hawa jamaa wakera....Hahaaaaaa mkuu leo umechora mistari mingi hongera
Miaka miwili ?Uhuru wa vyombo vya habari upo Wapi ?Tanzania kama Uturuki.
Lakini si vyema kuvunja taratibu zilizopo kwa makusudi kabisa na wakiwajibishwa wasingizie kukandamizwa.Maagizo toka juu....
"Lakini yana Mwisho"
safi sana tumechoka kusoma uongo.warudi tena shule hao waandishi wa hilo gazeti
Msemaji wa serikali: Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.
Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.
September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========
View attachment 591506
View attachment 591504
Kusoma na kuongea ni mambo mawili tofauti!Mkuu kweli kwa hizi "actually" 83 tutaelewa kweli?
Uongo uko wapi hapo? Hasira za Maelezo zinatokana tu na makala (ambayo wao Maelezo wameiita kuwa habari) ambayo ni maoni ya mwandishi aliyetumia hoja za Lissu alipokuwa akijitetea mtandaoni baada ya maCCM kuanza kumshambulia yakidai kuwa sio mzalendo. Katika maelezo yake yale Lissu anaeleza jinsi alivyo mzalendo kuliko Rais. Hapo ndipo kuna hasira za Maelezo. Huu ni uoga na ni unafiki wa kupindukia. Dk Abbas sasa anajikomba to the maximum kwa mkuu wa nchi. Ile makala ya Ngurumo ni ukosoaji wa kawaida kabisa. Inawezekana kweli mmechoka kwa namna mnavyozidiwa hoja, lakini kuchoka kwenu ndiko kunasababishwa nyie mzidi kuchokwa!
TUMEZOEA SARAKASI ZA AWAMU HII........... UKISEMA UKWELI HEHEHEHE . TUKO BUSSY KUMCHANGIA KAKA WA TAIFA TUNDU LISSU TUSHAFIKISHA DOLA 20 ELF ZINAFAA KUFIKA 50$ HIMA WATZ MCHANGIENI
Yap! Majinga yanafurahi lakini hayaoni hatari ya vyombo vya habari kudhibitiwa kwa namna iliyopitiliza!Tunakokwenda Siko hakuna tena right ya kuspeek
Basi sawa.safi sana tumechoka kusoma uongo.warudi tena shule hao waandishi wa hilo gazeti
Mkuu hakuna uhuru usio na mipaka! Hivyo hawawezi wakaandika habari hata ya uongo eti kwa sababu ya uhuru wa vyombo vya habari. Lazima waandike habari ya kweli si ya kutunga!Naona hiii nchi ifanywe tu ya chama kimoja, kama kusema na kukosoa serikali ni dhambi kwa kweli tunaelekea kubaya, wacha watumie jeshi, polisi, uwingi wao bungeni, na vyombo vyote vya kukandamiza uhuru wa habari lakini kuna mwisho na kuna Mungu anayehukumu kwa haki.
Yeah hapo ndio penye hukumu ya kisheria na ikithibitika mahakamani hatua yoyote stahiki ichukuliwe na si mtu awaye yote achukuwe sheria mkononi!Kama wanaadika uongo wawapeleke mahakamani
Lakini mara zote mahakama imekuwa ikithibitisha kuwa sio wazushi. Na mlivyo watu wa ajabu hata Mawio walipoandika kuhusu aliyekuwa naibu waziri Ngonyani Mawio lilifungiwa mkashangilia, lakini jambo la ajabu hata juzi waziri huyo huyo alipotakiwa na Magufuli ajiuzulu baada ya kutajwa na Kamati ya Bunge kwenye madini kwa jambo lile lile lililoandikwa na Mawio likafungiwa, mkashangilia tena. Nchi hii inaangamia kwa kuwa na idadi kubwa ya watu wa aina yenu!mdada wahuni hao, hawajakupata ukaingia kona zao, ni blackmailer, wazushi
hivi wanaweza wakasema wewe ni mwanaume!! na wakaweka evidence zao
kuweni wakweli tu, acha ushabiki
True!Ndiyo kazi pekee iliyobaki wanayoweza kuifanya kwa ufanisi
Kwa kulifungia Mwanahalisi,Sauti za wananchi hazitapaa hewani? Hapa kazi tu
Msemaji wa serikali: Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.
Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.
September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========
View attachment 591506
View attachment 591504