Gavana wa Damascus asema hawana hofu, shida na Israeli, wanachotaka ni kuishi nao kwa amani, kuwa na mahusiana mazuri na wala hawataki mabishano!

Naona umekuja na rangi zako halisi.
Hapana nipo objective sana, mambo ya proxy wars yanafanywa na USA, Israel na Iran wote hapo middle east sasa kwanini iwe nongwa kwa Iran pekee. Mfano PKK iko funded na USA ilihali wapo listed kama magaidi na hao hao USA sasa mbona hamsemi USA inafadhili magaidi?

All in all Syria inahitaji amani wameshapigika sana
 
Post uliyoni-quote mwanzoni ni wapi nimetaja Iran au US au nchi yoyote? Kwanini akili yako imekimbilia kwamba niko in favor of certain countries against others? Huko ndio kuwa objective na matusi juu? Hakuna mwenye hati miliki ya matusi.
 
Hivi ile ya MKIRU nani alikua behind the scene?
 
Post uliyoni-quote mwanzoni ni wapi nimetaja Iran au US au nchi yoyote? Kwanini akili yako imekimbilia kwamba niko in favor of certain countries against others? Huko ndio kuwa objective na matusi juu? Hakuna mwenye hati miliki ya matusi.
We jamaa ni mzuri kukwepa hoja.
 
Kanilisha maneno nisiyoyatamka kamwe! Shida kachanganya hisia huku akijifanya yuko objective plus kutukana tukana ovyo.
Kutukana sawa kakosea japo hajatukana lile tusi hasa.
Ila mkuu ni ukweli kuwa mnaichukulia Iran nchi inayofadhili ugaidi na kuharibu amani,ilhali vinara ni US na wenziwe.
 
Vipi kuhusu ule mlima walikoweka kambi, wanawaachia?
 
Wairani wa buza watanunaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Israel wont buy that narrative unless there is signed compressive peace agreement
 
Magu aliwazima magaidi kikatili sana kwa njia ya jicho kwa jicho na jino kwa jino wakaishia kujazwa kwenye viroba.

Wakaona mahali hapa si salama tena, wakasepa zao Msumbiji.

Ila sasa hivi wakireflex muscles, watatusumbua, tena kwa sana tu.
Mkuu umeleta habari nimekuwa nikifuatilia jinsii Magu alivyoweza kupambana na Yale magaidi ya kibiti

Ili ibaki kwenye HISTORIA baada ya kukomesha kabisa ugaidi
Na wasi wasi na aliyepo Kama angefanikiwa au ndo angeomba mazungumzo na magaidi
 
Kutukana sawa kakosea japo hajatukana lile tusi hasa.
Ila mkuu ni ukweli kuwa mnaichukulia Iran nchi inayofadhili ugaidi na kuharibu amani,ilhali vinara ni US na wenziwe.
Yeyote anaye-support ugaidi hafai.
 
Vipi kuhusu ule mlima walikoweka kambi, wanawaachia?
 
Ushahidi?
Nitaanza kukuletea ushahidi wa ufadhili wa Taliban dhidi ya USSR na mujaheddin wa Chechen dhidi ya USSR.
Pia nitakuletea na ufadhili wa Alqaeda dhidi ya Houthi 2014.
Wacha nikusanye madesa nitayaleta.
 
Mkuu wakati unaandika haya hujui kama Israel ina vikosi vya kijeshi ndani ya ardhi ya Syria? Kama hujui basi ndiyo hali halisi, mara baada ya utawala wa Assad kuanguka Israel ilianzosha mashambulizi ya maghara ya siraha na mifumo ya ulinzi wa anga yote ya Syria na kama haitoshi amechukua eneo la kusini katika milima ya Hermon!

Hapa Gavana alichomaanisha kuwa wakubali kuwa wanyonge tu maana kitendo cha Israel kuharibu mifumo ya ulinzi wa anga ni kuiweka anga ya Syria katika mikono yake awe anaweza na kuingia anavyotaka kupitia angani, awe anaweza kushambulia popote kupitia anga kwa muda wowote na pia ilo eneo ata akitaka kujiongezea ni sawa tu.
 
Nitaanza kukuletea ushahidi wa ufadhili wa Taliban dhidi ya USSR na mujaheddin wa Chechen dhidi ya USSR.
Pia nitakuletea na ufadhili wa Alqaeda dhidi ya Houthi 2014.
Wacha nikusanye madesa nitayaleta.
Sawa muhimu usiwe ushahidi dhaifu.
 
Mkuu umeleta habari nimekuwa nikifuatilia jinsii Magu alivyoweza kupambana na Yale magaidi ya kibiti

Ili ibaki kwenye HISTORIA baada ya kukomesha kabisa ugaidi
Na wasi wasi na aliyepo Kama angefanikiwa au ndo angeomba mazungumzo na magaidi
Nd'omaana nikahitimisha kwa kusema kwamba, hali hiyo ikijitokeza kwa sasa, ngoma itakuwa ngumu sana kutokana na aina ya utawala uliopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…