mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 664
Tahira ni wewe ila hujijui tuNi Lini Gazeti lilishawahi kushirikishwa kwenye Siri za Nchi? Hili Gazeti linachota akili za Matahira ili kujipatia Viewers na Followers wengi kwa Kutunga habari za Uongo.
Sasa dunia nzima, panapotokea mzozo yeye ndio anaangaliwa, anatakiwa kuingilia, kwenye mzozo hayo ni mambo ya kawaida tu, tuwe wakweli tu USA, anaifanya dunia iwe hivi kiasi fulani salama.lakini kama wale ndio wangekuwa taifa lenye nguvu zaidi, tungeishi maishi magumu sana.So kwa kuwa anatoa misaada ndio kuna mfanya awe na haki ya kuua raia wasio na hatia?
Umeambiwa kishafanya operation zaidi ya 50000,katika uchunguzi uliyo fanywa na BBC Yemen,operation hiyo moja tu iliua watu 24 wasio na hatia. Sasa assume kila operation let's say imeua watu 10 ×50000=500,000.Sasa dunia nzima, panapotokea mzozo yeye ndio anaangaliwa, anatakiwa kuingilia, kwenye mzozo hayo ni mambo ya kawaida tu, tuwe wakweli tu USA, anaifanya dunia iwe hivi kiasi fulani salama.lakini kama wale ndio wangekuwa taifa lenye nguvu zaidi, tungeishi maishi magumu sana.
Hiyo IS, ina miaka mingapi hadi useme eti makundi.yote yaliyoko, Drc, msumbiji, kenya yanawaunga mkono, ?siasa mbovu ndio zinapelekea hayo yote, vyovyote vilivyo yeye ndie KIRANJA WA DUNIA, walikuwa na ulii kwa osama sembuse hao IS, tukubali tu kuwa kwa sasa dunia ni salama kwenye mambo ya ugaidi kuliko miaka 20 nyuma, wakati alkaida lina nguvu sana,Umeambiwa kishafanya operation zaidi ya 50000,katika uchunguzi uliyo fanywa na BBC Yemen,operation hiyo moja tu iliua watu 24 wasio na hatia. Sasa assume kila operation let's say imeua watu 10 ×50000=500,000.
Je tumwache aendelee sababu anaifanya dunia kuwa Salama? Usalama upi huo unao zungumzia ww husiojali roho za watu...... manake kama haki ya binadamu ya kwanza ni kuulinda uhai wa kila binadamu.
Sijajua unazungumzia usalama upi, hivi kati Libya ya Sasa na ya Ghadafi ipi ilikuwa salama?
Kati Iraq ya sasa na ya Saddam ipi ilikuwa salama?
Kati Syria ya sasa na ya mika mitano nyuma ipi ilikuwa salama?
Hizo sehemu zote alizo tibua ndizo zimezalisha kundi la IS na ndilo lina sumbua usalama wa dunia,makundi karibia yote ya kigaidi, kuanzia lililo Msumbiji,Tanzania, Kenya, Uganda, Congo,boko haram na Alshabab wametangaza wana utii kwa kundi la IS.
Duu wewe unaona Salama? Kwa kuitizama Iraq,Libya na Syria bado unaona ni salama.IS sasa hivi wana nguvu kuliko Alqueda na ndio maana itiladi zao zimesambaa mpaka huku kwetu East Africa.Hiyo IS, ina miaka mingapi hadi useme eti makundi.yote yaliyoko, Drc, msumbiji, kenya yanawaunga mkono, ?siasa mbovu ndio zinapelekea hayo yote, vyovyote vilivyo yeye ndie KIRANJA WA DUNIA, walikuwa na ulii kwa osama sembuse hao IS, tukubali tu kuwa kwa sasa dunia ni salama kwenye mambo ya ugaidi kuliko miaka 20 nyuma, wakati alkaida lina nguvu sana,
kwani alilazimishwa kuchangia c aache tuuuuLicha ya hayo anayoyafanya lakini dunia hii bila USA, tungeishi kwa tabu sanaaaa!!imagine taifa la kiarabu ndio lingekuwa kiranja wa dunia ingekuwaje?!!ni matatizo mangapi yapo hapa Africa na yanasababishwa na viongozi wetu, lakini wana bebana, kupitia AU, mwisho wa siku USA, akiingilia kati, wanaanza kulaumu!!ukiwa kiranja wa dunia mambo kama hayo hayawezi kukosekana!!bila ubabe wa USA, hizo meli za mizigo za kupitia pembe ya afrika zingepitia wapi?kila shirika la UN, yeye ndio mchangiaji mkubwa, haya huo mpango wa COVAX, unadhania nani ndio mfadhiri mkubwa?mbona mchina, mrusi hawaonekani??li USA, lina mapungufu , ilakwa dunia hii lina faida kubwa sanaaa!!!
siku ukipata kua na mawazo huru yakuelewa mambo utajutia huu uchafuzi uloandika hapaHiyo IS, ina miaka mingapi hadi useme eti makundi.yote yaliyoko, Drc, msumbiji, kenya yanawaunga mkono, ?siasa mbovu ndio zinapelekea hayo yote, vyovyote vilivyo yeye ndie KIRANJA WA DUNIA, walikuwa na ulii kwa osama sembuse hao IS, tukubali tu kuwa kwa sasa dunia ni salama kwenye mambo ya ugaidi kuliko miaka 20 nyuma, wakati alkaida lina nguvu sana,
hat sasa dunia haijawahi kua na amaniVyovyote utakavyo waita ila ukweli ndio huo"ANAYETOKA CHUMBA CHA MAMA YAKO AMEJIFUNGA TAULO NDIO BABA YAKO"
Bila yeye dunia hii ingekuwa tabu sana, hasa imani ile ndio ingekuwa superpower linatoka huko!!!