Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutty Frutti alikuuliza hivi wewe kweli PhD holder, naona majibu yako ya kidanzi kweli Dingi Lai😂😂😂Waislamu wenyewe hawanunui hiyo takataka.
Waislam mliokosa elimu dunia mna shida nyingi mpaka zimepitiliza.Gazeti Huru lililojaa hikma na elimu Kwa kizazi hiki na kijacho ligaiwe bure MASHULENI, airport na stendi za mabasi.
Gazeti Huru lililojaa hikma na elimu Kwa kizazi hiki na kijacho ligaiwe bure MASHULENI, airport na stendi za mabasi.
nunua wewe ugawe kama ni rahisiGazeti Huru lililojaa hikma na elimu Kwa kizazi hiki na kijacho ligaiwe bure MASHULENI, airport na stendi za mabasi.
Pepo toka...Waislamu wenyewe hawanunui hiyo takataka.
Hili gazeti la shetania ala linaeneza ugaidi,lifungiweGazeti Huru lililojaa hikma na elimu Kwa kizazi hiki na kijacho ligaiwe bure MASHULENI, airport na stendi za mabasi.
MUM ni madrasa ya watu wazima,wanafunzi wanakula bakora kama kawa,hakuna profesa mwenye akili timamu akaenda kufundisha pale.Wasomi waislamu Kuna vitu viwili hawataki moja kusoma Gazeti la Al nuur na pili maprofesa wa kiislamu wengi hawataki kwenda kufundisha chuo kikuu Cha kiislamu Morogoro
Chuo kile Cha Morogoro Muslim University hakina maprofesa kwenye vitivo vyake hawataki hata kukisikia
Likwapi hilo gazeti tulione???
Wanayo wenyewe...Likwapi hilo gazeti tulione???