JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amezitaka Benki na Taasisi za fedha kupunguza masharti ya mikopo na riba ili malengo yaliyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ya kuwawezesha wananchi kiuchumi yaweze kutimia.
“Tumeelekeza benki ambazo hazishushi gharama za uendeshaji hazitaruhusiwa kutoa gawio mpaka zishuke hizo gharama ili tuone wananchi wanapata huduma bila kuwa na gharama zisizo eleweka,” - Profesa Luoga.
“Tumeelekeza benki ambazo hazishushi gharama za uendeshaji hazitaruhusiwa kutoa gawio mpaka zishuke hizo gharama ili tuone wananchi wanapata huduma bila kuwa na gharama zisizo eleweka,” - Profesa Luoga.