Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

Resesrch za kipuuzi na anayeamini mpuuzi.

Gazeti litege Kamera sehemu kunasa watu, hilo tayari ni kosa ambalo lingepelekea gazeti kufungwa, sio kitu ambacho wangekaa watangaze. Tayari story nzima inaonekana fake.

Mimi sina dini ila huu upuuzi siwezi kubaliana nao. Ukisoma kitu online ni vema kuchanganya na zako sio unabeba unatafsiri na kusambaza. Hamna kitu kama 98% mashoga! Gays bado ni minority hawajasambaa kiasi hicho.
 
Resesrch za kipuuzi na anayeamini mpuuzi.

Gazeti litege Kamera sehemu kunasa watu, hilo tayari ni kosa ambalo lingepelekea gazeti kufungwa, sio kitu ambacho wangekaa watangaze. Tayari story nzima inaonekana fake.

Mimi sina dini ila huu upuuzi siwezi kubaliana nao. Ukisoma kitu online ni vema kuchanganya na zako sio unabeba unatafsiri na kusambaza. Hamna kitu kama 98% mashoga! Gays bado ni minority hawajasambaa kiasi hicho.


ONA MWENYEWE

 
Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

“Kanisa Katoliki, ambalo linajitokeza kwenye kamba ya kashfa ya unyanyasaji wa kijinsia, inakabiliwa na aibu mpya baada ya gazeti la Italia kuchapisha uchunguzi juu ya kile kinachoitwa maisha mawili ya makuhani ambao ni mashoga huko Roma. Kwa kutumia kamera zilizofichwa, gazeti la Panorama la kila wiki, linalomilikiwa na waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi, lilinasa makuhani wakitembelea klabu za mashoga na baa na kufanya ngono. . . . Diyosisi ya Roma ilipiga kelele kwenye gazeti la waziri mkuu, ikisema lengo lake lilikuwa “kuunda kashfa [na] kutetea makuhani wote”. Lakini pia iliwahimiza mapadre ambao ni mashoga kuacha ukuhani. . . . Kuhani mmoja, wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 30 ambaye alijulikana kama Baba Paul, alihudhuria pati ambako kulikuwa na makahaba wawili wa kiume. . . . Panorama iliripoti. Picha kwenye tovuti yake ilidai kuwa inaonyesha kuhani akiwa amevaa kola yake ya kipadre lakini bila ya suruali yake akiwa na shoga ambaye alifanya kama mtego kwa gazeti hilo. Katika picha nyingine, makuhani walionyeshwa dhahiri wakimbusu mshiriki wa Panorama. Mmoja wa mapadre alinukuliwa na gazeti akiweka idadi ya makuhani ambao ni mashoga katika mji mkuu wa Italia kama asilimia “98%”. . . . MP wa zamani wa Italia na mwanaharakati wa mashoga, Franco Grillini, alisema: “Kama mashoga wote katika kanisa Katoliki walipaswa kuondoka mara moja – kitu ambacho tungependa sana – kinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kazi.” —(The Guardian, Friday 23 July 2010, 19:20)

Mathayo 7:15,16“Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.”

MUNGU ATUNUSURU NA HIZI LAANA
1c256a8381243a4ba9fdd6fdd751e827.jpg


YHWH IS GOOD



cc mgen



KIFAA CHENGINE HICHI , MADE IN VATICAN , KINATOBOA SIRI


Over half of Catholic priests are gay, says Vatican insider


berger-1_640x345_acf_cropped1.jpg

Ads by Kiosked

David Berger says the Vatican is full of homosexual priests (Twitter)
A theologist who worked at the Vatican says having gay priests ‘works well’ for the Catholic church.

David Berger – who is openly gay – said
 
Weka source mkuu Tuesday fuatilie. All in all ujue makuhani wanatoka kwa watu na ni matokeo ya jamii wanayoishi, so km 98% ni kweli kwamba ni mashoga, then 98% ya raia wa roma/ Italia ni mashoga
 
Hata papa Francis alipoulizwa kuhusu mashoga na yeye alijibu kwa kuuliza "kwani mimi nani?".

Msisahau hilo.
 
Duuu kama hao wanakuwa hivyo Mbingu IPO hapo kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app

ipo sana...ukuhani wa kanisa katoliki si wa wito ni wa kusomea kwa muda mrefu, kama zilivyo taaluma zingine....bahati mbaya kwao ni kuwa brain washed. Ukishaanza kazi ndipo unagundua kuwa ulikuwa brain washed. Na kama unaipuuzia neema ya Mungu ya wokovu unaishia kufanya vituko. Dont giveup Mungu yupo na anatupenda sana as long as we abide in his wil.
 
Priest moja ndiyo imegeuka kua 98% ?
Unajua 98% maana yake katika watu mia 98 ni mashoga?

Huyo unafikiri amejitokeza ??? si ametegewa . Kwani uliwahi kuwaona wachawi ??? si mpaka waanguke na ungo ndio mnasema huyu jamaa mchawi 😛😛😛

Nenda Roma na jaribu kuwa karibu na Padri utajua ukweli uko wapi. Kuna jamaa baharia alikuwa likizo Roma , mara nyingi akiwaona hawa mapadri kwenye parks za kupumzikia. yeye akiwahishimu sana kwani alikuwa ni mkatoliki , na akijaribu kujipendekeza kwao sana. Kunasiku padri akamchukua vichochoroni , mara akalivuta juu joho lake na kumwekea boga , Jamaa kashituka akatoka mbio , hakuamini.
 
Yaani kati ya makuhani 100, makuhani 98 ni mashoga.
Na wakiwa Makuhani 1000, Makuhani 980 ni
mashoga.
AROON huwezi kuikwepa hii dhambi ya kulidhalilisha Kanisa Katoliki.
Sio kila habari inayoandikwa na magazeti ni sahihi hadi uione ni ya kweli.
Kwa idadi hiyo ni sawa tu na kusema Makuhani wote wa Kanisa Katoriki ni Mashoga huko Italy.
Hata wapagani hawawezi kuwa wa idadi hiyo.
Inawezekana Ushoga ukawepo lakini sio kwa idadi hiyo.
AROONI UNAPASWA KULIHESHIMU KANISA KATORIKI.

Wewe AROON unataka kutuambia kuwa huna dhambi ?

Au unavyoamini waumini na viongozi wote wa KISABATO hawana dhambi ?

AROON, utakuja kulipa ghalama ya hayo matusi ambayo kila mara unalitukana Kanisa Katoriki.

Amini Nakuambia.
 
Yaani kati ya makuhani 100, makuhani 98 ni mashoga.
Na wakiwa Makuhani 1000, Makuhani 980 ni
mashoga.
AROON huwezi kuikwepa hii dhambi ya kulidhalilisha Kanisa Katoliki.
Sio kila habari inayoandikwa na magazeti ni sahihi hadi uione ni ya kweli.
Kwa idadi hiyo ni sawa tu na kusema Makuhani wote wa Kanisa Katoriki ni Mashoga huko Italy.
Hata wapagani hawawezi kuwa wa idadi hiyo.
Inawezekana Ushoga ukawepo lakini sio kwa idadi hiyo.
AROONI UNAPASWA KULIHESHIMU KANISA KATORIKI.

Wewe AROON unataka kutuambia kuwa huna dhambi ?

Au unavyoamini waumini na viongozi wote wa KISABATO hawana dhambi ?

AROON, utakuja kulipa ghalama ya hayo matusi ambayo kila mara unalitukana Kanisa Katoriki.

Amini Nakuambia.
Sasa kama watu wanaweza kuabudu mafuvu na mifupa

Wanashundwaje kuwa mashoga?

c1017b0a5e1c4a1718e01f5f87be8f20.jpg
 
Back
Top Bottom