GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

GAVANA WA NAIROBI ANAOMBA MAONI JINSI YA KUFANYIA OMBA OMBA WA KITANZANIA

So hapo Mathare na Kibera ni Watz pia? You try guys to be fair, sio kugeneralise mambo tu.
 
No research, no right to right to speak. Even sima flour has been a crisis in your place. What can you dare to be proud of.
 
Jiwe gizani limekukuta, kwani una ndugu zako wameathirika pia? Hawa huwa wanafukuzwa mara nyingi, lakini kama desturi yenu ya kuomba omba, wanarudi tu, tena kila wakirudi wanakuja na ndugu zao zaidi na kuongezeka zaidi ya awali, nafikiri wakija huko wanawasimulia wenzao wanavyofaidika.

hujajibu swali. sheria zenu zinasemaje kuhusu wahamiaji haramu? jibu swali siyo kutoa blah blah blah hapa.
 
Watz huwa mnatuponda sana wakenya eti hatupendani. Ila nawaza kama ni omba omba wa kikenya wangekuwa wapo chini yeyote ile ambayo sisi ni majirani nao. Bila shaka ungesikikia kelele zetu dhidi ya serikali, kwenye tv, radio, mitandao ya kijamii. Ingekuwa ni stress tupu kwa waziri wa uhamiaji na mabalozi husika. Nakumbuka wale wakenya wenzetu walokuwa wamekamatwa kule S.Sudan. Au kule Sauz walipoanza kuwashambulia waafrika wenzao, ilibidi wakenya warudishwe kwa ndege, gharama kwa serikali. Pia wale mahausigeli ambao walikuwa wanasafirishwa hadi kule uarabuni. Hapa watz wanawakemea wenzao utadhani wakisha kuwa omba omba ndo utanzania wao unaishia hapo.
 
So hapo Mathare na Kibera ni Watz pia? You try guys to be fair, sio kugeneralise mambo tu.
Kila mtu na mzigo wake. Omba omba wa Kenya washugulikiwe na Kenya. Omba omba waTz wabakie huko huko Tanzania.
 
Hapo ni mtihani, maana sio mara ya kwanza kufurushwa kwa Watanzania omba omba waliojaa kwenye barabara zetu, hawa walishafundishwa desturi ya kuomba omba, hata ufanye nini watakuja tu, nchi yao imejengwa kwenye misingi ya kiujamaa, mfumo uliowalemaza wengi kiakili hadi wanaishi maisha ya kuwaza kuomba omba pamoja na kwamba wana raslimali nyingi sana lakini maskini wa kutupwa.

Huyo gavana hapo analo, tena naona anajihangaisha bure, hawa kuomba ipo ndani ya damu miaka yote, nilishasema itabidi kuwavumilia maana tumepakana nao, hivyo tumeunganishwa kwenye kiuno, hatuna jinsi wala nini. Mimi hushangaa tuna majirani wengine kama Somalia na Sudan ambao nch zao zimevurugwa na vita lakini hutawakuta Nairobi wakiomba omba, lakini mivivu ya Wabongo imejazana huku badala ya kufanya kazi, kuomba omba tu.
Hakuna mtanzania anaye kuja kuishi Kenya #, Tanzania is better than Kenya intern of living standards [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] ni nchi tajiri na serikali inawapa pesa watu maskini wote watanzania
 
Hakuna mtanzania anaye kuja kuishi Kenya #, Tanzania is better than Kenya intern of living standards [HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] ni nchi tajiri na serikali inawapa pesa watu maskini wote watanzania
Hao omba omba wa kitz walosambaa kwenye miji yetu huku Kenya, acha tuseme tu ni mazezeta wa hali ya juu basi. Sielewi ni kwanini wanatoroka utajiri wa nchi yao.
 
Hao omba omba wa kitz walosambaa kwenye miji yetu huku Kenya, acha tuseme ni mazezeta wa hali ya juu basi. Sielewi ni kwanini wanatoroka utajiri wa nchi yao.
hao sio watz kiukwel maana serikali ya tanzania inawapa pesa kila mwezi kuna mpango unaitwa Tanzania poverty reduction program waulize kama wana id za Tanzania# watanzania wengi tunaenda nchi za SADC kama south Africa,Zimbabwe, Botswana ,Angola,zambia,Malawi,Lesotho,Namibia # mtanzania anaenda kwenda kenya kutafuta maisha ni mjinga mashable Kenya is the worst country to live in
 
hao sio watz kiukwel maana serikali ya tanzania inawapa pesa kila mwezi kuna mpango unaitwa Tanzania poverty reduction program waulize kama wana id za Tanzania# watanzania wengi tunaenda nchi za SADC kama south Africa,Zimbabwe, Botswana ,Angola,zambia,Malawi,Lesotho,Namibia # mtanzania anaenda kwenda kenya kutafuta maisha ni mjinga mashable Kenya is the worst country to live in
Haya basi hao omba omba wa Tz wanafika Kenya kugawa hela walizokabidhiwa na serikali yao. Sasa sijui kwanini wanatumia hivo vijibakulia vyao badala ya kututilia tu kwenye M-pesa.
 
Kwa kifupi wewe mbeba boksi cordoba ni kwamba, hamna ubishi kuwa hao omba omba ni watz. Labda mkiamua kwamba uraia wao umezamia majini kama ule wa Miguna Miguna.
 
Kwa kifupi wewe mbeba boksi cordoba hamna ubishi kwamba hao omba omba ni watz. Labda mkiamua kwamba uraia wao umezamia majini kama ule wa Miguna Miguna.
hapana hawa sio watanzania 100% hakuna mtanzania mjinga aje kutafuta maisha kenya au kuomba Kenya while our country is full of opportunities and the government provide all money and free health care to dissabled and marginalized citizen#, Hugo ombaomba sizani akiomba Siku nzima anaweza fikisha hata 50US$ per day while akiwa Tz atapata fee health care na haweza kulala njaa # Tanzania hakuna mtu wa kulala njaaa believe me nimeish Tanzania for many years
 
hapana hawa sio watanzania 100% hakuna mtanzania mjinga aje kutafuta maisha kenya au kuomba Kenya while our country is full of opportunities and the government provide all money and free health care to dissabled and marginalized citizen#, Hugo ombaomba sizani akiomba Siku nzima anaweza fikisha hata 50US$ per day while akiwa Tz atapata fee health care na haweza kulala njaa # Tanzania hakuna mtu wa kulala njaaa believe me nimeish Tanzania for many years
Kengele imepigwa dogo, wewe rudi darasani.
 
Back
Top Bottom