Tarehe 4/02/2025 Gavana wa Kivu Kusini Kongo alitoa tahadhari kuwa kuna uwezekano wa Kivu kusini kuzalisha wakimbizi Tanzania endapo makundi ya waasi wa Maimai na Wazalendo hawataingia vitani kupigana na M23
Je Tanzania tumejiandaa kuwapokea?
Msikilize huyo Gavana mwenyewe Jean Elakano akihutubia eneo a FIzi ,kongo
View: https://youtu.be/WBs4kPH9IbI?si=uPcG8noTGGCUI0kt
Je Tanzania tumejiandaa kuwapokea?
Msikilize huyo Gavana mwenyewe Jean Elakano akihutubia eneo a FIzi ,kongo
View: https://youtu.be/WBs4kPH9IbI?si=uPcG8noTGGCUI0kt