Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30

Gazeti la Raia Mwema lafungiwa kwa siku 30

Hili ni gazeti la kufungia utumbo, akina Jenerali Ulimwengu wamebaki kuishi kwa kutegemea uongo na uzushi ,wanadhani wakiiandika vibaya serikali basi watapa wanunuaji wengi wa hicho kijarida, huyu mzee Ulimwengu sijui kwanini anakuwa na chuki na kila awamu ,alianza kwa Ben, akapoa kidogo kwa JK sababu maswahiba zake kutoka kule anakotoka yeye na ambao walikuwa wamiliki wenza wa hilo gazeti walipewa ulaji na JK, ikapita awamu ya JK akaja pia mbaya wake,huyu ugomvi wake na Ulimwengu ulianza siku nyingi na alijitahidi sana kumsiliba kwa kutumia hivyo vijarida vyake alipokuwa waziri, haya nae Mungu akamchukua tukadhani Ulimwengu na kijarida chake atatulia lakini wapi, kama anakereka si arudi tu kwao?
Magaidi naona mmefura!!😅😅😅
 
Huyu msemaji wa Serikali, CV yake ,

Isije kua niwale wa kuunga unga unga weeee


Jamaa amethibitisha kua kichwan mwake anamatope
 
Mnataka katiba mpya ili ichekelee upuuzi kama huo wa hilo gazeti? Hivyo vichwa vyao vya habari unaona vipo sahihi? Kwa nia yenu hii ovu ya kutaka katiba mpya basi hamtokuja ipata, nchi lazima iwe na nidhamu na njia zake za kujiendesha! Huo upuuzi wenu tafuteni nchi nyingine mkaufanye! Mother endelea kuchapa hawa wajasiriasiasa waliopoteana kwa sasa
TANZANIA sio Mali ya mama yako hata uwaambie wengine watafute nchi nyingine.

2) unaposema kichwa cha Habari hakipo sawa unamaanisha nini? Ili kiwe sawa inabidi kisomeke vipi labda?.
Acheni ushamba
 
Serikali unasema hakuna Uhuru usio na mipaka.Tumieni Uhuru wenu huko,lakini msituguse.Adhabu ya faini ingependeza zaidi.
 
Uhuru ilikuwa siku 7 Mkuu.

Mkuu CCM kivyao vyao walilifungia 7 days.

Baada ya watu kuhoji kuwa mfungiaji huwa chama au serikali kupitia waziri mwenye dhamana?

Hapo tukajitoa kimasomaso na rungu la serikali likawa 14 days.

 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Na wakiendelea na ujinga wao safari hii watapigwa kufuli la moja kwa moja, kudadadeki.
 
Kwa hiyo unakiri kuwa CCM ni chama cha hovyo!!??.
Jenerali Twaha Ulimwengu alipewa ukuu wa Wilaya na viongozi wa CCM.
Maana yake viongozi wa CCM ni hamnazo.

jenerali sio raia wa tanzania , na katika kujiokoa nafsi yake aliangukia kupata msaada wa hfadhi tanzania kwahio anatakiwa kuishi kwa ustarabu sio umepewa sehem ya kujiweka unaanza kuambia majiran sjui mwenye nyumba amevunja kikombe
 
Hili ni gazeti la kufungia utumbo, akina Jenerali Ulimwengu wamebaki kuishi kwa kutegemea uongo na uzushi ,wanadhani wakiiandika vibaya serikali basi watapa wanunuaji wengi wa hicho kijarida, huyu mzee Ulimwengu sijui kwanini anakuwa na chuki na kila awamu ,alianza kwa Ben, akapoa kidogo kwa JK sababu maswahiba zake kutoka kule anakotoka yeye na ambao walikuwa wamiliki wenza wa hilo gazeti walipewa ulaji na JK, ikapita awamu ya JK akaja pia mbaya wake,huyu ugomvi wake na Ulimwengu ulianza siku nyingi na alijitahidi sana kumsiliba kwa kutumia hivyo vijarida vyake alipokuwa waziri, haya nae Mungu akamchukua tukadhani Ulimwengu na kijarida chake atatulia lakini wapi, kama anakereka si arudi tu kwao?
Huyu Mzee tangu apigwe X na Mkapa amekuwa kama chizi, mara atumie kikapu kama handbag, yaani ni shida tupu
 
Kakuwekea na vifungu kwenye tamko lake ila bado hujaelewa
Naulizia hili sababu ni mara ya kwanza katika historia mkurugenzi kuwa na mamlaka hayo kukariri vifungu sio hoja maana anaviona yeye tu wakati mwingine kifungu kinapingana na kifungu humohumo ndani angeweka hicho kifungu kimeandikwa vipi na ndio maana nchi hii tunaendeshwa kwa vifungu ambavyo sisi wala hatuna uwezo wa kuvifikia na kusoma wanatumia pale wanapovihitaji. Hii idara ilishawahi kuwa na wakurugenzi wengi ila huyu ni mtu anapenda spotlight kamfunika mpaka yule msemaji wa Ikulu anayafanya yeye yote kawa kama waziri tu.
 
baada ya kulifungia uhuru sasa naona wamepata uhalali
 
Ccm njoeni mlitete gszeti hili ili mpate heshima. Vinginevyo mnaonekana viazi tu. Yaani mnafurahia hili tendo
 
hakuna cha uhuru wa maoni apo, lengo zima la hilo gazeti lnajulikana pamoja na jenerali mwenyewe! ni mkorofi sana na anajua kabisa yupo tanzania kwa huruma ya serikali, anatakiwa kurudishwa nchini kwake

Nchini kwake ni wapi?
 
Back
Top Bottom