Gazeti la The Citzen linapaswa kupuuzwa kwa kile ilichofanya kuandika kuwa kampuni ya Vodacom inapanga kuomba kuongezewa muda wa kuuza hisa zake kuwaruhusu wageni kununua hisa za Vodacom.
Huku ikichukua mfano kutoka kwa wakala mmoja ambaye ni Orbit Securities aliyeidhinishwa katika ukusanyaji wa awali wakisema ameshindwa kufika lengo walipanga kuuza hisa za bilioni 200 lakini mpaka sasa wameuza hisa za bilioni 150. Je kuuza robo tatu ya hisa kwa wakala mmoja aliyeidhinishwa ni kushindwa kufika lengo?
Kampuni ya Voda waliwaidhinisha mawakala zaidi ya 14 katika uuzaji wa hisa zenye thamani inayakadiriwa kufika bilioni 476 ambazo Vodacom wanatarajia kuzikusanya.
Mawakala wa ukusanyaji wapo 14 projection ya wakala mmoja haitoi Picha kamili ya biashara jinsi ilivyofanyika kwanini mwandishi wa gazeti la the Citzen asisubirie taarifa za mwisho kutoka kampuni husika wakatoa idadi ya jumla ya idadi ya hisa zilizouzwa?
Shares za Vodacom nilizifuatilia. Kupitia prospectus yao nikaisoma. Presentation ya financial statements zao za mwaka 2016 na projections ya 2017 na 2018 zinavutia sana kulinganisha na kampuni nyingine zinazofana na Vodacom.
Annual revenue yao ni kubwa around bilioni 900 mpaka 1trillion.
kwa short term wakiweza kuziuza hisa baada tu ya IPO kufungwa kuna uwezekano wa price kupanda juu na hii pia inategemeana na hali ya uchumi wa nchi.
Ingawa kupanda pia kwa bei kunaweza kuwa kwa kiwango kidogo na hii itategemeana na hali ya uchumi wa nchi.
Na sera ya gawio ipo wazi kabisa baada ya Faida asilimia 50 baada ya kukatwa kodi kwa mwaka na Gawio litakwenda kwa kila mwanahisa wa kampuni.
Mfano unamiliki hisa 100 na kampuni imegawa labda shingi 5 kwa kila hisa ni 100 x 5= 500
IPO bado muda wake kumalizika mwisho ni tarehe 19 Mwezi huu wa Nne vodacom watatupatia mrejesho.
Kwa rational investor ukifanya mahesabu utaona kwamba investment kwenye Vodacom ni best choice kwa current financials na projections ya 2017 na 2018. nimefanya share performance ratios nimeliona hilo.
Karibuni [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG]
Huku ikichukua mfano kutoka kwa wakala mmoja ambaye ni Orbit Securities aliyeidhinishwa katika ukusanyaji wa awali wakisema ameshindwa kufika lengo walipanga kuuza hisa za bilioni 200 lakini mpaka sasa wameuza hisa za bilioni 150. Je kuuza robo tatu ya hisa kwa wakala mmoja aliyeidhinishwa ni kushindwa kufika lengo?
Kampuni ya Voda waliwaidhinisha mawakala zaidi ya 14 katika uuzaji wa hisa zenye thamani inayakadiriwa kufika bilioni 476 ambazo Vodacom wanatarajia kuzikusanya.
Mawakala wa ukusanyaji wapo 14 projection ya wakala mmoja haitoi Picha kamili ya biashara jinsi ilivyofanyika kwanini mwandishi wa gazeti la the Citzen asisubirie taarifa za mwisho kutoka kampuni husika wakatoa idadi ya jumla ya idadi ya hisa zilizouzwa?
Shares za Vodacom nilizifuatilia. Kupitia prospectus yao nikaisoma. Presentation ya financial statements zao za mwaka 2016 na projections ya 2017 na 2018 zinavutia sana kulinganisha na kampuni nyingine zinazofana na Vodacom.
Annual revenue yao ni kubwa around bilioni 900 mpaka 1trillion.
kwa short term wakiweza kuziuza hisa baada tu ya IPO kufungwa kuna uwezekano wa price kupanda juu na hii pia inategemeana na hali ya uchumi wa nchi.
Ingawa kupanda pia kwa bei kunaweza kuwa kwa kiwango kidogo na hii itategemeana na hali ya uchumi wa nchi.
Na sera ya gawio ipo wazi kabisa baada ya Faida asilimia 50 baada ya kukatwa kodi kwa mwaka na Gawio litakwenda kwa kila mwanahisa wa kampuni.
Mfano unamiliki hisa 100 na kampuni imegawa labda shingi 5 kwa kila hisa ni 100 x 5= 500
IPO bado muda wake kumalizika mwisho ni tarehe 19 Mwezi huu wa Nne vodacom watatupatia mrejesho.
Kwa rational investor ukifanya mahesabu utaona kwamba investment kwenye Vodacom ni best choice kwa current financials na projections ya 2017 na 2018. nimefanya share performance ratios nimeliona hilo.
Karibuni [HASHTAG]#WekezaNaVodacom[/HASHTAG]