Miaka miwili ?Uhuru wa vyombo vya habari upo Wapi ?Tanzania kama Uturuki.
Na wewe unaendeleza uongo, miaka mitatu Iko wapi? Au miezi 24 ni sawa na miaka 3? Usifikiri wote wanashabikia habari za uongo, inakera sana.Hapo ndo alisema atazungumza habari muhimu kuhusu Tanzania yetu? Halafu unafungia gazeti kwa miaka mitatu wakati kiuhalisia baada ya hiyo miaka mitatu kutakuwa na utawala mwingine? Ulevi bwana haujawahi kumuacha mlewaji salama bila ulevi kumdhuru mlewaji kutokana na ulevi wa kutumia kilevi!
Lakini alivohamia chadema walimsafosha, So wasamehe tiKiukweli Mwanahalisi siyo gazeti bali kijarida fulani cha wachafuzi. Hawa walimchafua sana Lowassa na bado dhambi ile itaendelea kuwatafuna!
Kama ni maagizo mbona walikua wanaomba radhi? Kwa kuwa damage inakua tayari imeshatokeaMaagizo toka juu....
"Lakini yana Mwisho"
Millioni 50safi sana tumechoka kusoma uongo.warudi tena shule hao waandishi wa hilo gazeti
Hahaaaaaa mkuu leo umechora mistari mingi hongerahizo ni dalili za kuwa muongo, mtu anazungumza anapepesa macho tu hatulizi kichwa....
Mbona kama vile anarembua ' mimacho ' yake wakati anazungumza hapo? Ni macho yangu tu ' yamekengeuka ' au na wengine mmeliona hilo?
[emoji1] [emoji1] duh!! Kweli mkuuSiku hizi ili uuze gazeti lazima iwe na kichwa cha Lisu;
Mfano:
1. Lisu aonyesha sura ya tabasam
2. Lisu akohoa hodini
4. Lisu amelalia ubavu wa kushoto Leo
5. Lisu anadai kikombe cha uji mapema Leo
6. Lisu apiga stori na waliomtembelea Leo
7. Nk
Sasa bwana, huku mtaani tutasikia maneno ya wajuaji...Mara Lisu kakohoa Leo!!, mara kaomba uji Leo!!! Ilimradi kila mmoja aonekane mfuatiliaji wa karibu.
Hilo gazeti walifungue tu maana soko ni baya kwasasa
Ha ha ha ! Mkuu karibu bongo landWanahofu Lingeweka Aliyempiga Tundu Lissu risasi Picha yake nini?