ššš Who the hell is Makonda, is he a lingala musician?Makonda akivaa hivi pale Dar mtaponda
Bashite..Rais mtarajiwa wa 2025 ambaye atawanyorosha pale namanga..mmezoa vifaranga vyenu kuchomwa, huyu atawachoma nyinyi binadamuššš Who the hell is Makonda, is he a lingala musician?
Nilitarajia utaniambia ni jamaa flani hivi ambaye ana vyeti vya kuzaliwa na kubatizwa tu! Basi. Anangoja kupata D.C, Death Certificate.Bashite..Rais mtarajiwa wa 2025 ambaye atawanyorosha pale namanga..mmezoa vifaranga vyenu kuchomwa, huyu atawachoma nyinyi binadamu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bashite..Rais mtarajiwa wa 2025 ambaye atawanyorosha pale namanga..mmezoa vifaranga vyenu kuchomwa, huyu atawachoma nyinyi binadamu
Hakuhitajiki Rais ambaye ana masomo mingi kukabiliana na mijizi ya kenya..Hata huyu jiwe na Phd zake anachelewesha sana..Hivi unawezaje kuchoma vifaranga na uwache wezi waende huru? Masomo mengi pia ni ujinga..Nilitarajia utaniambia ni jamaa flani hivi ambaye ana vyeti vya kuzaliwa na kubatizwa tu! Basi. Anangoja kupata D.C, Death Certificate.
Eti dawa yetu, na nani? [emoji15] Mtajiju wenyewe na mazero brain wenu. Mzee naona kama dish lako lishaanza kuyumba yumba, nadhani masaa ya kumeza tembe yameshawadia.Hakuhitajiki Rais ambaye ana masomo mingi kukabiliana na mijizi ya kenya..Hata huyu jiwe na Phd zake anachelewesha sana..Hivi unawezaje kuchoma vifaranga na uwache wezi waende huru? Masomo mengi pia ni ujinga..
Dawa yenu ni bashite
Gavana wa Mkuranga.Huyo ni Gavana wa wapi?
Naskia wapo kwenye kikao...tehhapa kazi tuuu...naskia bashite kakataa ist za kuhongwaaa[emoji1787]
View attachment 1114074 [emoji23] [emoji1787] View attachment 1114075
Naona Una kachuki flani na boss wa Nairobi,umakadara uliisha kitambo sasa ni urunda.Sio mavazi ya kijeshi boss, ni yale ya 'kanjoo', askari wa gatuzi la Nairobi. Ila amependeza, apunguze bling basi, asituletee umakadara wake pale City Hall. [emoji1]
Hivyo ndivyo ilivyo, ukitaka kumuweza kanjanja jifanye zero brain..Mtasumbuka hadi mpate vichaa..Dawa yenu bashiteEti dawa yetu, na nani? [emoji15] Mtajiju wenyewe na mazero brain wenu. Mzee naona kama dish lako lishaanza kuyumba yumba, nadhani masaa ya kumeza tembe yameshawadia.