Toa ushahidi tuamini kama ni Mtanzania na sio kutuletea nukuu za marehemu wa karne ya 18My good friend, think before you talk nonsense. Eric ni Mtanzania. Waweza kufurahia yanayomsibu (huku umejificha kwenye fake ID) lakini kumbuka busara hii hapa chiniView attachment 1167400
We chukua 2020 mkuu tupo nyuma yakopole mkuu..... 2025 chukua fomu tupo nyuma yako mkuu!
@Pascal Mayalla nimetazama baadhi ya vipindi vya saba saba sikuona PPR,hata nanenane nadhani hatutaiona PPR, nafahamu Eric alikuwa anaandika articles za kwenye The Economist ulizokuwa unazishabikia kinamna hapa JF... Naelewa usemayo....Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
View attachment 1167283
UHAMIAJI WALIOSHUGHULIKIA SUALA LA KABENDERA WACHUKULIWE HATUA
By Unknown06:47TOA MAONI YAKO
KAMATI iliyoundwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Emmanuel Nchimbi kuchunguza tukio la kusumbuliwa kwa wazazi wa mwandishi wa habari Erick Kabendera na maofisa Uhamiaji imependekeza maofisa hao wachukuliwe hatua stahiki za kinidhamu kwani walikiuka taratibu za kazi.
Mwenyekiti wa kamati hiyo Augustine Shio akisoma taarifa ya kamati hiyo jana mbele ya waandishi wa habari, alisema maofisa Uhamiaji waliochunguza uraia wa Erick na wazazi wake hawakuwa makini katika kazi yao.
Shio alisema kitendo cha kukosa umakini kilisababisha malalamiko kutoka familia ya Erick, wazazi wake pamoja na vyombo vya habari.
Aliongeza kuwa uraia wa Erick, baba yake mzazi Nolosco Kabendera na mama yake Verdiana Mujwahuzi haubishaniwi kuwa wote ni raia wa Tanzania wa kuzaliwa.
Lakini kamati hiyo imejiridhisha kwamba zipo kasoro za msingi za jina zilizobainika katika mchakato wa maombi ya pasipoti ya Erick iliyotolewa mwaka 2006 ambazo zilisababisha Idara ya Uhamiaji kufanya uchunguzi ili kuthibitisha taarifa za maombi hususani uraia wa mwombaji.
“Pia tumebaini kwamba Reginald Mengi hajahusika kwa namna yoyote na mchakato wa uchunguzi wa uraia wa Erick Kabendera na kuhojiwa kwa wazazi wake na Idara ya Uhamiaji,” alisema Shio ambaye ni Mkurugenzi wa Malalamiko katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Nchimbi aliunda kamati hiyo ya watu watatu Machi mwaka huu baada ya kuombwa na Wamiliki wa Vyombo vya Habari (MOAT), Idara ya Habari (Maelezo) na Jukwaa la Wahariri kuchunguza na kutafuta suluhisho la kuwepo matukio kadhaa ya uhalifu dhidi ya waandishi wa habari hapa nchini.
Katika mkutano wake na vyombo hivyo, mambo mbalimbali yaliwasilishwa lakini tukio moja la kusumbuliwa kwa wazazi wa Erick Kabendera kwa madai kuwa si raia wa Tanzania liliombwa lichunguzwe kwa maelezo kuwa kuna taarifa zisizotiliwa shaka na za kuamini kwamba watumishi wa Uhamiaji waliotumika walilipwa fedha ambazo hazikutoka katika mfumo rasmi wa Serikali bali zilitolewa na mtu mmoja zikapitia kwa ofisa wa Ikulu kwenda Uhamiaji.
Licha ya Moat, wengine ambao walilalamikia suala hilo ni waandishi wasio na mipaka pamoja na Erick mwenyewe ambao kwa nyakati tofauti waliandika barua kwenda kwa Waziri kulalamikia hatua hiyo ya Uhamiaji.
Barua hizo zilionesha kumhusisha Mwenyekiti wa MOAT, Reginald Mengi na tukio hilo hasa baada ya Erick kutoa ushahidi katika shauri la Mengi dhidi ya Sarah Hermitage katika Mahakama Kuu London, Uingereza.
Kamati hiyo pamoja na Shio, wengine walioteuliwa kwenye kamati hiyo ni Mligo Mussa kutoka Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali na Felix Wandwe mjumbe kutoka ofisi ya Taasisi ya Kuzuia na Kudhibiti Rushwa (TAKUKURU).
---
Imenukuliwa kutoka HabariLeo
Toa ushahidi tuamini kama ni Mtanzania na sio kutuletea nukuu za marehemu wa karne ya 18
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aisee sijacheka kwasababu nimetaka kucheka hapana ila ilaa kazi kwelikweli basi mnaweza zichuja chuja habari au muishi kwa upepo fanya utafiti ukimaliza chili mpaka upepo ukipita unaweka vumbi hili linachukuliwa na upepo mwingine unapiga kazi wee ukipata vumbi unapumzika unaya kusanya ikija upepo mwingine unaweka vumbi mwishoni yatakutana sehemu mojaWanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
alafu kama unataka utengeneze urafiki au ufanye kazi na mtu tuna angalia namna yule mtu alivyo yaani pande zote tabia yake muonekano na akiwa kwenye shida iwe ana hasira au jambo baya limetokea ndio utajua unaenda nae vipi hilo pia lizingatiwe kama mtu ana influence na kuna mambo yanataka mipaka iekeni mzeeWanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
I can go as far as to say plus 10% increment!If the articles you have been writing lately are anything to go by..., some might say you are receiving the price...,
siyo RAIA atimuliweMy good friend, think before you talk nonsense. Eric ni Mtanzania. Waweza kufurahia yanayomsibu (huku umejificha kwenye fake ID) lakini kumbuka busara hii hapa chiniView attachment 1167400
hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows. Pole brother .....!!! Ni vema tuziishi nyakati huku tukitambua ya kwamba tunapita 'rough roadWanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazumimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Audan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Pole kaka, uzuri umefunguka kwa hili,. Katiba mpya itakayowalinda wanahabari ndio jibu ya uonevu huu kwa waandishi wa habari.Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Mayala,yajayo yanafurahishaWanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Raia ni nani kwenu?Huyu dogo siyo raia wa Tanzania? Wanakuja kufanya vurugu then kikisha waka wanasepa kwao au?
Wewe Ng'wanangwa Paskal Mayalla utakuwa kaongo! Gharama gani unalipa Mzee wa mapambio na masifu?Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Kama kusema ukweli Kuna kulipa price za namna hii, basi tuna shida kubwa na serikali yetu... Maana yake HAKUNA Uhuru WA habari unaotakiwa..Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Wanabodi, mimi ni mwandishi wa habari, nimetokea kumfahamu Erick Kabendera, kiukweli kabisa, ni mmoja wa waandishi wa habari, vichwa nchini Tanzania, this guy is very intelligent.
Japo Tanzania tuna media nyingi na tuna waandishi wengi wa habari, lakini ni media chache na waandishi wachache ndio wanaoweza kufanya the real investigating journalism (IJ), Erick is one of them.
Media za Tanzania, nyingi ni media njaa, dholfu bin taaban, zina survive kwa kutegemea matangazo na sio circulation, hivyo haziwezi kupublish serious investigative stories, matokeo yake stories za Eric zinaogopwa hivi haziwi published as a result Erick kulazimimika kupeleka stories zake nje ya nchi.
Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.
P
Du mkuu una kiherehere cha hatari soma ripoti ndio utoe maoniHuyu dogo siyo raia wa Tanzania? Wanakuja kufanya vurugu then kikisha waka wanasepa kwao au?
Poleni Sana!Ila pia kwa sisi waandishi, japo tunatakiwa kuwa wakweli na kuandika ukweli lakini ukiwa mkweli too much ni tatizo, there is
a price to pay. Stan Katabalo, paid the price, Azory Gwanda paid the price, Ben Saanane paid the price, Generali Ulimwengu paid the price, Aidan Eyakuze is paying the price,; Erick Kabendera is paying the price, hata mimi pia I'm paying the price, mambo ninayopitia sasa only God knows.