Una miaka mingapi?,unaijua CCM ya mwaka 2010-2015 ilivyokuwa inapingwa na Wananchi mpaka walikuwa wanaogopa kuvaa sare za CCM?
Magufuli na timu yake akina Bashiru na Polepole ndiyo Walikuja kurejesha Imani ya CCM kwa Wananchi ila hawa wa Sasa ndiyo wanao irudisha CCM ilikotoka.
Makonda amerudi na style waliyoitumia akina Polepole na mumeona muitikio wa Wananchi,sasa endeleeni kusikiliza ushauri wa matapeli wa Msoga alafu mtufurahishwa kwenye Uchaguzi!