jovas jonathan
Senior Member
- Apr 7, 2019
- 193
- 275
Kenya Kuna uhuru uliopiganiwa kwa damuItakuwa vizuri kama atawapelekea moto kama Mwendazake Ili investors wakimbie nao watuaubirie kwenye maendeleo..
Asisahau kuteka na kupora pesa za matajiri kwa kuwa wanyonge almaarufu hustlers wa Kunyaland ndio wamemchagua..