Kwangu mimi na kwa wale wenzangu tusioegemea upande wa vyama vya siasa ni faraja kubwa kupata gazeti la MWANAHALISI linalotoka kila Alhamisi nchini Tanzania.
Kwangu mimi ni chombo pekee katika Print Media ambako naweza kupata uchambuzi makini{analytical} wa maswala mengi ya kisiasa na kijamii. Print media nyingine zote ni kusifu na kuabudu kusiko na kikomo. Bado narudia kuzisoma makala za wiki iliyopita wakati nikisubiri toleo la Alhamisi wiki hii!!!!!!. Hongereeni.
Kwangu mimi ni chombo pekee katika Print Media ambako naweza kupata uchambuzi makini{analytical} wa maswala mengi ya kisiasa na kijamii. Print media nyingine zote ni kusifu na kuabudu kusiko na kikomo. Bado narudia kuzisoma makala za wiki iliyopita wakati nikisubiri toleo la Alhamisi wiki hii!!!!!!. Hongereeni.