Tumepeleka jeshi Congo, hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?Je Tanzania tumejiandaa kuwapokea?
Sio jambo dogo tuna watanzania wenzetu wako Kivu kusini kutafuta maisha baada ya maisha Tanzania kuwagomeaHaya
Ile ya Kagera na Ben Kikwa😄Tumepeleka jeshi Congo, hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?
Monusco ndio wenye wajibu huo sio JWTZTumepeleka jeshi Congo, hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?
Buji mambo ya Kivita na sheria zake za kimataifa upo down sana upgrade yourselfTumepeleka jeshi Congo, hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?
Heshima kwako ras jeff kapita , swali langu lilikuwa ni swali mbegu, kuwafanya watu wayatafute maarifa zaidi ya kivita.Buji mambo ya Kivita na sheria zake za kimataifa upo down sana upgrade yourself
SahihiBuji mambo ya Kivita na sheria zake za kimataifa upo down sana upgrade yourself
Swali la msingi: "......hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?"Tumepeleka jeshi Congo, hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?
Hayo yanataka pesa nyingi sasa nani atagharimia hizo gharama za kurusha satellite za kimataifa kwa dolankurusha matangazo? Ujue JWTZ ni kikosi kifogo tu chini ya majeshi ya nchi tofauti yaliyo chini ya MonuscoSwali la msingi: "......hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?"
Inaonyeshwa.
Kumbuka vita sio kama mechi ya Simba na Yanga. Mambo mangine ni siri vitani lakini pia picha mjongeo (video) kuonesha tukio halisi lilivyokuwa hupatikana ila ni baadaye kwenye satelite images au kutoka kwa waandishi habari nguli kama wale waliokuwepo zamani Aljazeera au kutoka kwa wapiganaji wenyewe.
Yeah. Ni kazi ngumu kweli kweli na gharama kubwa.Hayo yanataka pesa nyingi sasa nani atagharimia hizo gharama za kurusha satellite za kimataifa kwa dolankurusha matangazo? Ujue JWTZ ni kikosi kifogo tu chini ya majeshi ya nchi tofauti yaliyo chini ya Monusco
Sahihi
Hayo yanataka pesa nyingi sasa nani atagharimia hizo gharama za kurusha satellite za kimataifa kwa dolankurusha matangazo? Ujue JWTZ ni kikosi kifogo tu chini ya majeshi ya nchi tofauti yaliyo chini ya Monusco
Swali la msingi: "......hivi kwanini vita huwa haionyeshwi live?"
Inaonyeshwa.
Kumbuka vita sio kama mechi ya Simba na Yanga. Mambo mangine ni siri vitani lakini pia picha mjongeo (video) kuonesha tukio halisi lilivyokuwa hupatikana ila ni baadaye kwenye satelite images au kutoka kwa waandishi habari nguli kama wale waliokuwepo zamani Aljazeera au kutoka kwa wapiganaji wenyewe.