Gazeti la Risasi na story ya Asprin

hapana....mimi ni mjasiriamali..kwani kukaa karibu na mahakama ndio kujua sheria? hahaaaaa.btserious nxt tym u hv to find therenipo tele...sina kitambi.
Hahahahahaaaaa! Umeishajua Lizzy hazimii wenye vitambi teh! teh!
 
We una makusudi kweli...ungejua sijala mbuzi muda gani usingeniringishia!!Alafu embu nigawie hayo mawazo kidogo......!Hahaha great idea...karaha zinazogeuka furaha baadae!!Bado hapo hatujaenda mtoni jufua na pale chemchem kuchota maji!!
 
hapana....mimi ni mjasiriamali..kwani kukaa karibu na mahakama ndio kujua sheria? hahaaaaa.btserious nxt tym u hv to find therenipo tele...sina kitambi.
Hahahaha....owkey ntakuja na AD tukupitie hapo utupe offer ya nyama choma!!‘
 
We una makusudi kweli...ungejua sijala mbuzi muda gani usingeniringishia!!Alafu embu nigawie hayo mawazo kidogo......!Hahaha great idea...karaha zinazogeuka furaha baadae!!Bado hapo hatujaenda mtoni jufua na pale chemchem kuchota maji!!
kwa nini? nitafute haraka sana
 
Heheheh....unaanza kwa mbwembwe za kuhonga alafu wiki ijayo unatuanzishia thread ya uchunaji!!!
hahaaaaaa. mbona wabunge wanapewa hii kitu kila siku.nikiwaazishia thread mnisute
 
Heheheh...hao wabunge wananunulia wananchi wao nyama?!
Wabunge wanapenda sifa sana, huwa twawapotezea tu! Tuhamie Airtel (kwa saint ivuga) kaja na kitu ya kikongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…