Gazeti la An-nuur lamuadhimisha Kleist Abdulwahid Sykes (1950 - 2017)

Gazeti la An-nuur lamuadhimisha Kleist Abdulwahid Sykes (1950 - 2017)

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Mohamed Said November 30, 2017 0

KLEIST%2BANUUR1.jpg




historia
 
Mungu amlaze mahali pema yeye na wote waliotangulia.
 
Mlaleo soma taratibu. Kuna Kleist wawili. Babu Kleist Sykes Mbuwane muasisi wa African Association 1929 aliyemzaa Abdulwahid Sykes aliyeasisi TANU na kuna mjukuu Kleist Abdulwahid Sykes aliyefariki hivi karibuni ambae kazaliwa 1950. Kwa mchango wa Babu Kleist katika siasa za Tanganyika ya kikoloni Babu Kleist yumo katika Dictionary of African Biography (DAB) mradi wa Harvard na Oxford University Press. Naamini sasa umeelewa. Hakuna uongo katika haya.
 
Fenisher Kleist huyu tuliyemzika majuzi hakupigania uhuru. Aliyepigania uhuru ni Kleist babu yake (1894 - 1949) akiwa muasisi wa African Association. Aliyeasisi TANU ni baba yake Abdulwahid Kleist Sykes (1924 - 1968).
 
5ed295aa5222513e4abd7eb38ff13fa5.jpg

Kleist ni huyo kushoto na mimi mwandishi ni huyo niliyeshika Medali ya Mwenge wa Uhuru aliyotunukiwa Abdul Sykes kwa mchango wake katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
 
Buchanan naam. Ofisi ya African Association ilijengwa New Street kati ya mwaka wa 1929 - 1933. Mkutano wa kutaka kubadili uongozi wa TAA kuwatoa wazee akina Mwalimu Thomas Saudtz Plantan akiwa rais wa TAA na katibu wake Clement Mohamed Mtamila ulifanyika Ukumbi wa Arnautoglo mwaka wa 1950. Halikadhalika uchaguzi wa rais wa TAA 1953 kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere ulifanyika hapo hapo Arnautoglo. Nyerere alichaguliwa Rais na Abdul Sykes makamu wake na TANU ikaasisiwa 1954 hapo New Street. Yote haya yamefanyika Kariakoo. Mikutano ya kwanza ya TANU ikifanyika Mnazi Mmoja hiyo pia Kariakoo na ukipenda Nyerere baada ya kujiuzulu ualimu Pugu alikuja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu Kariakoo.
 
Buchanan naam. Ofisi ya African Association ilijengwa New Street kati ya mwaka wa 1929 - 1933. Mkutano wa kutaka kubadili uongozi wa TAA kuwatoa wazee akina Mwalimu Thomas Saudtz Plantan akiwa rais wa TAA na katibu wake Clement Mohamed Mtamila ulifanyika Ukumbi wa Arnautoglo mwaka wa 1950. Halikadhalika uchaguzi wa rais wa TAA 1953 kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere ulifanyika hapo hapo Arnautoglo. Nyerere alichaguliwa Rais na Abdul Sykes makamu wake na TANU ikaasisiwa 1954 hapo New Street. Yote haya yamefanyika Kariakoo. Mikutano ya kwanza ya TANU ikifanyika Mnazi Mmoja hiyo pia Kariakoo na ukipenda Nyerere baada ya kujiuzulu ualimu Pugu alikuja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu Kariakoo.
e66c88ed958de1c2c5f0bd44329b850a.jpg
 
Buchanan naam. Ofisi ya African Association ilijengwa New Street kati ya mwaka wa 1929 - 1933. Mkutano wa kutaka kubadili uongozi wa TAA kuwatoa wazee akina Mwalimu Thomas Saudtz Plantan akiwa rais wa TAA na katibu wake Clement Mohamed Mtamila ulifanyika Ukumbi wa Arnautoglo mwaka wa 1950. Halikadhalika uchaguzi wa rais wa TAA 1953 kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere ulifanyika hapo hapo Arnautoglo. Nyerere alichaguliwa Rais na Abdul Sykes makamu wake na TANU ikaasisiwa 1954 hapo New Street. Yote haya yamefanyika Kariakoo. Mikutano ya kwanza ya TANU ikifanyika Mnazi Mmoja hiyo pia Kariakoo na ukipenda Nyerere baada ya kujiuzulu ualimu Pugu alikuja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu Kariakoo.
Mzee, nimesoma Kitabu chako chote cha Maisha na Nyakati za Abduwahid Sykes sijaona mahali ambapo wazee wako wa Kariakoo wanapigania Uhuru, wakiwa peke yao, ndio maana TAA iliitwa "Chama cha Starehe!"
Kazi ya "kupigania" uhuru hasa ilifanywa kwa uongozi shupavu wa baba yetu wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere (RIP), japokuwa wewe unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kuwa sio wa dini yako!
 
Buchanan naam. Ofisi ya African Association ilijengwa New Street kati ya mwaka wa 1929 - 1933. Mkutano wa kutaka kubadili uongozi wa TAA kuwatoa wazee akina Mwalimu Thomas Saudtz Plantan akiwa rais wa TAA na katibu wake Clement Mohamed Mtamila ulifanyika Ukumbi wa Arnautoglo mwaka wa 1950. Halikadhalika uchaguzi wa rais wa TAA 1953 kati ya Abdulwahid Sykes na Julius Nyerere ulifanyika hapo hapo Arnautoglo. Nyerere alichaguliwa Rais na Abdul Sykes makamu wake na TANU ikaasisiwa 1954 hapo New Street. Yote haya yamefanyika Kariakoo. Mikutano ya kwanza ya TANU ikifanyika Mnazi Mmoja hiyo pia Kariakoo na ukipenda Nyerere baada ya kujiuzulu ualimu Pugu alikuja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Stanley na Sikukuu Kariakoo.
Somo murua kabisa!
 
Mzee, nimesoma Kitabu chako chote cha Maisha na Nyakati za Abduwahid Sykes sijaona mahali ambapo wazee wako wa Kariakoo wanapigania Uhuru, wakiwa peke yao, ndio maana TAA iliitwa "Chama cha Starehe!"
Kazi ya "kupigania" uhuru hasa ilifanywa kwa uongozi shupavu wa baba yetu wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere (RIP), japokuwa wewe unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kuwa sio wa dini yako!
Mbona unajichanganya mwenyewe? Unakubali kuwa wazee wa kariakoo walipigania uhuru ila walikua na watu wengine na sio peke yao halafu unasema TAA kilikua chama cha starehe!!! Kwahiyo hata hao wengine unaowakusudia wewe pia walikua members wa TAA kama chama cha starehe
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Mzee, nimesoma Kitabu chako chote cha Maisha na Nyakati za Abduwahid Sykes sijaona mahali ambapo wazee wako wa Kariakoo wanapigania Uhuru, wakiwa peke yao, ndio maana TAA iliitwa "Chama cha Starehe!"
Kazi ya "kupigania" uhuru hasa ilifanywa kwa uongozi shupavu wa baba yetu wa Taifa, Julius Kambarage Nyerere (RIP), japokuwa wewe unampaka mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kuwa sio wa dini yako!
Dini imeingiaje tena hapa!??....hebu tubaki na moja tu la historia ya wazee wetu!udini hauna nafasi hapa
 
Back
Top Bottom