LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Ni MwanasheriaAnazikimbia huyu. Hata ukimsikia tu hapo anachoongea hakieleweki. It seems siyo mchumi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni MwanasheriaAnazikimbia huyu. Hata ukimsikia tu hapo anachoongea hakieleweki. It seems siyo mchumi.
Hiyo 3% kwenye inflation ndio target ya serikali au imewashinda kucontrol
Nilisikia hivi karibuni tutaingia uchumi wa katiKazi nzuri
Ndiyo maana hakuna viwanda vya chuma by Gavana watu wawaze matengenezo ya umeme, magari na Ujenzi Ndiyo KAZI kubwa ya maengineerNilisikia hivi karibuni tutaingia uchumi wa kati
What is so sad about that!?very sad
Nimepitapita nchi chache za uchumi wa kati, chini ya uongozi madhubuti wa CCM. Itachukua zaidi ya miaka Mia mbili kufika uchumi wa kati, labda hiki chama chakavu kitoke madarakani.Ndiyo maana hakuna viwanda vya chuma by Gavana watu wawaze matengenezo ya umeme, magari na Ujenzi Ndiyo KAZI kubwa ya maengineer.
Du kwahiyo wanajidanganya wenyeweNa hata hivyo inflation halisi ni zaidi ya hiyo 3% wanayoitangaza wao.