Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Gazeti la The Citizen lahoji nani aliishauri Serikali kujenga SGR wakati wataalamu wanasema italeta hasara?

Tena hilo LI sgr ndio limejaa siasa..

Kwa Takwimu hizi hapa sgr itapata wapi mzigo wa kubeba Ili isiwe siasa? 👇
Kuhusu hizo takwimu, nadhani hakuna haja ya kuwa na woga katika hilo kwani uchumi wa nchi hizi siyo STATIC, yaani siyo USIOKUA, bali ni uchumi dynamic, endelevu na unaongezeka with time. Hivyo suala la huo mzigo lisiwe hoja wala kigezo cha kutuzuia kujenga SGRs katika nchi zetu; hata hao huko majuu walipokuwa wakijenga hizo SGRs zao walikuwa na economic growth projections. Tuliangalie suala hili KICHANYA zaidi kuliko KIHASI zaidi. By the way hizo data ni za LINI, yaani za MIAKA GANI?
 
Hao wataalamu mbona huwa hatuwaoni kwenye vipindi vya television wakiongelea hizo hasara kwann wanaongelea kwenye vichochoro huko wakitegemea sisi tuwaelewe mbwa hao.
 
Wazungu wanajua kila watachosema tutakiamini haraka sana bila hata kuja na hitimisho la tafiti zetu.

Rejea maelekezo yao kipindi cha Coronavirus pandemic kutoka kwao wakasema idadi ya watu watakao kufa African countries itakuwa mara dufu ya ile ya ulaya. Nini kilitokea tulipopuuza takwimu zao mbwa wale?!

Leo tena mnawasikiliza kuhusu maswala yetu ya kiuchumi?! Hii reli ni yetu sisi na ndio tutakaopangia matumizi. Biashara na mazingira ya kiuchumi kila siku yanabadilika. Wao wanaweza dhania tutasafirisha watu tukabadilisha tukaanza kusafirisha mizigo.

Sisi ndio tutajua cha kufanya sio wao watuambie cha kufikiria au kufanya juu ya maisha yetu na mazingira yetu mbwa hao.
 
Kama hata historua hujui wewe ni cheti feki..

Hakukenga kwa kutoa huduma Wala kujifurahisha bali kusafirisha mali ghafi kwa faida na walifanya hivyo uzalishaji wao ulipokoma na reli zilikoma kuleta faida hadi kesho.
Kwani matumizi ya reli ni yale yale tu. Hatuwezi badili Matumizi kulingana na uhitaji?!

Nitakupa mfano mwakyembe alikuja na idea nzuri ya kubadili matumizi ya vichwa vya treni ambavyo vililala tu havina kazi muda wa asubuhi hadi usiku.

Uliona impact yake ?! Kiwango cha pesa kilichokuwa kinapatikana?!

Sasa wewe na hawa wazungu wako matako yao kuja kutupangia matumizi ya rasilimali zetu as if sisi bila wao hatuwezi ni ujinga na kukosa akili kiwango cha juu sana.

Hiyo reli wacha ijengwe na inafaida sana na uchumi wetu ikisimamiwa kiusahihi kuna mambo mengi yatafunguka hapo ni swala la muda na jitihada.
 
Soma hiyoo [emoji116]
Kwahiyo wakishindwa wao na sisi tutashindwa kwasababu wao na sisi tunafanana kila kitu?!

Hii ndio changamoto ya wasomi wa Tanzania na afrika. Kila kitu mzungu akisema hakiwezekani na nyie mnaunga nyuma kama madereva wa IST wameunga nyuma ya ambulance.

Acheni hizi fikra potofu za kuamini kila anachosema mzungu. Taarifa zake unatakiwa uzitumie kuchukua tahadhali tu ila sio kufanyia maamuzi ya mwisho.

Mnaboa sana watu wa namna hii yaani kwa mzungu mnakuwa kama mke kwa mume wake mnatii kila kitu anachosema bila kuhoji.
 
Soma hiyoo [emoji116]
Kwahiyo wakishindwa wao na sisi tutashindwa kwasababu wao na sisi tunafanana kila kitu?!

Hii ndio changamoto ya wasomi wa Tanzania na afrika. Kila kitu mzungu akisema hakiwezekani na nyie mnaunga nyuma kama madereva wa IST wameunga nyuma ya ambulance.

Acheni hizi fikra potofu za kuamini kila anachosema mzungu. Taarifa zake unatakiwa uzitumie kuchukua tahadhali tu ila sio kufanyia maamuzi ya mwisho.

Mnaboa sana watu wa namna hii yaani kwa mzungu mnakuwa kama mke kwa mume wake mnatii kila kitu anachosema bila kuhoji.
 
Unaongozwa na woga
Ni zaidi ya uoga na ujinga juu. Sasa watu kama hawa ndio wamejazwa katika taasisi za serikali na mawizarani huko waoga wa kufanya maamuzi magumu yatayo wanufaisha raia.

Wao ni kuogopa ogopa tu na kusikiliza wazungu wanasemaje kila siku. Hawapo serious na maamuzi au fikra zao ni kuogopa ogopa tu takataka kabisa.
 
Kuhusu hizo takwimu, nadhani hakuna haja ya kuwa na woga katika hilo kwani uchumi wa nchi hizi siyo STATIC, yaani siyo USIOKUA, bali ni uchumi dynamic, endelevu na unaongezeka with time. Hivyo suala la huo mzigo lisiwe hoja wala kigezo cha kutuzuia kujenga SGRs katika nchi zetu; hata hao huko majuu walipokuwa wakijenga hizo SGRs zao walikuwa na economic growth projections. Tuliangalie suala hili KICHANYA zaidi kuliko KIHASI zaidi. By the way hizo data ni za LINI, yaani za MIAKA GANI?
Mh.. uchumi wa nchi hizi Tz, Kenya, etc umeganda kama barafu.. uchumi wa South per capita income ya South Korea mwaka 1961 ilikuwa around 500USD.. leo hii ni close to 45,000USD..
linganisha na wetu sasa, kati ya 1961 na 2020 umeongezeka kwa ngapi? labda 700USD..
Sasa ni uchumi upi unaosema uko dynamic?

Weka propaganda pembeni ongea facts
 
Ni zaidi ya uoga na ujinga juu. Sasa watu kama hawa ndio wamejazwa katika taasisi za serikali na mawizarani huko waoga wa kufanya maamuzi magumu yatayo wanufaisha raia.

Wao ni kuogopa ogopa tu na kusikiliza wazungu wanasemaje kila siku. Hawapo serious na maamuzi au fikra zao ni kuogopa ogopa tu takataka kabisa.
Uoga ni nini?.. kwa nini wataalam na viongozi wanaogopa kufanya maamuzi?
Sababu: kwenye mambo ya maslahi ya umma haupaswi kukosea kwa sababu unaweza ukafungwa kwa sababu ya makosa hayo.. wwtu hawatadhani ilikuwa bahati mbaya bali ilikuwa maksudi na kwa maslahi binafsi.. kwa hiyo mtu anayeongoza ofisi ya umma sharti asikosee..

Kwa nini uoga wa kufanya maamuzi? Kwa sababu maamuzi mengi kibongo bongo yanafanyika bila information/data za kutosha kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa kufanya makosa katika mazingingira kama hayo..

Na imani elimu hii itakuwa ya manufaa kwako ili usiwe unafoka foka tu.. kulaumu watu kushindwa kufanya maamuzi.
Maamuzi katika mazingira ya Tz mtego sana ndo maana watu wanaona bora wasifanye maamuzi
 
Reli iliyojengwa na mkoloni ushakula matunda yake au bado?
Tumekula sana tu kwa kusafiria ndani yake! Huduma zake zilikuwa nzuri sana kipindi kile tulikuwa tukipewa warranty kusafiria kwenda mashuleni na kurudi majumbani kwetu wakati wa likizo!! Zamani ukiambiwa elimu bure ujue ni bure kweli mpaka usafiri unalipiwa !! Huduma za reli zimekuja kuharibika baada ya watu kubadilika na kuanza kujilimbikizia mali!! Hiyo mentality ya watu kuanza kufikiria kujilimbikizia mali ndiyo iliyoleta shida zote zilizopo nchini mpaka leo na kesho pia zitaendelea kuwepo !! Sgr ijengwe tu kuliko pesa kuachiwa watu wenye fikra za kujilimbikizia mimali !!
 
Naomba mtusaidie sisi wagumu kuelewa!

Hivi ukiwa unaishi Kigoma, ukatumia SRG kwenda Dar kwa masaa kadhaa, ukafanya mishe zako halafu ukarudi siku hiyo hiyo Kigoma, je, hiyo siyo faida?

Upo Dodoma, unaenda Dar chap na kurudi na kuendelea na mishe zako, hiyo siyo faida?

Au faida ni lazima ubebe mizigo mingi kwa pamoja?
 
Mh.. uchumi wa nchi hizi Tz, Kenya, etc umeganda kama barafu.. uchumi wa South per capita income ya South Korea mwaka 1961 ilikuwa around 500USD.. leo hii ni close to 45,000USD..
linganisha na wetu sasa, kati ya 1961 na 2020 umeongezeka kwa ngapi? labda 700USD..
Sasa ni uchumi upi unaosema uko dynamic?

Weka propaganda pembeni ongea facts
Are you saying uchumi wa nchi zetu haukui!? Siyo kweli! Uchumi wa nchi zetu unakua ndio maana hata ukienda kwenye statistics zako, utaona kuwa per capita income ya nchi zetu ya mwaka 1961 hadi 2000 (uno quote) siyo sawasawa na ya leo! Uchumi wetu unakua ila siyo kama wa hiyo nchi unayosema. Chumi hazilingani ndio maana nchi nyingine zinajitangaza MUFILISI!
 
Mshua alikua na kauli yake ukiongea pumba anakwambia "BOX KABISA"
 
Habari za leo,

Gazeti la The Citizen limeandika makala kuhoji busara iliyotumika kuamua kujenga SGR Wakati tafiti za Kitaalamu zinaonesha tutapata Hasara?

Kwa mujibu wa WB Ili reli ilete faida inatakiwa mzigo angalau Tani mil.55 wakati utafiti unaonyesha Hadi kufikia 2030 EAC yote itakuwa na uwezo wa kusafirisha Tani asilia 14 tuu ya mahitaji Ili upate faida..

Kwamba Kwa nini Magufuli na Serikali yake walichagua expensive option ambayo itakuwa ni liability Kwa Taifa miaka na miaka?

My take: Hivi kwa nini tusiwe tunawawajibisha watu wanaotoa hasara Taifa kwa maamuzi yao ya Hovyo?[emoji116]

=====

Trucks and tracks: Will Tanzania’s SGR ever work?
Charles Makakala
6-7 minutes
Summary

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

Tanzania continues to show strong commitment to its grand $14 billion, 1,800km standard gauge railway (SGR) project. According to recent reports, the government is pushing forward with the Tabora-Gitega and Isaka-Kigali phases, connecting the infrastructure with Burundi and Rwanda, respectively. This will, hopefully, make Tanzania a transportation hub for its many landlocked neighbours.

The government’s gung-ho approach to SGR is commendable. At this stage of the project, developing cold feet would make no sense. Nonetheless, much more needs to be done to ensure the SGR’s future commercial and economic viability.

To start with, while economic and population growth, global supply chains, landlocked countries and mining investments all call for better and more reliable transport infrastructure, the SGR was not the right solution for Tanzania. Multiple reports have made this quite clear. There is no economic justification for SGR investment anywhere in East Africa at this point.

A 2013 World Bank report observed that an SGR project requires a volume of 55 million tonnes to be viable, while EAC railways are estimated to achieve only 14.4 million tonnes in total by 2030. With such requirements, given that Tanzania Railways Corporation (TRC) achieved not even a third of that, refurbishing the Central Railway at one third of the SGR cost would have sufficed, but the powers that be chose the most expensive option possible!

Neighbouring Kenya is paying dearly for its headstrong decision to ignore the fundamentals of railway economics. Ian Taylor, author of Kenya’s New Lunatic Express, observes that the Madaraka Express was generating a loss of $7.35 million every month in 2018, operating at less than 15 percent of its planned capacity. This is the fate that awaits Tanzania unless the government has something quite special up its sleeve.

But the long list of failed or failing public projects – TRC, UDA, BRT, TTCL, NHC, ATCL, Tanganyika Packers, etc – suggests that that is quite unlikely. While the government may pull off a project here or there, it lacks the track record of successfully running considerable operations in the medium and long term. To give the SGR a chance, the government needs to show a very high degree of resolve to address its future challenges.

Firstly, the SGR will have to pass the quality of service test. In the 1990s, when the road between Tanga and Moshi was rebuilt, people abandoned the railway services fast, and they were withdrawn. People have choices today. There are 86,000 lorries and 49,000 buses crisscrossing the nation every day. If TRC will approach this challenge as casually as it did in the past, we can as well conclude today that Tanzania’s SGR will be the most expensive white elephant in East African history.

Secondly, the DRC challenge. As it stands, even though over 90 percent of goods to or from Rwanda and Burundi pass through Dar es Salaam, they comprise less than one third of goods that pass through the port. Integration of the economic region around Tanganyika Lake might improve the situation. For example, the populous eastern provinces of the DRC of North and South Kivu, Katanga, Maniema and Ituri, which are resource-rich but are forced to depend on the unwieldy railway line to South Africa, could use a solid alternative line to Dar which could very likely cut transport times by up to 70 percent.

Thirdly, the marketing challenge. In the heyday of railway transportation in Africa, people often lacked viable transport alternatives, but today, all across sub-Saharan Africa, lorries dominate tracks even in cases where tracks have very clear cost advantages.

Statistics suggests that TRC is not competitive in the transportation of fertiliser, ores and minerals, cement, and oil, the kind of deals which successful operators thrive on. Similarly, even when ticket prices were half those of buses, people still preferred the convenience that buses offered. A laissez faire approach to the market will not persuade Tanzanians to use railway transport.

Finally, Dar es Salaam Port, which deserves its own discussion.

Generally speaking, railway is a nationally strategic resource. Unfortunately, Africans have been going about the railway business in the wrong way.

In the 1870s, only two decades after the introduction of railways, Indian mechanics began to manufacture locomotives which were better and cheaper than the British ones. Today, Indians are advising the British how to manage their railway networks. Similarly, in the 1930s’ South Africa, railways were pumping skilled craftsmen to the rest of the economy, leading to the industrialisation of South Africa. At its peak in the 1970s, South Africa Railways had 230,000 employees. Such is the potential of railways in economic transformation.

Pumping billions into a project will not bring such outcomes. There must be a paradigm shift without which the thousands of lorries will continue to damage roads, congestion will continue to cost the nation dearly and accidents will continue to cut short livesas hundreds of new vehicles hit the roads every day.

In this case, will the SGR ever work?

Given Tanzania’s track record, it is difficult to see anything beyond failure here. The most likely scenario is that the network will function well below expectations for years, incurring losses that the government will struggle to subsidise. As the situation worsens, TRC will start to cut corners in maintenance, making the infrastructure degrade faster, thus reducing the network speeds and reliability. Then clients will drop en masse going back to privately owned lorries and buses, leading to exactly where we started.

That’s the Tanzania we know and love, huh?


View attachment 2302965
WAZUNGU: Msichimbe Bwawa la Stiglers mnaharibu mazingira

WAZUNGU: Msijenge Standard Gauge railway mtapata hasara.

POPOMA MMOJA: Wamesema tusijenge Standard Gauge tutapata hasara

MAPOPOMA WENGINE: Clap clap clap
 
Kulipasikana kubadilisha SGR iwe ni Dar-Dodoma-Tunduma! SGR kwenda kanda ya ziwa au Kigoma si mambo sahihi.

Any transport professional angeangalia freight growth na ukweli haiko mshariki ya Congo, bali kusini ya Congo (inayohudumia Kinshasa) na Zambia!! Dar-Dom ingeunganishwa na treni ya kasi lakini pia mizigo mingi ingewahi kufika!! Kufa kwa TRC na TAZARA yalikuwa ni makosa makubwa. Natumaini tutakuwa tumepata funzo!

Financing option haikuwa ya kisasa! Mismanagement kiwango cha TRC kitatusikitisha sana. Ufanisi kiwango cha TRC itakuwa ni kifo, kama financing option ingekuwa PPP - huenda private sector ambayo haivumilii hasara ingeleta jambo la kuifundisha TRC ili reli yao iende sawa.
 
Back
Top Bottom