Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Gazeti la Mwananchi limeongopa, Aliyemtishia Nape bastola sio mmoja wa waliokamatwa Mtwara

Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Kwanini asikamatwe?
 
Gilbert Kalanje (Depomate wangu CCP 1998-1999),na huo U-Superitendent amepata juzijuzi tu,leo yupo Mahabusu kwa Kesi ya Mauaji[emoji24]hakika kwenye Maisha hakuna aijuaye kesho
Kumbe na wewe ni polisi? da umenikumbusha nilivyomaliza F4 braza angu alitaka niwe polisi nikamwambia acha niwe hata boda boda lakini siyo kuwa polisi
 
Mkuu heshima kwako.
Amini ya kwamba mwananchi wamekosea, Henry wala hayupo mtwara na hajawahi kuwa SP.
Gilbert ana muda mrefu mtwara kabla hajatoka musoma
Kwa hiyo gazeti limemfananisha?
 
Sasa kama huyu Henry kumbe anajulikana kwanini hajashughulikiwa? Au kutishia mtu bastola sio Kosa? Ndio haya haya tunaachia watishiaji watu bastola bila kuwakanya mwisho wa siku wanafanya kweli.

Trigger Happy....
Mwananchi ni gazeti la Kenya, hawana utu ni nyangau. Unakumbuka Azorygwanda alikuwa mtumishi wao alitoa breakingnews kila UAMSHO walipomchinja polisi au ccm lakini wapinzani hawaguswi. Gazeti litajua yuko wapi na lina wajibu kumcompsare mjane.
 
Mwananchi ni gazeti la Kenya, hawana utu ni nyangau. Unakumbuka Azorygwanda alikuwa mtumishi wao alitoa breakingnews kila UAMSHO walipomchinja polisi au ccm lakini wapinzani hawaguswi. Gazeti litajua yuko wapi na lina wajibu kumcompsare mjane.
Kwahiyo hii ndiyo sababu ya kumuua Azory Gwanda?
 
Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Lete wewe ushahidi kuwa ni henry?!
Tofauti na hapo acha porojo
 
Gazeti la mwananchi limeandika Aliyemtishia Nape bastola apandishwa kizimbani kwa makosa ya mauaji huko Mtwara.

Hii sio kweli, gazeti hili limeweka picha ya afande Gilbert na kuonyesha ndiye aliyemtishia Nape bastola.

Gilbert Kalanje ni SP wa police(mrakibu), wale wenye mwenge mmoja begani. Henry hajawahi kuwa na cheo hiki.
Aliyemtishia Nape sio huyo aliyeripotiwa na gazeti la mwananchi.

Sijajua kwa nini wamekosea hii taarifa, Henry Kisanduku hana uhusiano wowote na Gilbert Kalanje.

View attachment 2098332
Kwa hiyo wewe unamfahamu jamaa aliye mtolea Bastora Nape? Kwamba huyu mwamba anasingiziwa yupo ambae wewe unamfahamu lakini hutaki kumtaja.
 
Gilbert Kalanje (Depomate wangu CCP 1998-1999),na huo U-Superitendent amepata juzijuzi tu,leo yupo Mahabusu kwa Kesi ya Mauaji[emoji24]hakika kwenye Maisha hakuna aijuaye kesho
Unaunacheo gani sasahivi?!
 
Ninachoamini ni kwamba Mwananchi wanataka hili jambo lifufuke upya.Kwa kuchanganya huko kwa makusudi itabidi waziri wa habari ambaye ni Nape awape adhabu ya kudanganya umma na kisha katika kuwapa adhabu ataweka ukweli na katika kuweka ukweli basi Gilibert atatafutwa huko aliko.Shahid wa Nape atakuwa Hamorapa pamoja na Kitenge
 
KITENGE AMBAYE ALIMUONA USONI SIKU ANASOMA HII HABARI KWENYE GAZETI ALISEMA "KAMA HATUA ZINGECHUKULIWA MAPEMA LABDA HATA MTWARA ASINGEFANYA HIVYO" WHICH MEANS ALIMKUMBUKA SURA YAKE
 
KITENGE AMBAYE ALIMUONA USONI SIKU ANASOMA HII HABARI KWENYE GAZETI ALISEMA "KAMA HATUA ZINGECHUKULIWA MAPEMA LABDA HATA MTWARA ASINGEFANYA HIVYO" WHICH MEANS ALIMKUMBUKA SURA YAKE
 
Back
Top Bottom