Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Tutaona jinsi kama wataweza kuendelea ku maintain hizo na kwenda na wakati zikiaanza kuchoka wabadilishe na kuleta mpya, pia kuhudumia hizo stesheni za marumaru, sio baadae vyoo vyote vimeziba na steshenii chafu na zimegeuka magofu...
DART yenyewe ni kichefuchefu muda huu...
Hapo ndio tutajua inaleta faida, lakini kwa bongo, the reality is the latter....
 
Huu ni ujinga wa Karne..Huwa wanajenga kumnufaisha mjukuu gani?

Nyumba sio reli,reli inaenda na teknolojia ya wakati huo Ili ilete faida sio kusubiria ,ukisubiria teknolojia inapita inakuwa chuma chakavu.
Wach uwongo bwana; reli ni msingi na mataruma yake. Kitakachobadilika na teknologia ni vichwa na mabegewa lakini msingi na mataruma havibadiliki. Trans Siberia ya Urusi ilianza kujengwa mwaka 1891 na kufunguliwa mwaka 1904 yaani takriban miaka 120 iliyopita na bado inadunda leo. Unadhani gharama zilizotumika kujenga reli ile mwaka huo wa 1891 kwa leo zitajenga umbali gani kama siyo asilimia tano tu.

Wewe na mwandishi wa makala hiyo ni kama mchumia njaa ambaye anafanya kazi ili apate chakula cha siku hiyo hiyo, hamuangalii mbali zaidi ya leo na kesho.
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?👇

=====

Trucks and tracks: Will Tanzania’s SGR ever work?
Charles Makakala
6-7 minutes
Summary

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

Tanzania continues to show strong commitment to its grand $14 billion, 1,800km standard gauge railway (SGR) project. According to recent reports, the government is pushing forward with the Tabora-Gitega and Isaka-Kigali phases, connecting the infrastructure with Burundi and Rwanda, respectively. This will, hopefully, make Tanzania a transportation hub for its many landlocked neighbours.

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

To start with, while economic and population growth, global supply chains, landlocked countries and mining investments all call for better and more reliable transport infrastructure, the SGR was not the right solution for Tanzania. Multiple reports have made this quite clear. There is no economic justification for SGR investment anywhere in East Africa at this point.

A 2013 World Bank report observed that an SGR project requires a volume of 55 million tonnes to be viable, while EAC railways are estimated to achieve only 14.4 million tonnes in total by 2030. With such requirements, given that Tanzania Railways Corporation (TRC) achieved not even a third of that, refurbishing the Central Railway at one third of the SGR cost would have sufficed, but the powers that be chose the most expensive option possible!

Neighbouring Kenya is paying dearly for its headstrong decision to ignore the fundamentals of railway economics. Ian Taylor, author of Kenya’s New Lunatic Express, observes that the Madaraka Express was generating a loss of $7.35 million every month in 2018, operating at less than 15 percent of its planned capacity. This is the fate that awaits Tanzania unless the government has something quite special up its sleeve.

But the long list of failed or failing public projects – TRC, UDA, BRT, TTCL, NHC, ATCL, Tanganyika Packers, etc – suggests that that is quite unlikely. While the government may pull off a project here or there, it lacks the track record of successfully running considerable operations in the medium and long term. To give the SGR a chance, the government needs to show a very high degree of resolve to address its future challenges.

Firstly, the SGR will have to pass the quality of service test. In the 1990s, when the road between Tanga and Moshi was rebuilt, people abandoned the railway services fast, and they were withdrawn. People have choices today. There are 86,000 lorries and 49,000 buses crisscrossing the nation every day. If TRC will approach this challenge as casually as it did in the past, we can as well conclude today that Tanzania’s SGR will be the most expensive white elephant in East African history.

Secondly, the DRC challenge. As it stands, even though over 90 percent of goods to or from Rwanda and Burundi pass through Dar es Salaam, they comprise less than one third of goods that pass through the port. Integration of the economic region around Tanganyika Lake might improve the situation. For example, the populous eastern provinces of the DRC of North and South Kivu, Katanga, Maniema and Ituri, which are resource-rich but are forced to depend on the unwieldy railway line to South Africa, could use a solid alternative line to Dar which could very likely cut transport times by up to 70 percent.

Thirdly, the marketing challenge. In the heyday of railway transportation in Africa, people often lacked viable transport alternatives, but today, all across sub-Saharan Africa, lorries dominate tracks even in cases where tracks have very clear cost advantages.

Statistics suggests that TRC is not competitive in the transportation of fertiliser, ores and minerals, cement, and oil, the kind of deals which successful operators thrive on. Similarly, even when ticket prices were half those of buses, people still preferred the convenience that buses offered. A laissez faire approach to the market will not persuade Tanzanians to use railway transport.

Finally, Dar es Salaam Port, which deserves its own discussion.

Generally speaking, railway is a nationally strategic resource. Unfortunately, Africans have been going about the railway business in the wrong way.

In the 1870s, only two decades after the introduction of railways, Indian mechanics began to manufacture locomotives which were better and cheaper than the British ones. Today, Indians are advising the British how to manage their railway networks. Similarly, in the 1930s’ South Africa, railways were pumping skilled craftsmen to the rest of the economy, leading to the industrialisation of South Africa. At its peak in the 1970s, South Africa Railways had 230,000 employees. Such is the potential of railways in economic transformation.

Pumping billions into a project will not bring such outcomes. There must be a paradigm shift without which the thousands of lorries will continue to damage roads, congestion will continue to cost the nation dearly and accidents will continue to cut short livesas hundreds of new vehicles hit the roads every day.

In this case, will the SGR ever work?

Given Tanzania’s track record, it is difficult to see anything beyond failure here. The most likely scenario is that the network will function well below expectations for years, incurring losses that the government will struggle to subsidise. As the situation worsens, TRC will start to cut corners in maintenance, making the infrastructure degrade faster, thus reducing the network speeds and reliability. Then clients will drop en masse going back to privately owned lorries and buses, leading to exactly where we started.

That’s the Tanzania we know and love, huh?


View attachment 2302965
Tatizo letu linabaki palepale watu weusi tuna shida sana na wanaoweza kuwa wanahoji hv ni walewale watu weusi wenzetu wanaotumika kila kukicha kama majini ya kishetani kwanza tusidhani kila anayehoji SGR ana akili timamu usidhani Kila mtu atakusifu ukifanya vzr si rahisi kamwe hao wanao hoji SGR hawajielewi wanapaswa kutambua kwamba Ulimwengu umekwenda mbali sana hivyo hatuwezi baki nyuma kiasi hicho.
 
Kwa nini reli za TAZARA na kati zimeshindwa kuendeshwa kwa ufanisi?

Kama hizo zilizokuwa za kawaida ilishindikana kuendeshwa kwa ufanisi kwa nini tuamini hii nyingine zitaendeshwa kwa ufanisi ?
Kuna wakati inabidi tuwe tunatumia vichwa vyetu kufikiri bila kila mara kutegemea vichwa vya wengine, kama hao rafiki zako WB, na wengineo.

Makala hiyo ina mambo muhimu zaidi ya kujadili kuliko kuhoji uhitaji wa usafiri wa reli, hasa hiyo ya SGR.

Reli haijengwi kurudisha faida katika muda mfupi, hili lielewe hivyo.

Mambo muhimu ya kujadili, na ninakubaliana na mwandishi moja kwa moja ni:Utayari wa Tanzania kuiendesha hiyo reli ili ifanye kazi vizuri.
Kama tunavyojua, hili si tatizo katika maswala ya usafiri pekee, lakini ni tatizo kila sehemu, si Bandarini, hata ukarabati wa barabara zinazojengwa, ni matatizo tupu, ndege zinanunuliwa hata haijulikani zitafanya kazi vipi. Haya ndiyo matatizo ya kuzungumzia..

Kwa hiyo, msisitizo ungewekwa katika kuhakikisha kuwa reli itakapokuwa imejengwa, itaendeshwa kwa ufanisi. Wakati hii reli inapojengwa, kungetakiwa pawepo na wataalam wanaandaliwa kuhakikisha uendeshaji wa reli utafana ikishakamilika.
Sasa sijui kama hilo linafanyika, au tunasubiri reli ijengwe, halafu tuweke jamaa zetu wasiokuwa na elimu yoyote katika kuiendesha.

Maswala muhimu ambayo mwandishi kakosa kuyaandika, ni pamoja na hasara itakayotokana na ucheleweshaji wa kukamilika kwa ujenzi wa reli yenyewe.
Kama itachukua miaka 15 kuikamilisha, gharama itakuwa imeongezeka.

Haya ndiyo mambo ya kuhoji, siyo kuhoji uhitaji wa reli yenyewe.
 
Tumeshindwa kuendesha BRT kwa faida, tutaweza endesha SGR? Ni ndoto za alinacha tu. Huo mradi utatugharimu pakubwa, tena bora hata kama reli ingeelekezwa Songwe, lakini nako TAZARA ni siasa iliyotushinda.
 
Hilo ndilo swali muhimu linalotaka jibu.
Jinsi ya kuboresha uendeshaji; na wala siyo ujenzi wa reli ya kisasa.
Kwa nini reli za TAZARA na kati zimeshindwa kuendeshwa kwa ufanisi?

Kama hizo zilizokuwa za kawaida ilishindikana kuendeshwa kwa ufanisi kwa nini tuamini hii nyingine zitaendeshwa kwa ufanisi ?
Swala la uendeshaji ni tofauti kabisa na uhitaji wa reli mpya ya kisasa.

Ukitaka kulijadili hilo unakaribishwa.
 
Mifisadi mingi na mijizi Serikalini inaumwa vyakula vyenye mafuta na sukari haili Mungu kaidhibiti mipesa inayofisadi.wanyonge isifaidi vitu vitamu iwe nyama yenye mafuta,chakula chenye mafuta,au sukari au chumvi

Maskini chumvi na sukari anaweza hadi bugia kigancha na nyama ya mafuta analia na mafuta anakunywa mijizi na mifisadi ya pesa za umma Mungu kaitandika na maradhi iliyofisaaidi hiyo mimilioni na mabilioni wanayopata yanaumwa na kula chukuchuku chakula haitaki chumvi,wala mafuta mengi wala sukari!! Wanapata

Mwacheni Mungu aitwe Mungu

Maskini anakula chumvi,sukari na nyama ya mafuta kama yote Tajiri fisadi hoi bin taabani hela aliyofisadi kodi.za wanyonge ziwe Rushwa au dhuluma au onevu au fisadia hazifaidi Mungu kamdhibiti kuwa wewe si unajifanya mjanja fisadi na mdhulumu maskini hayo mamilioni au mabilioni Ya kifisadi hutayafaidi.Utayapata lakini hutayafaidi uwe serikalini, bungeni au mahakamani.Mungu lazima atakuvizia kwenye kona na kukupiga Rungu iwe kwenye afya nk
Mwacheni Mungu aitwe Mungu !! Wanayaona yote yanayowatokea wao na wenzao lakini bado hawataki kujirekebisha na kutubu !! Ni ajabu sana !! Pesa haziwezi kuwaletea peace of mind pesa haiwezi kuwaletea Afya njema Bali Ni Mungu pekee ndiye awezaye kukupa hayo yote mema !! Nashangaa kwanini hawataki kuamini Hivyo !! Au ndio La kuvunda halina Ubani !!
 
Tumeshindwa kuendesha BRT kwa faida, tutaweza endesha SGR? Ni ndoto za alinacha tu. Huo mradi utatugharimu pakubwa, tena bora hata kama reli ingeelekezwa Songwe, lakini nako TAZARA ni siasa iliyotushinda.
Kwani miaka yote watakuwepo hao hao wabadhirifu wa mali za Umma ??!!
 
Kwani Hangaya anasemaje!?
Huyu alikuwa rubani msaidizi enzi hizo.
Na alishasema miradi yote iliyoanzishwa itaendelezwa! Tusubiri tuone kampeni chafu za wenye malori na mabasi kama zitafanikiwa! Maana inasemekana wanasiasa wengi ndio wamiliki wa hiyo kazi !! Mungu anawaona !!!
 
Aliyewaambia SGR ilijengwa kuleta faida ni nani? Hii imejengwa kutoa service kwa wananchi na faida watapata walipa kodi...ndiyo maana miradi ya aina hii wati binafsi wanaikimbia
Pia itatusaidia barabara yetu kuu ya kati itabaki salama kwa miaka mingi sana !!
 
Tatizo letu linabaki palepale watu weusi tuna shida sana na wanaoweza kuwa wanahoji hv ni walewale watu weusi wenzetu wanaotumika kila kukicha kama majini ya kishetani kwanza tusidhani kila anayehoji SGR ana akili timamu usidhani Kila mtu atakusifu ukifanya vzr si rahisi kamwe hao wanao hoji SGR hawajielewi wanapaswa kutambua kwamba Ulimwengu umekwenda mbali sana hivyo hatuwezi baki nyuma kiasi hicho.
Jibu hoja badala ya kuja na vimaneno vya jumla jumla vya mtu asiye na ubongo..


Gazeti limesema.wazi akili za hivi ndio zinasanabisha Afrika kuwa maskini mile maana itafika wakati tunaanza tena kutumia Kodi kulea mamiradi hewa tuliyotumia matilioni kuyajenga.
 
Of course nilikutana nazo,kila mwenye akili timamu anaelewa tumepigwa na kitu kizito kichwani..

Yaani tumeongeza mzigo mwingine kwa walipa Kodi kwamba mashirika mengine yanayotutia hasara hatujaridhika nayo tukaongeza na hili..

Aisee natamani wahusika wanyongwe.
 
Wakati inaanza kujengwa mlisema hawatoweza,baada ya kuiona inajaribiwa mnaanza italeta hasara hamueleweki nyie minyoo jike humohumo dume humohumo.
 
Wakati inaanza kujengwa mlisema hawatoweza,baada ya kuiona inajaribiwa mnaanza italeta hasara hamueleweki nyie minyoo jike humohumo dume humohumo.
Sio kuweza swala ni tija,sgr sio pambo 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    Screenshot_20220722-185451_Twitter.jpg
    30.2 KB · Views: 5
Mleta mada ungeweka article kama ilivyo bila tafsiri yako, wengi waliojibu wasingekuwa na cha kusema kwa kushindwa kuelewa kinachozungumziwa na mwandishi. Hoja ya kiuchumi ijibiwe kiuchumi sio vihoja vya mabeberu, mbona nchi zao wamefanya, wivu wa Kenya kwetu na mengine kama hayo
 
Jadili hoja kwa hoja sio kuropoka matusi..

Matusi hayajibu hoja..

Swali jingine Kati ya Mwanza na Tunduma wapi sgr ilitakiwa kuelekea kwa kuzingatia maslahi ya Taifa na Takwimu [emoji116]?
Unataka Jiji la Mwanza na kijiji Cha tunduma afu unaonyesha mizigo ya kwenda nchi zingine!! Onyesha mizigo ya Mwanza vs Tunduma ndo utaona wapi reli ilipaswa kuelekea, aliyekudanganya hii reli tunajengewa wananchi wa nchi zingine ni nani?! Yaani mwananchi wa Zambia apate bidhaa kwa bei nafuu iliyosafirishwa kwa gharama nafuu kupitia reli ya watanzania iliyojengwa Kodi za watanzania, afu muda huo huo mtanzania wa Dodoma, tabora, singida, shinyanga, Mwanza,nk apate bidhaa kwa bei mbaya huku akiwajengea wazambia SGR?! Huo ni upuuzi. Hii reli inajengwa na watanzania kwa ajili ya watanzania wala sio kwa ajili ya hao wacongo wako.
 
Naona kuna kitu kwenye hoja hii ingawa siwezi kusema zaidi kwani sijaona source yake hiyo na kujisomea mwenyewe. Pili naangalia tulichojifunza kwenye TAZARA reli iliyojengwa miaka ya sabini, inavyosuasua pamoja na kuhudumiwa na serikali mbili bado ni shida kubwa. Reli hii ni ya kawaida sana haina technologia ya juu na nishati kama SGR tunayoijenga. Bado management aspect ya uendeshaji wa SGR tunayoijenga achilia mbali mizigo inayotarajiwa kusafirishwa na reli hiyo ya SGR. Reli hii imepelekwa Mwanza kwanza badala ya Kongo, Burundi and Rwanda au Uganda sioni cha kusafirishwa kutoka mwanza, kilimo cha pamba kimekufa, abiria sioni. may be some cargo to Uganda through lake Victoria hadi Port Bell in Uganda ( Port-Bell Uganda wanamifumo ya wagons za train za zamani need to be ungraded). Kinachotia shaka kidogo ni technolojia itakayotumika kama umeme, tukumbuke hizi ni fast trains, management aspect of it. Sisemi tusijenge tulipofikia ni point of no return why it will be more expensive. Ku-break even hili ni swala jingine sometimes investment nyingine ni geopolitical nature, and Regional-economic factors. Chelewa chelewa unakuta mwenzio ameshachukua wateja wote. Natarajia mradi huu kuhudumiwa na serikali kwa muda mrefu kufikia break even point huu ndio ukweli.
 
Unataka Jiji la Mwanza na kijiji Cha tunduma afu unaonyesha mizigo ya kwenda nchi zingine!! Onyesha mizigo ya Mwanza vs Tunduma ndo utaona wapi reli ilipaswa kuelekea, aliyekudanganya hii reli tunajengewa wananchi wa nchi zingine ni nani?! Yaani mwananchi wa Zambia apate bidhaa kwa bei nafuu iliyosafirishwa kwa gharama nafuu kupitia reli ya watanzania iliyojengwa Kodi za watanzania, afu muda huo huo mtanzania wa Dodoma, tabora, singida, shinyanga, Mwanza,nk apate bidhaa kwa bei mbaya huku akiwajengea wazambia SGR?! Huo ni upuuzi. Hii reli inajengwa na watanzania kwa ajili ya watanzania wala sio kwa ajili ya hao wacongo wako.
Hoja yakoni ya kisiasa zaidi sio kiuchumi. Hatuwezi kujenga SGR kwa kuangalia soko la ndani tu, basi sisi ni wendawazimu.
 
Back
Top Bottom