bg_dg_dy
JF-Expert Member
- Feb 27, 2009
- 606
- 493
Gazeti la Mwanahalisi na Mawio yanaonekana ni magazeti korofi kila wa leo ni wao tu.....
Je yawezekana habari zao zina ukweli "mere plain truth" ila wanakosea namna ya uwasilishaji kwa wapendwa wa magazeti hayo ama wanahisi wakitumia taaluma kufichamafichama haitaeleweka wazi kwa wasomaji....
Nadhani taaluma ya utangazaji na uandishi they don't dare talk openly but they talk open by riddles.
Je yawezekana habari zao zina ukweli "mere plain truth" ila wanakosea namna ya uwasilishaji kwa wapendwa wa magazeti hayo ama wanahisi wakitumia taaluma kufichamafichama haitaeleweka wazi kwa wasomaji....
Nadhani taaluma ya utangazaji na uandishi they don't dare talk openly but they talk open by riddles.