Gauni la Rose

Hilo gauni, hiyo ndiyo maana ya "Kamata Pindo, lete mudundo"
 
Picha haifunguki
 
Mbona Zuri kapendeza Sana....wamwache huyo ndio mfalme sijui malkia wa waimba gospel wooote east Africa na kati
 
Kapendeza mno
Mbona hata huyo shusho kavaa satini?
 
Mbona rangi ya usoni haifanani na mikono na kifuani🤔🤔 wahuni tuu hao
 
kola ya kifrimason ndo ipoje😂😂😂 watu wana mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…