Pre GE2025 Gazeti la Mwananchi: Sekretarieti ya CCM Imejaa Watu "Machawa"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Acha kudanganya watu. Magufuli alitesa wapinzani hivyo kuzima harakati za upinzani na kuwafanya CCM wawe pekee yao kwenye siasa. Wala hakuna Cha maana. Ndipo maana akaharibu uchaguzi wa 2019/2020 mpaka kuzima internet kwa wiki mbili kisa uchaguzi.
 
maji yako shingoni nini? Magifuli alitengeneza taswira ya chama kutoka zomea zomea mpaka jezi za mitoko na akashinda kwa 84% na 99.9% wabunge na 99.5%madiwani na wenyekiti usiige kunywa kwa tembo utapasuka msamba
Kwa uchaguzi ule wa kiini macho.!? Kweli akutukanaye hakuchagulia tusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…