua na kuandaa vijana Wengi Ambao wanaweza tumika Kwa Siku za usoni baada ya muda wake kumalizika (sababu Pana ukomo)

5. Itaongeza Ari ya kuaminiana ndani ya taasisi. Kuondoa ukomo wa kuongoza Mara nyingi humfanya Kiongozi Kuwa Mfalme wa Taasisi. Na pengine hujenga makundi ambayo yatamlinda nyakati za chaguzi. Makundi haya hutumika vibaya na kupaka tope upande Ambao unashindana na mwenyekiti wa Wakati huo na kupelekea kutoaminiana ndani ya Chama. Hili kwetu limeanza kushamiri

Kwa vyovyote vile, kama tunaungana Katika kuboresha mifumo Yetu basi #TUNDU LISSU ni mgombea sahihi Kwa awamu hii.

Gaspar Sakalani
💪🏿💪🏿💪🏿
20241218_051429.jpg
 
Pambana na mambo ya CCM kabla ya haya ya CCM
Gentleman,
nikuhakushie tu kwamba wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, mpaka sasa wameshafunga mjadala kilichobaki ni kuchukua kuweka waaa..

kibaraka na tiketi yake ya ndege mkononi, apae na akawaeleze waliomtuma kafanywaje na wajumbe wa mkutano mkuu Taifa siku ya uchaguzi 🐒
 
==
Binafsi Ninamuunga mkono Mhe TUNDU LISSU. na Nina sababu zangu za Msingi kutokana na Nini anakiwazia katika kuboresha mifumo ya Taasisi (Ndani ya CHADEMA). Leo nitajadili Kwa ufupi hoja yake ya kuondoa masharti ya ibara ya 6.3.2(c).

Hapo awali Kuondoa ukomo wa kuongoza Walikuwa sahihi Kwa wakati Ule Kwa sababu Chama kilikuwa Bado kichanga na hakikuwa na rasilimali Watu ya kutosha. Kwa sasa CHAMA kimepanuka mara dufu, sasa Kuna faida ya KUWEKA UKOMO WA KUONGOZA

1. Kwanza itamfanya kiongozi atimize majukumu yake Kwa Wakati na ufanisi (sababu Pana ukomo), na yeye kama kiongozi Mkuu wa chama ngazi husika (Msingi,Tawi,Kata,Jimbo,Wilaya, Mkoa,Kanda au Taifa) Akiwa na matarajio ya kujenga uimara na nguvu basi atatumia nguvu ya Ziada Ili kukimbizana na muda.

2. Pili, itapunguza ufuasi usio na msingi (UCHAWA Kwa Lugha isiyo rasmi) ambao hulenga kumpamba kiongozi Fulani. Hili limeanza kuonekana ndani ya Chama chetu. Kuna Haja ya kukomesha hili Kwa kubadili sehemu ya masharti ya katiba yetu

3. Itatuondolea uvivu wa kiutumishi Katika nafasi za uongozi ndani ya CHAMA. Kukiwa hakuna ukomo kiongozi anaweza bweteka na kuona Kwamba naweza ongoza Kwa awamu nyingi. Tukiweka ukomo Kila kiongozi Atakuwa anatazama muda uliobaki na hiyo Itakuwa kengeld muamsho tosha. Na ikumbukwe Kila kiongozi hupenda kuacha alama Kubwa kuwazidi Wengine kiuongozi

4. Itampa fursa kiongozi wa Wakati huo kufua na kuandaa vijana Wengi Ambao wanaweza tumika Kwa Siku za usoni baada ya muda wake kumalizika (sababu Pana ukomo)

5. Itaongeza Ari ya kuaminiana ndani ya taasisi. Kuondoa ukomo wa kuongoza Mara nyingi humfanya Kiongozi Kuwa Mfalme wa Taasisi. Na pengine hujenga makundi ambayo yatamlinda nyakati za chaguzi. Makundi haya hutumika vibaya na kupaka tope upande Ambao unashindana na mwenyekiti wa Wakati huo na kupelekea kutoaminiana ndani ya Chama. Hili kwetu limeanza kushamiri

Kwa vyovyote vile, kama tunaungana Katika kuboresha mifumo Yetu basi #TUNDU LISSU ni mgombea sahihi Kwa awamu hii.

Gaspar Sakalani
Hao ccm wenye muundo huu wa ukomo wa nafasi umewasaidia nini kwenye chama Chao.. hayo uliyotaja km faida yapo ccm? Je, nchi imefaidikaje na ukomo wa uongozi ulioko ccm..ufisadi umepungua? Uchawa umekwisha..acha kukariri upumbavu, ruhusu akili ifikiri kwa uwezo wake! Kwanza hakuna machawa chadema, chawa wako ccm..! Nini kinamzuia Lisu sasa kufanya anayodhani ni mazuri kwa chadema? Yeye ni sehemu ya uongozi uliopo, tangu ameingia chadema umewahi kusikia kijana gani akisema yeye ni zao la Lisu..? Mbowe wapo wengi kina zitto, halima na vijana wengi..Lisu amemlea nani..
 
Kwanini wewe CCM mambo ya CHADEMA yanakuumiza?🤣🤣
Na hapo ndio nitawaona wajumbe mkutano mkuu ni watu wa ajabu na wasiofaa wakimpa mbowe hata % 20 tu ya kura zote, kwa nyakati zilivyo lissu anatakiwa kupigiwa kura zote za ndio!.
Ni kiboko halisi ya ma ccm yote, wanamuhara balaa!!.
 
huo ni upotoshaji,
iko wazi kwamba huyo muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anae jaribu kwa nguvu zote kurejesha ukoloni mambo leo nchini Tanzania kwa maslahi yake binafsi, familia yake na hao mabwenyenye yanayombackup,

Hata hivyo,
Jan. 22,2025 kibaraka huyu wa mkoloni atawajibishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa haki, uhuru na uwazi sana kwenye sanduku la kura ili iwe fundisho kwa wenye tamaa kama za huyo muungwana 🐒
Kuna kibaraka ni masikini? Yaani awe kibaraka halafu asipewe pesa? Mtu ambae hata kupata gari ni issue?

Kuwa serious, wazungu hawa deal na watu masikini.

Huna facts man, huna evidence ya ukibarwka wake, ni porojo ti
 
Kuna kibaraka ni masikini? Yaani awe kibaraka halafu asipewe pesa? Mtu ambae hata kupata gari ni issue?

Kuwa serious, wazungu hawa deal na watu masikini.

Huna facts man, huna evidence ya ukibarwka wake, ni porojo ti
huyu kibaraka si anafanya drama tu, eti ana omba omba kuchangiwa vitu mbalimbali hata chakula ili aonekane hana kitu kumbe ana hadi tiketi ya ndege mfukoni ya kukwea pipa anytime 🤣
 
huo ni upotoshaji,
iko wazi kwamba huyo muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anae jaribu kwa nguvu zote kurejesha ukoloni mambo leo nchini Tanzania kwa maslahi yake binafsi, familia yake na hao mabwenyenye yanayombackup,

Hata hivyo,
Jan. 22,2025 kibaraka huyu wa mkoloni atawajibishwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa chadema Taifa, kwa haki, uhuru na uwazi sana kwenye sanduku la kura ili iwe fundisho kwa wenye tamaa kama za huyo muungwana 🐒
Weka ushahidi, La sivyo Acha kusingizia.
 
Weka ushahidi, La sivyo Acha kusingizia.
kama ambavyo kibaraka mwenyewe hawezi, hataki na haoni haja wala umuhimu wa kuweka ushahidi wa mambo anayo anawasingizia na kuwatuhumu wenzake,

nadhani itoshe tu kuthibitisha,
mienendo, kauli, la uraia pacha alionayo, na hiyo tabia ya kutembea na tiketi ya ndege mfukoni, ni wazi kwamba muungwana ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi 🐒
 
Back
Top Bottom