Gazeti la Mwananchi online lafungiwa miezi sita na kulipishwa faini milioni 5 kwa kupotosha

Gazeti namba moja tanzania. Lenyekutupa habari za uhakika
 
Ila walijichanganya sana huwezi kupotosha taarifa ya mkuu wa nchi kwa kiwango kile. Sijui huwa hawahariri habari kabla ya kuposti.
 
unajuwa bado nipo kwenye maamuzi ya serikali kulifungia gazeti la mwananchi.u najuwa naamin kabisa kuwa kuna kinachoendelea nyuma ya pazia tusissma tu kuwa gazeti lina ukosoa uwongozi wa awamu ya 5 sio kweli,gazeti ni chombo cha wazi,kila mtu anasoma,sitaki kuamin kama amekaa mtu mmoja na akawa na chuki zake na kuamua kuandika habari za upotoshaji kama inavyo daiwa.
kuna gazeti la TANZANITE la mwenye miliki ni cprian musiba,lakin nani asiojuwa shombo za mtu huyo?nani asiojuwa maneno machafu ya mtu huyo lakin ni lini mtu huyo amechukuliwa hatua na serikali?kama wataka uhuru huo wayaache magazeti yaandike kinacho onekana.
 
Hawa mwananchi waliweka video Twitter Rais akinunua samaki magengeni watu wamejaa wakati huu wa corona,baadaye serikali ikakanusha kwa siyo video ya mda huo ni ya siku nyingi mno.Ndo zogo ilipoanzia ,pia the citizen tv walisema JPM ni mkaidi akawapiga biti .
natamani sana kuijuwa hiyo habari ambayo iliandikwa.manake siku hizi ukiandika ukweli,basi wewe upo kwenye hatari,ukisema ukweli upo kwenye hatali,unajuwa tunanyimwa sana uhuru wa kuongea na uhuru wa vyombo vya habari.

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
 
Wafunge wasifunge ila habari tulipata

Covid ni hatari tuchukue tahadhari
 
Tovuti ya mwananchi haiko hewani kwa muda sasa mwenye kujua atujuze
 

Attachments

  • mwananchi.PNG
    9 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…