Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

Watajijua wenyewe maana mi..ndu yao na washiriki wao wanafanya hayo mambo
 
Sio kweli kabisa...hawawezi kuja n.a. statistics ambazo hawana evidence nazo. Ingawa ni kweli kuna mashoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roman collar watu wanavaa tu, hata ndugu zake Aron wanaweza kuvaaa waonekane Waroma kulichafua! Juzi humu jamiiforum Mzee was Upako alikuwa kaivaa, je ni padri wa Wagalatia?
 
Kwa Italia naweza kubali maana ata zile fashion label zao kama Versace.cavalli.fendi. watu wao wana ulakini ....
sio walakini mkuu,madizaina wengi wanguo hususan za kiume ni mabwabwa tokea enzi na enzi,kuhusu hao makuhani ni jambo la kawaida,unapoweka kipengele cha utawa kwa makuhani unategemea nini.
 
afu aliyeandika hii mada ni mtoto wa mwaka 1996 na ni msabato angekuwa kanisa jingine ningekubali ila msabato hapana....maana huyu mada zake ni kuhusiana na WAKATORIKI tu..nishamchoka

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
afu aliyeandika hii mada ni mtoto wa mwaka 1996 na ni msabato angekuwa kanisa jingine ningekubali ila msabato hapana....maana huyu mada zake ni kuhusiana na WAKATORIKI tu..nishamchoka

I BLNG 2 JESUS CHRST
Source:—(The Guardian, Friday 23 July 2010, 19:20)
 
Hivi kiti cha enzi cha shetani kiko taifa gani??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuomba ridhaa ya kuwataja kwa majina na maeneo wanakohudumi mapastor wa kisabato hapa Tanzania wenye hatia za kuwaingilia kingono watoto wadogo tena wengine wa familia zao watu wakabadili mada angani.
Huyo tulishampuuza siku nyingi mkuu kwa sababu hana jipya zaidi ya matusi.

Furaha kwake ni kulitukana Kanisa Katoliki kila wkt,kidogo kulikuwa na MTU anajiitwa Kitaja alikuwa anajaribu kujibu hoja bila matusi ila kwa sasa naona amenyong'onyea baada ya kukosa facts na kwa sasa kilichobaki kwake mhemko wa kidini,kurudi kuwataka radhi Wakatoliki anataka lkn anaona aibu Si ajabu akabadilisha ID au akabadili upepo na kuibukia kwenye mijadala ya siasa maana naona huku amekosa nguvu kabisa,na yote hayo ni michango mikubwa iliyotoka Wakatoliki walio deep kwenye bible na historia ikiwemo wewe.

Hayo masuala ya mapastor wa kisabato kulawiti achana nayo,hizo ni personal attack anazozipenda huyo AROON ambazo hazitujengi kwenye neno la Mungu (Biblia)

Asante sana ubarikiwe mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…