Kumbe baadhi ya story za magazeti ya udaku wanazitoa hapa jamvini...Hii nimethibitisha ile story ya Asprin
''Ulikuwa wapi siku zote...eeh!! wamecopy na kupaste katika gazeti la Risasi Jumatano(Juni 22-24) ukurasa wa 12
kwenye story ya ''Niliruka Ukuta nikaangukia kisiki''....!!
Hebu cheki baadhi: ''Baada ya shughuli aliniangalia usoni na kuniambia kuwa 'Dear siku zote ulikuwa wapi na umefanyaje mpaka nimepata raha hii ambayo sijawahi kuipata tangu niolewe'?''
Hawa jamaa wezi sana!! Au siku ile Babu ulikuwa pamoja na mapaparazi kwenye counta ya Juu??
nas we nae....... magazeti gani haya unasoma?
pinda ataanza kulia namna hii bhana
Mama naomba kibuyu changu kirudi asap....DuhhhhhhWAZO- na sisi tuanzishe JF MAGAZINE ..Fedha ziende ku boresha JF..Maana si watanzani wote wenye Internet nasi wengi wenye computer ...Mada za hiyo magazine zitolewe sehemu mbali mbali hapa jamvini..Asanteeni
we binti una akili weweDuhhhhhh
WAZO- na sisi tuanzishe JF MAGAZINE ..
Fedha ziende ku boresha JF..
Maana si watanzani wote wenye Internet na
si wengi wenye computer ...
Mada za hiyo magazine zitolewe sehemu mbali mbali hapa jamvini..
Asanteeni
Yesu maria na yosefu.......... yaani babu asprin ndio risasiTatizo ni ngumu kweli kuitofautisha JF na jamii....'everybody' is here. What if huyo mwandishi wa Risasi ndio Aspirin? (no name calling is intended:A S 114🙂
Siulikataa kuja Hyd na mimi..Sasa cheki bibi alivyonifinyanga teh teh theMama naomba kibuyu changu kirudi asap....
Mmmhhhh IvugaNdoa unatangaza mara ngapi dear?we binti una akili weweaaaa mi natangaza ndoa
Mmmhhhh IvugaNdoa unatangaza mara ngapi dear?
Nirudishie bwana....siunaona nlivyopoteza mabusara nimekua mchachu sana.....?!Alafu we umenikumbusha maporini...dah sitakaa niisahau ile safari!Siulikataa kuja Hyd na mimi..Sasa cheki bibi alivyonifinyanga teh teh the
haya mambo ya kukumbushana nyumbani si mazuriSiulikataa kuja Hyd na mimi..Sasa cheki bibi alivyonifinyanga teh teh the