jovas jonathan
Senior Member
- Apr 7, 2019
- 193
- 275
Kenya Kuna uhuru uliopiganiwa kwa damuItakuwa vizuri kama atawapelekea moto kama Mwendazake Ili investors wakimbie nao watuaubirie kwenye maendeleo..
Asisahau kuteka na kupora pesa za matajiri kwa kuwa wanyonge almaarufu hustlers wa Kunyaland ndio wamemchagua..
Über imekimbia huu msimuItakuwa vizuri kama atawapelekea moto kama Mwendazake Ili investors wakimbie nao watuaubirie kwenye maendeleo..
Asisahau kuteka na kupora pesa za matajiri kwa kuwa wanyonge almaarufu hustlers wa Kunyaland ndio wamemchagua..
Wwe Ni chadema full stop! kaa kimya!!!Sasa Mimi nahusikaje na chadema?
Mwendazake hakuwa na akiliWwe Ni chadema full stop! kaa kimya!!!
Unaona ana Akili.Mwendazake hakuwa na akili
Sema alikosea moja tu kuvunja haki za binadamu.Ye angedili tu na mchwaMagufuli ni alama ya kazi iliyotukuka, uchapaji kazi na Uzalendo wa kweli.
Pole, ndio maajabu ya DUNIA.Watu watazidi kuumizwa tuu na JPM wakati keshatangulia mbele ya haki.
Haya ni Maaajabu Ndugu yangu
Kosa kubwa sio hilo kama ni haki za Binadamu Kagame,Museven na madikteta wengine wanavunja kila siku..Sema alikosea moja tu kuvunja haki za binadamu.Ye angedili tu na mchwa
Uchumi wa Wapi?Kosa kubwa sio hilo kama ni haki za Binadamu Kagame,Museven na madikteta wengine wanavunja kila siku..
Aliharibu Uchumi Ndio Kosa Hilo..
Ilisifiwa lini na hao uliowataja? Hujui kwamba miaka 5 iliyopita uchumi uliporomoka kwa kiasi kikubwa?Uchumi wa Wapi?
Tanzania hiihii iliyokuwa inasifiwa na IMF,WB,ADB kumbe walikuwa waongo hivyo?
Uzuri tunajua ni Waongo, waliojaa uhasama hasi.
Kiukweli Uchumi wa majangili ulikuwa mbovu. Mpaka wengine kujibankrupt, alafu munawaita wawekezaji, wanaleta Capital....salaleh kumbe walikuwa wanategemea kunyonya./ Tanzania!
Ndio nimesema Poleni.Ilisifiwa lini na hao uliowataja? Hujui kwamba miaka 5 iliyopita uchumi uliporomoka kwa kiasi kikubwa?
Uliwahi kuona wapi uchumi ukakua bila Uwekezaji na matumizi ya saruji kupungua?
Kila sekta ilikufa kuanzia sekta ya real estate hadi biashara..
Kwamba nimeenda mtaani? Kwani naishi mbinguni? Unataka usemeje labda?Ndio nimesema Poleni.
Umeenda mtaani lakini au.
We lazimisha utakavyo, ukweli nao Upo.
Kuporomoka! Kha!
Akili ulikua unazo wwe ndiyo maana hadi leo bado uko hai,hongerea sana!!!Mwendazake hakuwa na akili
Mimi binafs naona mabdidiliko chanya toka Rais Samia amechukua nchi kama ifuatavyo;Ndio nimesema Poleni.
Umeenda mtaani lakini au.
We lazimisha utakavyo, ukweli nao Upo.
Kuporomoka! Kha!
Kweli kabisaWow! Ama kwa hakika kizuri chajiuza kibaya chajitembeza! [emoji3][emoji3][emoji106]
Hahahaha umesema kweliLEGACY HAIFUTWI NA TIMU MSOGAMIA