Gaspar Sakalani: Lissu atakomesha Uchawa kwenye chama na Serikali ya CCM

Cc
zingatia maelezo, uchambuzi na ufafanuzi wa kitaalamu kwa kutulia gentleman, itakusaiadia sana hiyo πŸ’
Ccm imejaa mapumbavu kama viongoz wao πŸͺ› πŸͺ› πŸͺ› πŸͺ› πŸͺ›
 
Gentleman wewe hoja Yako ni 'kibaraka tu" au na ww ni kabaraka wa ccm, maana huna hoja nyingine ya kumsingizia, umeona na ww ndo hoja hiyo? Tafuta hoja nyingine BAsi duuu, alafu unajiita mchambuzi wa siasa? Wachambuzi wanatakuwa na mawazo kama Yako hayo?
 
hatoboi mtu wako
 
kwani hoja inasemaje hapo juu gentleman?
haimuhusu kibaraka kweli?

it's simple,
hapo kwenye kibaraka tafuta jina upendalo kisha uliweke hapo. But kibaraka ni kibaraka tu wa mabwenyenye ya magharibi, na hakuna namna nyingine gentleman,

hata hivyo,
nisingeza kukaa kimya mtoa hoja akijaribu kupotosha wadau kwa kumpamba kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na makelele yake.

hiyo haikubaliki gentleman πŸ’
 
Gentleman mm huwa nakuelewa kabisa , huwa hatutaki kuitesa nafsi Yako, kwbb unajua Mbowe ni ccm b ,hivyo Lisu hawezi kupita sio? Upo vzr πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…