Sasa hii ndiyo Habari ya maendeleo😀😀😀 ? Kwa hiyo mfagizi unamdharau?achana naye huyo si mfagizi wa ofisi pale lumumba anadhani watu wote wana uelewa mdogo kama yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hii ndiyo Habari ya maendeleo😀😀😀 ? Kwa hiyo mfagizi unamdharau?achana naye huyo si mfagizi wa ofisi pale lumumba anadhani watu wote wana uelewa mdogo kama yeye
Soko haliwezi kuwa kipimo kikuu cha professionalism ktk media industry ya Tanzania. Ndiyo maana magazeti ya udaku yanauza kuliko mengine.Soko ndilo linaamua habari nzuri ni ipi! Mzalendo na Uhuru wanauza nakala ngapi kwa siku? Nimesahau hata Mzalendo laonekanaje.
Hata mimi nimemaliza Ban ndio hivyo nimekuja kwa kishindo.Baada ya kufungiwa kwa muda kutokana na kuandika kuhusu uanachama wa ccm wa Hamza , sasa limerudi tena
View attachment 1966404
Pole mkuuHata mimi nimemaliza Ban ndio hivyo nimekuja kwa kishindo.
Kwanini taarifa za Hamza kuwa mwanachama na kiongozi wa ccm ( mjumbe wa mkutano mkuu wa Wilaya) , zinatakiwa kufichwa ?Uandishi makini ni ule una base on facts na Habari za maendeleo. Uhuru na Mzalendo yanaandika facts na Habari za maendeleo ya watu na nchi.
Ni bahati mbaya sana tunadhani uandishi mzuri ni wa kukosoa tu. Uandishi wa maendeleo mara nyingi unapaswa kuripoti Habari chanya za kuwapa watu faraja, fursa na solutions za matatizo yao.
Sasa fikiria, mtu ni masikini badala ueleze fursa zilizowekwa na Serikali ili ajikwamue wewe unampa Habari za Hamza tu. Watu msimu wa ununuzi wa mahindi huu na secretariat ya CCM iko mikoani kuhakikisha mahindi yananuliwa, utawapa Habari kubwa ya Hamza au nyingine isiyo na maslahi makubwa?
"Ndiyo tunahitaji habari...lakini Habari gani?Nimempiga mke...ndiyo ni Habari, lakini je, itoke? -JK.Nyerere. [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwanini taarifa za Hamza kuwa mwanachama na kiongozi wa ccm ( mjumbe wa mkutano mkuu wa Wilaya) , zinatakiwa kufichwa ?