Ivi jamani binadam tumesha kosa uruma daaa mungu ndo anajuaGavana wa Nairobi, Mike Sonko, akiwa amevalia kikacheroa amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Wazazi ya Pumwani abaini maiti 12 za Watoto wachanga zikiwa zimefichwa kwenye maboksi zikiwa ndani ya mifuko ya plastiki
Kufuatia sakata hilo, Madaktari 3 waandamizi wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi na kupewa siku 15 za kujieleza.
Aidha katika Hospitali hiyo Wanawake waliokatika uchungu wa kujifungua wamekutwa wakiwa katika hali hiyo kwa zaidi ya saa 10 bila ya kupewa msaada
Mbona maelezo yanetolewa vizuri tu na hakuna ubaya wowote hapo. Ni kwamba hospitali tajwa haina chumba cha kuhifadhi maiti hivyo hizo ni maiti za waototo waliofariki katika uzazi ja walikuwa wanasubiri kuzipeleka kwenye hospital yenye huduma ya kuwahifadhi. Na ni maiti za tangu last friday.Gavana wa Nairobi, Mike Sonko, akiwa amevalia kikacheroa amefanya ziara ya kushtukiza katika Hospitali ya Wazazi ya Pumwani abaini maiti 12 za Watoto wachanga zikiwa zimefichwa kwenye maboksi zikiwa ndani ya mifuko ya plastiki
Kufuatia sakata hilo, Madaktari 3 waandamizi wa hospitali hiyo wamesimamishwa kazi na kupewa siku 15 za kujieleza.
Aidha katika Hospitali hiyo Wanawake waliokatika uchungu wa kujifungua wamekutwa wakiwa katika hali hiyo kwa zaidi ya saa 10 bila ya kupewa msaada