Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

Gazeti la MwanaHALISI lafungiwa kwa miaka miwili, wahukumiwa kwa kuandika habari za uzushi kuhusu Mwakyembe na Makinikia

Hapo ndo alisema atazungumza habari muhimu kuhusu Tanzania yetu? Halafu unafungia gazeti kwa miaka mitatu wakati kiuhalisia baada ya hiyo miaka mitatu kutakuwa na utawala mwingine? Ulevi bwana haujawahi kumuacha mlewaji salama bila ulevi kumdhuru mlewaji kutokana na ulevi wa kutumia kilevi!
 
Hivi na blog ya LeMutuz itafungiwa lini kutokana na upotoshaji?
 
Safi sana.

Tatizo nchi ilikuwa imefika pahala kila mtu anataka kujifanya usalama wa Taifa.

Yahaya unaishi wapi?

Wanyoosheni tu hatutaki uongo ,waache ujinga.
 
Huyu Dr Abbas ni mmoja wa wasomi wa hovyo sana TZ kuwa nao!Msomi anaye tetea tumbo lake ni msomi wa hovyo sana
 
Zile bilioni 2 walizoambiwa walipe baada ya mwanahalisi kushinda kesi wamejipa? Au wamekurupuka kuwangia tena
 


Msemaji wa serikali:
Mfano tarehe 30 Januari lilichapisha habari yenye kichwa cha habari 'Ufisadi ndani ya ofisi ya JPM' ilhali ndani linazungumzia ufisadi ndani ya shirika la elimu Kibaha, ni kiwango cha juu sana cha sensetionalism. Tuliwaita wakaona udhaifu wao na kuomba Radhi na tukawasamehe.

Miezi miwili baadae April 27 wakaja na habari kubwa Mwakyembe: Maisha yangu yako hatarani. Hii stori ilikuwa ya kutunga, Mwakyembe hakuzungumza popote na mhariri wa Mwanahalisi wala mwandishi yoyote, wakaomba radhi kwenye gazeti lao la Mei kwa mheshimiwa Mwakyembe kwa kuomba Radhi, wakaahidi kwenye gazeti kuchukua hatua za kinidhani kwa mhandishi aliezusha, hatua hatujazisikia hadi leo na bado wameendelea na uandishi huo.

September 4 walikuwa na habari nyingine kubwa 'Makinikia yakwama'. Ni mfano mwingine wa habari ya kutunga, tukawapa muda wasahihishe lakini wakakataa kwa maana hawaoni kosa kisheria. Msingi wa kwanza kwenye uandishi wa habari ni ukweli, kamati ya makinikia imekwama wapi na lini, hata ukisoma Miga ina msingi wa confidentiality, sasa katikati ya mazungumzo gazeti kuibuka na kusema mazungumzo yamekwama.
========

View attachment 591506
View attachment 591504

Kiukweli Mwanahalisi siyo gazeti bali kijarida fulani cha wachafuzi. Hawa walimchafua sana Lowassa na bado dhambi ile itaendelea kuwatafuna!
 
Mtafungia magazeti, na kufanya lolote lile mlitakalo but "2020, dictator must go." Tumechoshwa na uvunjifu wa amani.
 
Magazeti mengi yatanzania wanapenda kuandika heading ambayo haihusiani na habari yenyew..jambo hili n baya sana kwan lina lenga kudanganya wananchi na kumfchafua mtu...Watanzania wenye vixhwa vya panzi mtu akishasoma heading uyo anaondoka kwenda kutangaza kumbe ni uzushi.

naipongeza serikali kulifungia hili gazeti la vixhwa vya funza maana halijal utu ukweli kabisa uzush tu gazeti hili limepoteza kabisa mvuto kwa wananchi limekalia uzushi
 
Kama wanaadika uongo wawapeleke mahakamani

Huyu jamaa anayerembua macho ana uhusiano gani na Mkuru?? Inaoenakana kama naye anatokea kulekule wa Kukaya??
Kila idara zimejaa Wasukuma ili kulinda maslahi mapana ya mkuru...!! hapa Kazi tu.
 
Back
Top Bottom