Gazeti la Mawio lafungiwa kwa miezi 24 kwa kosa la kuwahusisha Mkapa na Kikwete sakata la madini

Mbona adhabu ndogo? They deserved more than that oh my God only 24months? I can't believe!

Jana Mbona Imetoka taarifa ya Serikali ya Kuyakataza Magazeti Leo Tarehe 15.06.2017 wamekuja na Habari Zilizokatazwa? Mmmh! Tuheshimu Mamlaka!
 
Hizi ni dalili wazi kuwa jamaa hajapona!
 
Ina maana Kikwete na Mkapa walikuwa ceremonial leaders? Asa kazi yao nn km sio kulinda rasilimali za nchi jukumu ambalo walishindwa mpaka Mkapa kwa dharau aliamua hadi kujiuzia mgodi wa makaa ya mawe.


Hivi hii kinga ya rais kwa nn ccm hawataki kuitoa km maoni ya watz yalivotaka kwenye katiba ya warioba?

Hivi huyu mfalme na mtenda haki na anayewajali wanyonge anaweza kushinikiza wabunge wa chama chake wakubali kinga dhidi ya rais iondolewe? Itakuwa ajabu maana yeye binafsi ana maslahi binafsi mikataba ya bormberdier na chato inter. Airporr
 
Ila KI-UKWELI, Pamoja na kwamba Rais kazuia kuwananga hawa marais wastaafu, ila walikuwa na kesi ya kujibu hapa, ikiwa kinga ingeondolewa, ila na wao wana damu, moyo, nafsi nk. machozi ya watanzania yanawalilia ndani ya mioyo yao, pengine kwa sasa tungekuwa tunakusanya mapato ya Trilioni 2 kwa mwezi, ila kwa Ulofa wao wakakubali kuweka ubongo wao pembeni na kuazima ubongo wa wazungu, baada ya kustaafu ndio ubongo wao umerudi na kuanza kujutia kuwa tulifanya makosa, hata JK. atasema kuwa nilisaini kwa maelekezo ya Mkapa.
 
Muhariri wa hilo gazeti ni muhaini...anafaa kunyongwa kabisa....
 
Uhuru wa habari nchi zetu bado sana. Hadi aibu.
Kwani jana hawakuonywa kuhusu taarifa hiyo?ni kiburi au majaribu?

Hata Tanzania Daima waliokosa weledi hawajafanya huu upuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…