Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

Kwani wakiwa mashoga shida yako ni nini?
Shida tangu ni kuwa Wasabato hawana kitu cha kuhubiri zaidi ya kuwakashifu kanisa katoliki labda tuwaite WakashifuKatoliki.
Badala ya kuhubiri Injiri ya Yesu Kristo, Wasabato kazi yao ni kueleza majungu dhidi ya Ukatoliki.
Kama umeenda Ulaya na ukiingia kwenye Gay Club, yaani Clabu za mashoga huwezi kukukuta asilimia 98 ya watu ktk Club hizo ni mashoga.
Wapo wafanyakazi ambao sio mashoga, wapo watu wanaoenda kustarehe tu ktk Gays Club, wapo wamiliki wa Club hizo ambao sio mashoga hii inamaana kuwa hata ukienda ktk Club za mashoga hukuti asilimia 98 ya wahudhuriaji kuwa ni
mashoga
Kusema kuwa asilimia 98 ya makuhani wa kanisa Katoriki huko Italia ni mashoga ni habari ya kizushi na inapigiwa debe na Wasabato, Wapingakatoliki.
Kwani ni sawa na kusema Kanisa Katoliki la Italia ni danguro la mashoga.
Jambo ambalo sio la kweli hata kidogo.
Mimi nasema hivi,
Wasabato endeleeni kulidhihaki kanisa katoliki kwa kuwa ndio jukumu lenu mlilopewa na nabii wenu mke
Elleni G White.
Wakatoriki endeleeno kuhubiri Injili ambayo Bwana wetu Yesu Kristo aliwatuma kuihubiri katika mataifa yote.
Waacheni wafuasi wa Elleni wahubiri walichotumwa na Nabii wao.
Kipofu anapo mwongoza kipofu mwenzake mwisho wao ni kitumbukia kwenye ziwa la moto.
 
Shida tangu ni kuwa Wasabato hawana kitu cha kuhubiri zaidi ya kuwakashifu kanisa katoliki labda tuwaite WakashifuKatoliki.
Badala ya kuhubiri Injiri ya Yesu Kristo, Wasabato kazi yao ni kueleza majungu dhidi ya Ukatoliki.
Cha kushangaza waliposhindwa kutabiri mwisho wa dunia kama walivyojinasibu kuweza (rejea historia ya wasisi wake na namna lilivopatikana), wakageukia kulitukana Kanisa Katoliki ambalo halina kosa lolote na halikuwafanya chochote.

kila chenye mwanzo kina mwisho mkuu wasikutishe
ipo siku watachoka na kukaa kimya na wakilitazama kanisa katoliki likiendelea kuchaanja mbuga.....

kiufupi ndugu yangu kama ulikuwa hufahamu ni kuwa
ndugu zetu wasabato wamesahau kwamba adui yao mkubwa ni shetani na matokeo yake wanapambana na yule asiyekuwa adui yao yaani kanisa katoliki. Hii ni mbinu anayoitumia shetani kuwasahaulisha ili aweze kuwatawala.

Shetani asili yake ni malaika na malaika waliumbwa bora zaidi kuliko wanadamu katika kufikiri, kwa sababu wao ni roho tupu. Wenzetu wamesahau hilo kwa sababu hawana sera maalumu ya kuendesha dhehebu lao. (ndo maana utakuta asilimia kubwa ya mahubiri na mafundisho yao ni SABATO, PAPA NA KANISA KATOLIKI)

Shida ya kuhama kwa baadhi ya waamini wake kutokana na madanganyo ya shetani, yalitabiriwa na mtume Paulo alipoandika na kusema,
NANUKUU
“Maana ile siri ya kuasi sasa inatenda kazi, lakini yuko azuiaye sasa,hata atakapoondolewa.Hapo ndipo atakapofunuliwa yule asi, ambaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa ufunuo wa kuwapo kwake; yule ambaye kuja kwake ni kwa mfano wa kutenda kwake shetani, kwa uwezo wote na ishara na ajabu za uongo na katika madanganyo yote ya udhalimu kwa hao wanaopotea, kwa sababu hawakukubali kuipenda ile kweli, wapate kuokolewa. Kwa hiyo Mungu awaletea nguvu ya upotevu, wauamini uongo ili wahukumiwe wote ambao hawakuiamini kweli bali walikuwa wakijifurahisha katika udhalimu”. (2 The 2:7-12)


Wakatoriki endeleeno kuhubiri Injili ambayo Bwana wetu Yesu Kristo aliwatuma kuihubiri katika mataifa yote.
Ndugu yangu wakatoliki ni waelewa, hawakasiriki bure, pia ni wavumilivu sana. Wakatoliki wanaendelea kuishi imani yao kwa utulivu na kuwaacha hao wanaowapinga (wasabato) waendelee kwani kila kitu kina mwisho wake.

Sisi (WAKATOLIKI) hatuwezi kuwachukulia hatua ya kiuhalifu kwa sababu tunajua adui yetu namba moja ni nani na kumkabili mara moja (kufukuzana na waliokinyume na wewe huko ni kupoteza muda)

Kumbe kwa busara ya maisha, anayekuwinda walau mjue tu kusudi ujue namna ya kumkwepa. Wala si lazima upigane naye.

Wakatoliki tunatukanwa kwa sababu Wasabato wanajaribu kufunika aibu yao ya kihistoria na wanadhani matusi ndiyo njia ya kuliua Kanisa Katoliki.

Hawajui kwamba matusi hayawezi kumharibu mtu isipokuwa kumfedhesha mtukanaji tu. Waungwana hawatukani.

NOTE; ni mwezi october, mwezi wa kumi mwezi mama yetu bikira maria tukumbuke kusali rozari hasa kwa ajili ya kuombea AMANI tanzania na duniani kiujumla
 
Hii habari kama siielewi vile ila inabidi nielewe tu maana hamna namna tena.

Any way, dini zimebakia kuwa majina maana viongozi na waamini wote ni wapiga deal na hasa kutuibia hela.
Mfano, ni hapa JF unaweza ukasikia watu wakitetea ushoga, kula 0713 wake zao /michepuko. Na ikumbukwe kuwa awa hawa ndiyo waamini wa dini izo hizo kwa hiyo, hali ni tata kabisa.

Dini zote ni unafiki mtupu na uchwara na sehemu ya kupiga hela.
Hakuna dini iliyobora kuliko nyngne, ila ni vema tungeendelea kuamini tulichokuwa tunakiamini kabla ya kuja hawa mafirauni!
 
Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

“Kanisa Katoliki, ambalo linajitokeza kwenye kamba ya kashfa ya unyanyasaji wa kijinsia, inakabiliwa na aibu mpya baada ya gazeti la Italia kuchapisha uchunguzi juu ya kile kinachoitwa maisha mawili ya makuhani ambao ni mashoga huko Roma. Kwa kutumia kamera zilizofichwa, gazeti la Panorama la kila wiki, linalomilikiwa na waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi, lilinasa makuhani wakitembelea klabu za mashoga na baa na kufanya ngono. . . . Diyosisi ya Roma ilipiga kelele kwenye gazeti la waziri mkuu, ikisema lengo lake lilikuwa “kuunda kashfa [na] kutetea makuhani wote”. Lakini pia iliwahimiza mapadre ambao ni mashoga kuacha ukuhani. . . . Kuhani mmoja, wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 30 ambaye alijulikana kama Baba Paul, alihudhuria pati ambako kulikuwa na makahaba wawili wa kiume. . . . Panorama iliripoti. Picha kwenye tovuti yake ilidai kuwa inaonyesha kuhani akiwa amevaa kola yake ya kipadre lakini bila ya suruali yake akiwa na shoga ambaye alifanya kama mtego kwa gazeti hilo. Katika picha nyingine, makuhani walionyeshwa dhahiri wakimbusu mshiriki wa Panorama. Mmoja wa mapadre alinukuliwa na gazeti akiweka idadi ya makuhani ambao ni mashoga katika mji mkuu wa Italia kama asilimia “98%”. . . . MP wa zamani wa Italia na mwanaharakati wa mashoga, Franco Grillini, alisema: “Kama mashoga wote katika kanisa Katoliki walipaswa kuondoka mara moja – kitu ambacho tungependa sana – kinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kazi.” —(The Guardian, Friday 23 July 2010, 19:20)

Mathayo 7:15,16“Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.”

MUNGU ATUNUSURU NA HIZI LAANA
1c256a8381243a4ba9fdd6fdd751e827.jpg


YHWH IS GOOD
Hivi kule ndio kanisa lile lilianzia??[emoji28]
 
Hakuna dini iliyobora kuliko nyngne, ila ni vema tungeendelea kuamini tulichokuwa tunakiamini kabla ya kuja hawa mafirauni!

Nimekuwa nikiandikia kuwa sina dini za kigeni a.k.a dini uchwara za wazungu koko na warabu pori baadhi ya members wakataka kunizamisha kwa povu.

Ikabidi niache nisiandike lakini hizo dini ni majanga.
 
Nimekuwa nikiandikia kuwa sina dini za kigeni a.k.a dini uchwara za wazungu koko na warabu pori baadhi ya members wakataka kunizamisha kwa povu.

Ikabidi niache nisiandike lakini hizo dini ni majanga.
Tatizo lako unaandika kwa kuzikejeri imani hizo.
Angalia ulivyoandika "dini uchwara" "warabu pori"
ukimaanisha waarabu.

Ungesema tu huziamini dini flani, kwakuwa sio za asili yako, watu wangekuelewa. Halafu ungetueleza hiyo dini yako unayoiamini, na uzuri wake.
Kama tatizo ni kwakuwa zimeletwa na wazungu na waarabu, mbona mambo yao mengine unayakubali na kuyatumia ?
Elimu uliyosoma ni ya kuletwa toka nje,
Simu unayotumia na teknolojia yake,
Mavazi unayo vaa,
Chakula unachokula, kumbuka mbegu za mazao nyingi zimetoka nje. (eg mchele wa India, sukari ya brazil) nk.
Mbona hizo huzikatai na inatumia na kujifunza ?
Sasa tueleze wewe dini yako ni ipi na inauzuri gani ?

Jifunze ku-challenge hoja kwa kutoa wazo jipya au hoja mbadala na sio kuishia kuidhihaki hoja hiyo na kukaa kimya tu.

Tuambie hiyo dini yako ambayo unajivunia.
 
Nimekuwa nikiandikia kuwa sina dini za kigeni a.k.a dini uchwara za wazungu koko na warabu pori baadhi ya members wakataka kunizamisha kwa povu.

Ikabidi niache nisiandike lakini hizo dini ni majanga.
Kwa kweli ni tatzo, na kibaya zaidi wao kule kwao hawaaaamini kbs kile walichotuaminisha sisi.... kuna mapungufu mengi sana, ila km ilivyo imani yan mtu ukimueleza hbr ya dini yake ni nadra sana kukuskiliza!

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako unaandika kwa kuzikejeri imani hizo.
Angalia ulivyoandika "dini uchwara" "warabu pori"
ukimaanisha waarabu.

Ungesema tu huziamini dini flani, kwakuwa sio za asili yako, watu wangekuelewa. Halafu ungetueleza hiyo dini yako unayoiamini, na uzuri wake.
Kama tatizo ni kwakuwa zimeletwa na wazungu na waarabu, mbona mambo yao mengine unayakubali na kuyatumia ?
Elimu uliyosoma ni ya kuletwa toka nje,
Simu unayotumia na teknolojia yake,
Mavazi unayo vaa,
Chakula unachokula, kumbuka mbegu za mazao nyingi zimetoka nje. (eg mchele wa India, sukari ya brazil) nk.
Mbona hizo huzikatai na inatumia na kujifunza ?
Sasa tueleze wewe dini yako ni ipi na inauzuri gani ?

Jifunze ku-challenge hoja kwa kutoa wazo jipya au hoja mbadala na sio kuishia kuidhihaki hoja hiyo na kukaa kimya tu.

Tuambie hiyo dini yako ambayo unajivunia.


Kwanza sina dini.
Due to the fact that, I was born free therefore, I am living freely.

Kuhusu elimu, na vingine vyote ulivyovitaja havileti migawanyiko katika jamii mfano, kuna watu hawali mchele au kwenda shule na bado maisha yao ni poa sana katika jamii waliyomo.

Ila leo hii ukisema wewe ni let's say kkkt , Pentecostal church au RC church wanaona kama umepotea in the same time, Muslims nao watakuona kuwa hufai kwa sababu hauko kwao.

Sasa dini zote hizo zinakuwa uchwara zaidi pale hata Mimi ambaye siyo member wa any denomination or religion bado wananidharau na hadi kunitusi mara mpagani, mara kafir mara mapepo!!

Kwa hiyo, sababu, yangu kukataa hizo dini uchwara zote ni kwa sababu ya hiyo migawanyiko na dharau zinazojengwa juu ya wengine kuhusu imani.

Kama una maswali mengine uliza.
 
Kama Roma haikujengwa kwa siku moja, bhas sidhani kama itachafuliwa kwa thread za humu jf...bora ungeandika Facebook
 
Hata Iringa waliwahi kusema imejaa mashoga, ila ukifika huko hawakuti
 
Back
Top Bottom