nameless girl JF-Expert Member Joined Apr 22, 2012 Posts 4,195 Reaction score 2,678 Oct 11, 2012 #1 ninaomba msaada wa kuujua ugonjwa huu na chanzo chake tafadhali na nini kifanyike kuprevent
Fyong'oxi JF-Expert Member Joined Sep 13, 2012 Posts 266 Reaction score 72 Oct 11, 2012 #2 Niliwahi kusikia mahali fulani kuwa chanzo chake ni nyama ya mbuzi na bia, au toomuch protein mwilini, na kutokuwa na tabia ya kuupa mwili mazoezi ya kutosha.Ila kitaalamu zaidi tuwasubiri wenye fani hizo
Niliwahi kusikia mahali fulani kuwa chanzo chake ni nyama ya mbuzi na bia, au toomuch protein mwilini, na kutokuwa na tabia ya kuupa mwili mazoezi ya kutosha.Ila kitaalamu zaidi tuwasubiri wenye fani hizo
sweetlady JF-Expert Member Joined Dec 24, 2010 Posts 16,947 Reaction score 8,419 Oct 11, 2012 #3 Kuna mtu aliwahi kunambia kuwa ulaji ulliopitiliza wa red meat ni chanzo kikuu......tena haswa nyama ya mbuzi..
Kuna mtu aliwahi kunambia kuwa ulaji ulliopitiliza wa red meat ni chanzo kikuu......tena haswa nyama ya mbuzi..