Gazeti la Risasi na story ya Asprin

Heheheh...hao wabunge wananunulia wananchi wao nyama?!
si ulimsikia PM ndani ya bunge akijitetea juu ya posho kuwa ni za jamaa ya wabunge? Hii ni moja ya matumizi ya posho wanazopewa.
 
Babu alipeleka mzigo RISASI, wakaafikiana bei, basi!
Saa hizi Babu anapesa ya kwenda Zero PUB wiki 4
 
Asprini, vipi mbona hauji kuthibitisha Babu?
 
Au inawezekana Asprin ni muandishi wa hilo gazeti...
 
Wachakachuaji wa sredi wapo wengi mno!! Lizzy,.AD,Ivuga-hamjambo???...haya bana...mi bado namsubiri babu najua wikend hii ngumu kumpata.... yupo baa moja pale KEKO MWANGA na toto totoz flan anamliwaza!!
 
Anakuja soon si unajua babu anatembea na mkongojo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…