Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,891
- 8,448
Gavana wa kaunti ya Mombasa nchni Kenya aliyeapishwa juzi amesema uchaguzi umekwisha na sasa ni kazi tu, huku akiwahakikishia Wakenya kuwa marehemu Magufuli amerudi nchini humo kwa hiyo watarajie kuona taifa lao likipaa kiuchumi kwa spidi kubwa.
Sikiliza mwenyewe video hii.
Sikiliza mwenyewe video hii.