Ila KI-UKWELI, Pamoja na kwamba Rais kazuia kuwananga hawa marais wastaafu, ila walikuwa na kesi ya kujibu hapa, ikiwa kinga ingeondolewa, ila na wao wana damu, moyo, nafsi nk. machozi ya watanzania yanawalilia ndani ya mioyo yao, pengine kwa sasa tungekuwa tunakusanya mapato ya Trilioni 2 kwa mwezi, ila kwa Ulofa wao wakakubali kuweka ubongo wao pembeni na kuazima ubongo wa wazungu, baada ya kustaafu ndio ubongo wao umerudi na kuanza kujutia kuwa tulifanya makosa, hata JK. atasema kuwa nilisaini kwa maelekezo ya Mkapa.