econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
m
wale kenge pale ufipa je?
Mada ni CCM wewe umeanza kutukana wasuohusika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
m
wale kenge pale ufipa je?
Una miaka mingapi?,unaijua CCM ya mwaka 2010-2015 ilivyokuwa inapingwa na Wananchi mpaka walikuwa wanaogopa kuvaa sare za CCM?
Magufuli na timu yake akina Bashiru na Polepole ndiyo Walikuja kurejesha Imani ya CCM kwa Wananchi ila hawa wa Sasa ndiyo wanao irudisha CCM ilikotoka.
Makonda amerudi na style waliyoitumia akina Polepole na mumeona muitikio wa Wananchi,sasa endeleeni kusikiliza ushauri wa matapeli wa Msoga alafu mtufurahishwa kwenye Uchaguzi!
Wapo !m
wale kenge pale ufipa je?
Wasema kweli huwa ni maadui !!Bila UCHAWA maisha yako ndani ya CCM ya leo yatakuwa ni magumu sana ndugu mwandishi.
Kwa uchaguzi ule wa kiini macho.!? Kweli akutukanaye hakuchagulia tusi.maji yako shingoni nini? Magifuli alitengeneza taswira ya chama kutoka zomea zomea mpaka jezi za mitoko na akashinda kwa 84% na 99.9% wabunge na 99.5%madiwani na wenyekiti usiige kunywa kwa tembo utapasuka msamba
Ona aibu basi!akashinda kwa 84% na 99.9% wabunge na 99.5%madiwani na wenyekiti u