GAWIO/ITEREST KWENYE BENKI -KUNATATIZO

GAWIO/ITEREST KWENYE BENKI -KUNATATIZO

Mparee2

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
3,092
Reaction score
5,386
Tulisha zoea kuwa mtu akiweka fedha bank zinawekewa Riba itokanayo na Bank kufanyia biashara hizo fedha kama kukopesha, bonds nk ambapo hiyo faida pia ndio hutumika kuendeshea Bank. Kwa maana hiyo fedha za mteja hubakia kama zilivyokuwa au pengine kuongezeka kidogo;
Kwa sasa naona hali ni tofauti kwani Ukiweka fedha baada ya muda wanakata tozo kibao na sijui hawaweki faida hivyo; zinapungua; hii ikoje?
 
Kuna aina mbalimbali za account.

Fixed account ndio hela zako zinaongezeka
 
Back
Top Bottom