Gazeti la New York Times lafichua uhalifu wa kivita wa jeshi la Marekani katika nchi za nje

Gazeti la New York Times lafichua uhalifu wa kivita wa jeshi la Marekani katika nchi za nje

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
VCG31N679635.jpg
Gazeti la New York Times la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti inayoema, katika miaka ya hivi karibuni, operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika Mashariki ya Kati zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia wasio na hatia. Serikali ya Marekani imekuwa ikipuuza hasara za raia zinazosababishwa na operesheni zake za kijeshi, na kufanya kila linalowezekana kuzuia jumuiya ya kimataifa kufanya uchunguzi. Hata hivyo, mauaji ya raia wasio na hatia hayawezi kusamehewa, na uhalifu wa kivita wa jeshi wa Marekani lazima uchunguzwe.

Gazeti hilo limenukuu zaidi ya nyaraka 1,300 za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani, zikionesha kwamba mashambulizi mengi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani katika nchi za Mashariki ya Kati yaliwekewa alama kuwa “makosa makubwa ya kijasusi”, na yalisababisha vifo vya maelfu ya raia, wakiwemo wanawake na watoto wengi. Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2014 hadi mwaka 2019, Marekani ilifanya mashambulizi zaidi ya 50,000 ya anga katika nchi mbalimbali zikiwemo Iraq, Syria na Afghanistan, bila ya maandalizi mazuri. Kutokana na upelelezi hafifu na vitendo vya haraka, jeshi la Marekani halikuweza kuhakikisha watu walioshambuliwa ni magaidi au raia.

Mara kwa mara serikali ya Marekani imekuwa ikidai kwamba kwa sababu ya matumizi ya ndege zisizo na rubani na silaha zinazoongozwa kwa usahihi mkubwa, jeshi lake linaweza kuepuka majeruhi ya raia wasio na hatia katika mashambulizi ya anga. Hata hivyo, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na jeshi hilo, wakati wa vita dhidi ya magaidi nchini Iraq na Syria, raia 1,417 waliuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani, na tangu mwaka 2018, mashambulizi ya anga ya Marekani yamesababisha vifo vya raia 188 nchini Afghanistan. Lakini kutokana na takwimu za jumuiya ya kimataifa, idadi halisi ya vifo vya raia katika mshambulizi ya jeshi la Marekani ni zaidi ya mara 10.

Tukio jipya la vifo vya raia nchini Afghanistan kutokana na mashambulizi ya Marekani lilitokea Agosti 29 mwaka huu. Wakati huo jeshi la Marekani lilifanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani baada ya kundi la Taliban la Afghanistan kuteka mji wa Kabul. Hapo awali Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilidai kuwa shambulio hilo lilifanikiwa kuwaua magaidi wengi, lakini baadaye kutokana na ripoti za vyombo vya habari, Marekani ilikiri kuwa hakuna gaidi aliyeuawa katika shambulio hilo, badala yake lilisababisha vifo vya raia 10 wakiwemo watoto 7.

Hivi karibuni Marekani ilitangaza matokeo ya uchunguzi huo, na kusema hakuna Mmarekani yeyote anayestahili adhabu kutokana na tukio hilo, kwani hakuna uzembe, makosa au uongozi mbaya.

Mwezi Machi, 2020, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ilitangaza uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita na kibinadamu uliofanywa na jeshi la Marekani nchini Afghanistan. Mwezi Septemba mwaka huo, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuweka vikwazo vya upande mmoja kwa Fatou Bensouda, mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama hiyo, pamoja na maafisa wengine kadhaa waandamizi.

Kwa muda mrefu, Marekani imeanzisha vita nyingi dhidi ya nchi nyingine kwa kisingizio cha demokrasia na haki za binadamu, lakini vita hizo zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia. Marekani inapaswa kujibu kwa dhati wito wa jumuiya ya kimataifa, na kuchunguza kwa dhati vitendo vya majeshi yake vya uhalifu wa kivita, ili kufidia watu waliouzwa bila ya hatia.
 
View attachment 2054265Gazeti la New York Times la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti inayoema, katika miaka ya hivi karibuni, operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika Mashariki ya Kati zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia wasio na hatia. Serikali ya Marekani imekuwa ikipuuza hasara za raia zinazosababishwa na operesheni zake za kijeshi, na kufanya kila linalowezekana kuzuia jumuiya ya kimataifa kufanya uchunguzi. Hata hivyo, mauaji ya raia wasio na hatia hayawezi kusamehewa, na uhalifu wa kivita wa jeshi wa Marekani lazima uchunguzwe.

Gazeti hilo limenukuu zaidi ya nyaraka 1,300 za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani, zikionesha kwamba mashambulizi mengi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani katika nchi za Mashariki ya Kati yaliwekewa alama kuwa “makosa makubwa ya kijasusi”, na yalisababisha vifo vya maelfu ya raia, wakiwemo wanawake na watoto wengi. Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2014 hadi mwaka 2019, Marekani ilifanya mashambulizi zaidi ya 50,000 ya anga katika nchi mbalimbali zikiwemo Iraq, Syria na Afghanistan, bila ya maandalizi mazuri. Kutokana na upelelezi hafifu na vitendo vya haraka, jeshi la Marekani halikuweza kuhakikisha watu walioshambuliwa ni magaidi au raia.

Mara kwa mara serikali ya Marekani imekuwa ikidai kwamba kwa sababu ya matumizi ya ndege zisizo na rubani na silaha zinazoongozwa kwa usahihi mkubwa, jeshi lake linaweza kuepuka majeruhi ya raia wasio na hatia katika mashambulizi ya anga. Hata hivyo, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na jeshi hilo, wakati wa vita dhidi ya magaidi nchini Iraq na Syria, raia 1,417 waliuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani, na tangu mwaka 2018, mashambulizi ya anga ya Marekani yamesababisha vifo vya raia 188 nchini Afghanistan. Lakini kutokana na takwimu za jumuiya ya kimataifa, idadi halisi ya vifo vya raia katika mshambulizi ya jeshi la Marekani ni zaidi ya mara 10.

Tukio jipya la vifo vya raia nchini Afghanistan kutokana na mashambulizi ya Marekani lilitokea Agosti 29 mwaka huu. Wakati huo jeshi la Marekani lilifanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani baada ya kundi la Taliban la Afghanistan kuteka mji wa Kabul. Hapo awali Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilidai kuwa shambulio hilo lilifanikiwa kuwaua magaidi wengi, lakini baadaye kutokana na ripoti za vyombo vya habari, Marekani ilikiri kuwa hakuna gaidi aliyeuawa katika shambulio hilo, badala yake lilisababisha vifo vya raia 10 wakiwemo watoto 7.

Hivi karibuni Marekani ilitangaza matokeo ya uchunguzi huo, na kusema hakuna Mmarekani yeyote anayestahili adhabu kutokana na tukio hilo, kwani hakuna uzembe, makosa au uongozi mbaya.

Mwezi Machi, 2020, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ilitangaza uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita na kibinadamu uliofanywa na jeshi la Marekani nchini Afghanistan. Mwezi Septemba mwaka huo, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuweka vikwazo vya upande mmoja kwa Fatou Bensouda, mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama hiyo, pamoja na maafisa wengine kadhaa waandamizi.

Kwa muda mrefu, Marekani imeanzisha vita nyingi dhidi ya nchi nyingine kwa kisingizio cha demokrasia na haki za binadamu, lakini vita hizo zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia. Marekani inapaswa kujibu kwa dhati wito wa jumuiya ya kimataifa, na kuchunguza kwa dhati vitendo vya majeshi yake vya uhalifu wa kivita, ili kufidia watu waliouzwa bila ya hatia.
Ni Lini Gazeti lilishawahi kushirikishwa kwenye Siri za Nchi? Hili Gazeti linachota akili za Matahira ili kujipatia Viewers na Followers wengi kwa Kutunga habari za Uongo.
 
View attachment 2054265Gazeti la New York Times la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti inayoema, katika miaka ya hivi karibuni, operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika Mashariki ya Kati zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia wasio na hatia. Serikali ya Marekani imekuwa ikipuuza hasara za raia zinazosababishwa na operesheni zake za kijeshi, na kufanya kila linalowezekana kuzuia jumuiya ya kimataifa kufanya uchunguzi. Hata hivyo, mauaji ya raia wasio na hatia hayawezi kusamehewa, na uhalifu wa kivita wa jeshi wa Marekani lazima uchunguzwe.

Gazeti hilo limenukuu zaidi ya nyaraka 1,300 za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani, zikionesha kwamba mashambulizi mengi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani katika nchi za Mashariki ya Kati yaliwekewa alama kuwa “makosa makubwa ya kijasusi”, na yalisababisha vifo vya maelfu ya raia, wakiwemo wanawake na watoto wengi. Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2014 hadi mwaka 2019, Marekani ilifanya mashambulizi zaidi ya 50,000 ya anga katika nchi mbalimbali zikiwemo Iraq, Syria na Afghanistan, bila ya maandalizi mazuri. Kutokana na upelelezi hafifu na vitendo vya haraka, jeshi la Marekani halikuweza kuhakikisha watu walioshambuliwa ni magaidi au raia.

Mara kwa mara serikali ya Marekani imekuwa ikidai kwamba kwa sababu ya matumizi ya ndege zisizo na rubani na silaha zinazoongozwa kwa usahihi mkubwa, jeshi lake linaweza kuepuka majeruhi ya raia wasio na hatia katika mashambulizi ya anga. Hata hivyo, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na jeshi hilo, wakati wa vita dhidi ya magaidi nchini Iraq na Syria, raia 1,417 waliuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani, na tangu mwaka 2018, mashambulizi ya anga ya Marekani yamesababisha vifo vya raia 188 nchini Afghanistan. Lakini kutokana na takwimu za jumuiya ya kimataifa, idadi halisi ya vifo vya raia katika mshambulizi ya jeshi la Marekani ni zaidi ya mara 10.

Tukio jipya la vifo vya raia nchini Afghanistan kutokana na mashambulizi ya Marekani lilitokea Agosti 29 mwaka huu. Wakati huo jeshi la Marekani lilifanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani baada ya kundi la Taliban la Afghanistan kuteka mji wa Kabul. Hapo awali Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilidai kuwa shambulio hilo lilifanikiwa kuwaua magaidi wengi, lakini baadaye kutokana na ripoti za vyombo vya habari, Marekani ilikiri kuwa hakuna gaidi aliyeuawa katika shambulio hilo, badala yake lilisababisha vifo vya raia 10 wakiwemo watoto 7.

Hivi karibuni Marekani ilitangaza matokeo ya uchunguzi huo, na kusema hakuna Mmarekani yeyote anayestahili adhabu kutokana na tukio hilo, kwani hakuna uzembe, makosa au uongozi mbaya.

Mwezi Machi, 2020, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ilitangaza uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita na kibinadamu uliofanywa na jeshi la Marekani nchini Afghanistan. Mwezi Septemba mwaka huo, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuweka vikwazo vya upande mmoja kwa Fatou Bensouda, mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama hiyo, pamoja na maafisa wengine kadhaa waandamizi.

Kwa muda mrefu, Marekani imeanzisha vita nyingi dhidi ya nchi nyingine kwa kisingizio cha demokrasia na haki za binadamu, lakini vita hizo zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia. Marekani inapaswa kujibu kwa dhati wito wa jumuiya ya kimataifa, na kuchunguza kwa dhati vitendo vya majeshi yake vya uhalifu wa kivita, ili kufidia watu waliouzwa bila ya hatia.
Humu duniani kuna mataifa yanayoona binadamu wa mataifa mengine kuwa ni duni chini ya wadudu......

Wengine huonekana ni "subjects" tu wa kila ovu ama tafiti zenye njia ya madhara......

That's how the world is na ndio maana wako masela wanaamua tu kujiachia kwa kula "kaya" tu 🤣🤣🤣

#Yetzer ha-tov
#Barukh atah Adonai Eloheinu Melekh Ha' olam dayan ha-emet🙏

#Siempre URT🙏
 
HAKUNA KITU KAMA HICHO
hil Gazeti kwanza lipo wapi? basi weka hata Link

nikuhabarishe tu kuwa bila luwatandika hawa Mujahidina wenye siasa za hovyo hii miongo mi4 (kuanzia miaka ya kina Saddam, Osama nk) tungetawaliwa kabisa na siasa kali za kunyoa nywele na ndevu, kutenganishawa na dada zetu kikazi na isingekuwa tofauti na Afaghanistan
acheni wenye mabavu watututetee
 
HAKUNA KITU KAMA HICHO
hil Gazeti kwanza lipo wapi? basi weka hata Link

nikuhabarishe tu kuwa bila luwatandika hawa Mujahidina wenye siasa za hovyo hii miongo mi4 (kuanzia miaka ya kina Saddam, Osama nk) tungetawaliwa kabisa na siasa kali za kunyoa nywele na ndevu, kutenganishawa na dada zetu kikazi na isingekuwa tofauti na Afaghanistan
acheni wenye mabavu watututetee
Pole sana,wenzako wanapigania nishati huko Afghanistan,marekani walinyimwa tends wakapewa waajentina,huko Iraq ni mafuta..wenzako hawana mpango na dini,ndomana wanaitumia pesa nyingi kushawishi ushoga badala ya kumaliza malaria
 
Alafu hao hao kila siku wanapiga kelele kuhusu haki za Binadamu,Wakati wao ndiyo vinara wa kumwaga Damu Duniani.
Wao sio tatizo, si wanalinda maslahi yao. Tatizo ni vidudumtu kwenye nchi masikini vinavyokubali kuimba huo wimbo wanaoimbishwa na US wa Haki za Binadamu, wanavyojua kudemka nao hata hawataki kujua kuwa ni KIINI MACHO!

Pumbavu kabisa!
 
HAKUNA KITU KAMA HICHO
hil Gazeti kwanza lipo wapi? basi weka hata Link

nikuhabarishe tu kuwa bila luwatandika hawa Mujahidina wenye siasa za hovyo hii miongo mi4 (kuanzia miaka ya kina Saddam, Osama nk) tungetawaliwa kabisa na siasa kali za kunyoa nywele na ndevu, kutenganishawa na dada zetu kikazi na isingekuwa tofauti na Afaghanistan
acheni wenye mabavu watututetee
Wote hawafai tu [emoji120][emoji120][emoji120].
 
Wao sio tatizo, si wanalinda maslahi yao. Tatizo ni vidudumtu kwenye nchi masikini vinavyokubali kuimba huo wimbo wanaoimbishwa na US wa Haki za Binadamu, wanavyojua kudemka nao hata hawataki kujua kuwa ni KIINI MACHO!

Pumbavu kabisa!
Licha ya hayo anayoyafanya lakini dunia hii bila USA, tungeishi kwa tabu sanaaaa!!imagine taifa la kiarabu ndio lingekuwa kiranja wa dunia ingekuwaje?!!ni matatizo mangapi yapo hapa Africa na yanasababishwa na viongozi wetu, lakini wana bebana, kupitia AU, mwisho wa siku USA, akiingilia kati, wanaanza kulaumu!!ukiwa kiranja wa dunia mambo kama hayo hayawezi kukosekana!!bila ubabe wa USA, hizo meli za mizigo za kupitia pembe ya afrika zingepitia wapi?kila shirika la UN, yeye ndio mchangiaji mkubwa, haya huo mpango wa COVAX, unadhania nani ndio mfadhiri mkubwa?mbona mchina, mrusi hawaonekani??li USA, lina mapungufu , ilakwa dunia hii lina faida kubwa sanaaa!!!
 
Gazeti la New York Times la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti …
 
View attachment 2054265Gazeti la New York Times la Marekani hivi karibuni limetoa ripoti inayoema, katika miaka ya hivi karibuni, operesheni za kijeshi za nchi hiyo katika Mashariki ya Kati zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia wasio na hatia. Serikali ya Marekani imekuwa ikipuuza hasara za raia zinazosababishwa na operesheni zake za kijeshi, na kufanya kila linalowezekana kuzuia jumuiya ya kimataifa kufanya uchunguzi. Hata hivyo, mauaji ya raia wasio na hatia hayawezi kusamehewa, na uhalifu wa kivita wa jeshi wa Marekani lazima uchunguzwe.

Gazeti hilo limenukuu zaidi ya nyaraka 1,300 za siri kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani, zikionesha kwamba mashambulizi mengi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani katika nchi za Mashariki ya Kati yaliwekewa alama kuwa “makosa makubwa ya kijasusi”, na yalisababisha vifo vya maelfu ya raia, wakiwemo wanawake na watoto wengi. Nyaraka hizo zinaonyesha kuwa tangu mwaka 2014 hadi mwaka 2019, Marekani ilifanya mashambulizi zaidi ya 50,000 ya anga katika nchi mbalimbali zikiwemo Iraq, Syria na Afghanistan, bila ya maandalizi mazuri. Kutokana na upelelezi hafifu na vitendo vya haraka, jeshi la Marekani halikuweza kuhakikisha watu walioshambuliwa ni magaidi au raia.

Mara kwa mara serikali ya Marekani imekuwa ikidai kwamba kwa sababu ya matumizi ya ndege zisizo na rubani na silaha zinazoongozwa kwa usahihi mkubwa, jeshi lake linaweza kuepuka majeruhi ya raia wasio na hatia katika mashambulizi ya anga. Hata hivyo, kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na jeshi hilo, wakati wa vita dhidi ya magaidi nchini Iraq na Syria, raia 1,417 waliuawa katika mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi la Marekani, na tangu mwaka 2018, mashambulizi ya anga ya Marekani yamesababisha vifo vya raia 188 nchini Afghanistan. Lakini kutokana na takwimu za jumuiya ya kimataifa, idadi halisi ya vifo vya raia katika mshambulizi ya jeshi la Marekani ni zaidi ya mara 10.

Tukio jipya la vifo vya raia nchini Afghanistan kutokana na mashambulizi ya Marekani lilitokea Agosti 29 mwaka huu. Wakati huo jeshi la Marekani lilifanya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani baada ya kundi la Taliban la Afghanistan kuteka mji wa Kabul. Hapo awali Wizara ya Ulinzi ya Marekani ilidai kuwa shambulio hilo lilifanikiwa kuwaua magaidi wengi, lakini baadaye kutokana na ripoti za vyombo vya habari, Marekani ilikiri kuwa hakuna gaidi aliyeuawa katika shambulio hilo, badala yake lilisababisha vifo vya raia 10 wakiwemo watoto 7.

Hivi karibuni Marekani ilitangaza matokeo ya uchunguzi huo, na kusema hakuna Mmarekani yeyote anayestahili adhabu kutokana na tukio hilo, kwani hakuna uzembe, makosa au uongozi mbaya.

Mwezi Machi, 2020, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ilitangaza uchunguzi kuhusu uhalifu wa kivita na kibinadamu uliofanywa na jeshi la Marekani nchini Afghanistan. Mwezi Septemba mwaka huo, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ilitangaza kuweka vikwazo vya upande mmoja kwa Fatou Bensouda, mwendesha mashtaka mkuu wa Mahakama hiyo, pamoja na maafisa wengine kadhaa waandamizi.

Kwa muda mrefu, Marekani imeanzisha vita nyingi dhidi ya nchi nyingine kwa kisingizio cha demokrasia na haki za binadamu, lakini vita hizo zimesababisha idadi kubwa ya vifo vya raia. Marekani inapaswa kujibu kwa dhati wito wa jumuiya ya kimataifa, na kuchunguza kwa dhati vitendo vya majeshi yake vya uhalifu wa kivita, ili kufidia watu waliouzwa bila ya hatia.
Mkubwa hakosei hapo utawasikia collateral damage,halafu hawa wana jiita watetezi wa haki za binadamu.
 
Ni Lini Gazeti lilishawahi kushirikishwa kwenye Siri za Nchi? Hili Gazeti linachota akili za Matahira ili kujipatia Viewers na Followers wengi kwa Kutunga habari za Uongo.
Hao sio wa kwanza BBC washaripoti operation za kivita zilizo fanyika Yemen zimeua watu kibao wasio na hatia na waliongea na wahanga.
 
Licha ya hayo anayoyafanya lakini dunia hii bila USA, tungeishi kwa tabu sanaaaa!!imagine taifa la kiarabu ndio lingekuwa kiranja wa dunia ingekuwaje?!!ni matatizo mangapi yapo hapa Africa na yanasababishwa na viongozi wetu, lakini wana bebana, kupitia AU, mwisho wa siku USA, akiingilia kati, wanaanza kulaumu!!ukiwa kiranja wa dunia mambo kama hayo hayawezi kukosekana!!bila ubabe wa USA, hizo meli za mizigo za kupitia pembe ya afrika zingepitia wapi?kila shirika la UN, yeye ndio mchangiaji mkubwa, haya huo mpango wa COVAX, unadhania nani ndio mfadhiri mkubwa?mbona mchina, mrusi hawaonekani??li USA, lina mapungufu , ilakwa dunia hii lina faida kubwa sanaaa!!!
Siku ukija sikia kuwa hao maharamia katika Pembe ya Afrika ni Washirika wa USA, sijui utasemaje!

Duniani hapa si kila unachokiona kiko vile ukionavyo. Dunia ni tele kwa Viini Macho.

Kwamba n mfadhili mkubwa, na Covax nayo pia unaonana in neema na baraka!!!!!!!
 
Licha ya hayo anayoyafanya lakini dunia hii bila USA, tungeishi kwa tabu sanaaaa!!imagine taifa la kiarabu ndio lingekuwa kiranja wa dunia ingekuwaje?!!ni matatizo mangapi yapo hapa Africa na yanasababishwa na viongozi wetu, lakini wana bebana, kupitia AU, mwisho wa siku USA, akiingilia kati, wanaanza kulaumu!!ukiwa kiranja wa dunia mambo kama hayo hayawezi kukosekana!!bila ubabe wa USA, hizo meli za mizigo za kupitia pembe ya afrika zingepitia wapi?kila shirika la UN, yeye ndio mchangiaji mkubwa, haya huo mpango wa COVAX, unadhania nani ndio mfadhiri mkubwa?mbona mchina, mrusi hawaonekani??li USA, lina mapungufu , ilakwa dunia hii lina faida kubwa sanaaa!!!
So kwa kuwa anatoa misaada ndio kuna mfanya awe na haki ya kuua raia wasio na hatia?
 
Ni Lini Gazeti lilishawahi kushirikishwa kwenye Siri za Nchi? Hili Gazeti linachota akili za Matahira ili kujipatia Viewers na Followers wengi kwa Kutunga habari za Uongo.
Hebu kuwa serious kidogo basi unaona New York Times ni gazeti kama yenu yakufungia bagia?kwanza ukikutwa umefungia kitu chochote unashitakiwa.
 
Back
Top Bottom