Gavana Ole Lenku na viongozi wa Kimaasai walaani tamko la rais Magufuli

Huna lolote,waliasisi,lakini Kikuyu akauvunja,Tanzania,inahitaji majirani Zake,lakini sio kwa namna hiyo.nitajie hata jambo moja ambalo Tanzania inalihitaji SANA kutoka Kenya mnapotutishia eti diplomasia.
 
Na kwa wale wasiofahamu ni kwamba, wakenya wamefikia hatua wanaweka baadhi ya viongozi wa vijiji na kata ambao ni wakenya wenzao ili wafanye wanavyotaka. Kil mtu awe kwao.
 
Huna lolote,waliasisi,lakini Kikuyu akauvunja,Tanzania,inahitaji majirani Zake,lakini sio kwa namna hiyo.nitajie hata jambo moja ambalo Tanzania inalihitaji SANA kutoka Kenya mnapotutishia eti diplomasia.
So kwa uelewa wako wa mambo unaamini Tanzania can do without her neighbors Kenya etc!?nadhani huu ndiyo ule ulevi au mahaba ya kusifia kila kitu kinachofanya na kiongozi pendwa!Kenya ni Industrialized country, ipo kwy uchumi wa kati...ambapo Tanzania tunapambana kufa na kupona hili tufike,many Tanzanian wapo kule kwa shughuli mbalimbali za kiuchumi na kujipatia riziki!Think outside the box bra.
 
Nyie wakenya , sikieni Rais huko kagera kasisitiza tukikamata ng'ombe wenu ,Kuku wenu n.k tunauza au tunachoma Moto
 
Yes,we can do without kenya, kwani hakuna wakenya TZ?au kuna msaada mnaipa TZ?
 
Mimi natokea kijiji cha EngareNaibor wilaya ya Longido ila tangia nikiwa mtoto tulikuwa tunachunga mifugo yetu upande waTanzania na upande wa Kenya bila kujali mipaka na wenzetu upande wa Kenya hivyo hivyo. Minada ya Namanga na Longido tunaleka mifugo yetu na kuuziana bila kubaguana na cha ajabu zaidi tumeoana bila ubaguzi tukijua wote ni wqmasai. Hili LA awamu hii ni kiboko na hatujawahi kuona tangu tupate Uhuru. Sijui mwisho wake.
 
Unaishi kwa mazoe? Sasa wakati wa mazoe umeisha, hayo mazoe ndo yanapelekea mnamlisha ng'ombe kwenye mashamba ya watu na kuleta migogoro isiyokwisha. mbadilike
 
Nyie wakenya , sikieni Rais huko kagera kasisitiza tukikamata ng'ombe wenu ,Kuku wenu n.k tunauza au tunachoma Moto
Mkuu je tukikamata Nyangau ya kikenya huku mtaani tuifanyeje? Siipendi hiyo mijizi basi tu!! Tenna kama mimi ndo ningekuwa magufuli ningeanza na wakenya wanaoishi nchini kinyemela!! Hapa ndipo huwa siielewi serikali yetu,eti mifugo ikamatwe na kupigwa mnada Asap wakati majambazi ya kikenya yamejaa tu huku mitaani yakitanua bila woga! Kuna limoja limeinngia nchini kama Miezi nane tu iliyopita,sijui limeiba wapi likapata hela chap chap likanunua kiwanja na kujenga!! Tayari eti ni li raia! Huo ujasiri wa kununua kiwanja na kujenga kwenye nchi ambayo unajua kabisa wewe huna uraia wala hutambuliki kisheria unawezekana tu kwenye nchi ambayo ni Shamba la bibi! Na nchi hiyo si ingine bali tanzania tu!! Rais aseme pia tupige minada nyumba za wahamiaji haramu wa kikenya ndiyo atajua jinsi hii nchi inavyodharauliwa na hao wakenya!! Yaani huo ujirani,sijui udugu uwe in their favor tu?? Hapana asee! Bado magufuli hajawashika pazuri hawa wahuni! Anapaswa awakamate korodani kwa nguvu zote ili washtuke na kujua kuwa Arusha si muran'ga! Nguvu zaidi inahitajika! Naunga mkono hoja!! Wadhibitiwe hawa man'gaa!
 
Those days are memorable!!but not Quite now!
 
Maoni yako ni mazuri,lakini hatutaki,tuacheni tupambane na hali zetu
 
Hawa ni timing tu kama wale wa makinikia

Magufuli anajua kutafuta sababu , hawa wakenya soon , utasikia operations wahamiaji n.k
 
Tamko hata nchi jirani za Rwanda na Uganda inawahusu, lakini wao sioni wakilalamika!
 
Yaani tuna rais wa ajabu! Baada ya mbowe kuvunjiwa shamba pembeni ya mto ati anasema limeni mpaka mtoni! ooh nimetuma wana sheria! lingesemwa na opposition wangeitwa wachochezi! Kwa ninayo yapitia na kuyaona basi natamani niwe out of any media nisisikilize upuuzi huu wa mukulu.
 
Poor mind,poor vision.born and will die honouring ccm.mf.yuu
 
Sasa hivi ITV,wanasema Majambazi kutoka Kenya na kuiba ng'ombe 155,na kupakia kwenye Magari. baadhi wamekamatwa Horohoro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…