burahanthu
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 143
- 38
Wakuuu mi sio mchumi kielimu ila kulingana na changamoto nimejukuta ninanunua na kuuza hisa mwanzo ilibipa changamoto sana yaani mwendo wa loss tu.. ila nikajifunza na saa naona ina maana, hisa inataka uwe mfuatiliaji, mvumilivu na kuwa muamuzi ila maamuzi yenye mashiko, nilikua nikiweka dolari 200 kama mtaji kwa hofu italiwa na kweli ilikua inaliwa kwa kuwa sikua najua..in short unaweza tengeneza hela 100% faida ama zaidi with days... utakuza mtaji ila pia kumbukeni kuna masharti ya kuwithdraw faida uliyoipata si kiwa unaweza with draw dola 1000 ulizotengeneza ndani ya wiki moja zote kwa mkupuo.. kwa sasa sijathubutu kabisa kuangalia hisa za hapa nyumbani za mbele kwa walio endelea safi kabusa